Nguvu moja
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 3,371
- 2,713
Hahah!!Pole mkuu daah injini itakua moto sio kwa povu hili jaman na hali ya hewa shawishi daah
Pita tu mkuu kama vipi niku ignoreOya tumechoka mada zenu [emoji852]️[emoji852]️[emoji852]️[emoji852]️[emoji852]️[emoji852]️[emoji852]️
Hahah!!
Hii post yako tunaipeleka uhamiaji tujue kama ina urahia sahihi [emoji849]
Changamoto hizo zipo sana mkuu kwenye maishaPole mkuu daah injini itakua moto sio kwa povu hili jaman na hali ya hewa shawishi daah
Ndio maisha mkuu ndio maana vidole avilingani kakaWengine wananyimwa huku sisi wengine twazikataa!
Malimwengu ya walimwengu haya!
Ni shidaPambana na ndoa yako.
Ndio maisha mkuu ndio maana vidole avilingani kaka
Itabidi tufuatane rafiki. Hahahaaa.Hahah!!
Hii post yako tunaipeleka uhamiaji tujue kama ina urahia sahihi [emoji849]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maji itazima kimoja hii baridi si ya mchezo