Kwenu wanawake mliowahi kubeba mimba, hivi ni kweli mimba zina kisirani au mnajiendekeza tu?

Kwenu wanawake mliowahi kubeba mimba, hivi ni kweli mimba zina kisirani au mnajiendekeza tu?

Mambo vp wadau

Kiukweli kila nikitafakari mambo anayoyafanya wife nashindwa kuamini kama ni kisirani cha mimba ama ni kama kawaida yenu wanawake mnapenda kujiendekeza. Wife amekuwa mtu wa kulalamika kwa mambo madogo madogo na kulia lia tu kwa vitu vya kawaida.

Kwa kweli kama mwanaume sio mvumilivu unaweza ukapasua mtu kwa kipigo 😂😂 na usiombe mwanamke mimba yake ikukatae utaskia unambiwa kila wakati unanuka hata kama muda huo ndo umetoka kuoga. Dressing table imejaa manukato tena ambayo amenunua mwenyewe ila yote ameyaondoa na kuyaficha utaskia yananukia vibaya ok unaamua kuvaa nguo bila ya kutia manukato pia utaskia hizo nguo zinanuka harufu ya kabati siipendii ilimradi kisirani tu 😁😂

Kwenye kula hapo ndio mtihanii walahi 😂 mara utasikia nataka pilau ukimletea ataliangalia tu na kukwambia silitaki.

Imefikia hatua wife nyumba anaichukia kiasi kwamba akiingia ndani tu anatapika now imebidi arudi kwao.
Hivi wanawake hiyo hali mnashindwa kui control au ndo kujiendekeza?
Nikweli
 
Yani mimba ni kitu Cha ajabu sana unaweza ukachukia chakula ulichokua unakipenda Sana na usile mpaka unajifungua unaweza ukachukia mtu na ukawa na hasira nae bila sababu ya msingi ila hiyo Hali mara nyingi mimba ikiwa changa
 
Unakuta mwanamke haishi nongwa Kisa tu Eti Mjamzito [emoji848][emoji848]

Kwani mimba ni ugonjwa?

Basi nakwambia Mwanaume wa watu atakosa raha kila wakati roho juu kununiwa na visirani utasema kitu gani!

Yani family members wote ni hekaheka mpaka huyo bibi atakapojifungua ndio washushe pumzi!
 
Unakuta mwanamke haishi nongwa Kisa tu Eti Mjamzito [emoji848][emoji848]

Kwani mimba ni ugonjwa?

Basi nakwambia Mwanaume wa watu atakosa raha kila wakati roho juu kununiwa na visirani utasema kitu gani!

Yani family members wote ni hekaheka mpaka huyo bibi atakapojifungua ndio washushe pumzi!
Kiukwel wanawake wanapenda kudeka mpak wanakera haswaa wife nona ndo kazidi yeye inafikia hatua ata akiumwa kwel nakuwa simuamini nahic anadeka tu
 
Mimba ya kwanza ya mke wangu ilikuwa ni pasua kichwa. Alikuwa hataki nilale kabla ya yeye kusinzia. Akiamka usiku, ananiamsha na mimi, mpaka asinzie kwanza ndo na mimi nilale. Siku nyingine alikuwa ananifosi nimwimbie nyimbo za kindagaten, eti mtoto wetu anafurahia kuzisikiliza
 
Mimba ya kwanza ya mke wangu ilikuwa ni pasua kichwa. Alikuwa hataki nilale kabla ya yeye kusinzia. Akiamka usiku, ananiamsha na mimi, mpaka asinzie kwanza ndo na mimi nilale. Siku nyingine alikuwa ananifosi nimwimbie nyimbo za kindagaten, eti mtoto wetu anafurahia kuzisikiliza



[emoji38][emoji38]

Mapokeo tu hayo!
 
Back
Top Bottom