Sir Carter
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 631
- 1,409
[emoji28][emoji28][emoji28]Ukiweka simu yako lock ya fingerprint usiku anakugusisha kwenye hicho kidole ukiwa umelala, lock inatoka[emoji16][emoji16][emoji16]
Ni kazi sana[emoji28][emoji28][emoji28]
Si ndiyo maana ukawa anko wangu. Watu hatuhimizani kuacha uzinzi; tunashikilia tu usishike simu. AibuuuuMama kasema...
Tukaguliwe tu ili tukae kwenye mstari. Mbona na sisi huwa tunazikagua simu za wake zetu kwa kushitukiza?
Ndoa ni kulindana na kutunzana,kinyume na hapo hakuna furaha hakuna ndoa...
Mimi ni mke; nafanya yaliyo ndani ya uwezo wangu. Sina muda wa kukaa na kujilinganisha na mwanamke mwingine. Cheating is a choice; msisingizie madhaifu ya wake zenu. Kwa sababu hata nyie mna madhaifu; na cheating haijawahi kuwa solution. Yes if he gives me a reason to leave; I will surely leave. Sina sababu ya kufa kisa ndoaKila raheli mama hukatazwi .... Ila usije ukakuta wa nje anamautundu kukushinda na ndio ikawa tiketi yako ya kuachana na huyo umpendae ..... Safari njema
Uwe makini sasaWanawake ni weerevu kama nyoka
Comment isiokuwa na Unafki ndani yake 😍Mimi nitaishika kuikagua hadi siku nitakayokufa kwa presha. He is my husband na tunashare Kila kitu including hiyo simu yake. Sijapata sababu ya msingi ya kutokushika simu yake
Kama mtu ni mzinzi; presha utaipata tu hata usipokagua simu yake; unapeleka mbele tu siku zako za kupatwa na presha. Siku utakayoamka umeambukizwa magonjwa aliyoyatoa huko nje, au unaletewa watoto aliozaa nje basi presha itakuchukua tu. Madhara ya uzinzi yapo palepale ni suala la muda tu. Bora hata niikague, unaweza ukazuia madhara mengine yasitokee
Tuache kuzisingizia simu, hazina ubaya wowote; ni sisi ndiyo tunazitumia simu vibaya kufanya ufirauni wetu.
Ntamlinda kwa maombi na kwa "mbwinu" nyingine zozote nazoweza including kufuatilia nyendo zake.
Eti nisikague jamanii wanaoweza wajengewe sanamu posta😬Mithai 31:27 "Huangalia/huchunguza sana njia za watu wa nyumbani mwake......
Mke mwema huyo. Biblia imeshasema; Mimi ni nani nikae kibwege[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Watu hawataki kushika/kushikiwa simu kwa sababu wanajua exactly kilichopo ndani ya simu; wanaogopa vivuli vyao. Kwa nini tusihamasishane tuache uzinzi?Comment isiokuwa na Unafki ndani yake 😍
Wanajua kilichopo humo ndani; so wanaamua kuishi kwa matumaini.Eti nisikague jamanii wanaoweza wajengewe sanamu posta😬
Ningumu kutokagua ila ukiikagua utaenda tafuta danga yaani nakumbuka nilikuwa nafukuzia simu ya mzee napia simu ya mzee yaani tunapiganaga mpaka nilimtoa meno na stuli walahi ila nilikuja waza nikaona kama mama yake amemshindwa akanipasishia mimi iweje mie ndio niumize kichwa kisa simu tu nikaacha waleo nope .Wanajua kilichopo humo ndani; so wanaamua kuishi kwa matumaini.
Cha msingi tuache uzinzi, simu hazina shida yoyote. Na inapofika mahali mwenza wako anakuwa free na simu yake, hata wewe kuna muda unakuwa huna habari nayo kabisa. Sasa mtu akifika tu home simu silent; imagine mume anaweka password ili mke asishike simu. Hiyo ni ndoa au?Ningumu kutokagua ila ukiikagua utaenda tafuta danga yaani nakumbuka nilikuwa nafukuzia simu ya mzee napia simu ya mzee yaani tunapiganaga mpaka nilimtoa meno na stuli walahi ila nilikuja waza nikaona kama mama yake amemshindwa akanipasishia mimi iweje mie ndio niumize kichwa kisa simu tu nikaacha waleo nope .
Hata kakihisia tu hapana.
umewanenea vema.Habari kwenu ....!
Ni kwamba Kama katika maisha ya mwanaume ukiona kakuchukua na kakuweka ndani Kama mke Basi tulia na ujue kajiridhisha kuwa wewe ni mwanamke Bora na sahihi kwakwe na familia yake.
Ukisema hivi unaambiwa hii Id ni ya kiume[emoji23][emoji23][emoji23]Mi simu ya mzee baba naiona kama kituo cha polisi...
Sitaki presha mimi...
Amechaguliwa NIT kwa Diploma ya Aircraft Maintenance EngineeringMkuu ,yule mwanao amepangiwa shule gani?