Kwenu wasanii wa Tanzania: Uchaguzi ukiisha kila mmoja akale alipopeleka mboga

Wale wa Bongo Muvi miaka michache iliyopita eti walimshawishi yule mwenzao BASHITE kwenda kufanya msako Kariakoo na kufunga vibanda vya wale wajasiriamali wanaouza Dvd za muvi za nje zikiwemo zile za Kikorea!

Yaani mimi na akili zangu niwaangalie Bongo Muvi ambao hawajitambui kwa lolote! Muvi zao ni za hovyo! Hazina mpangilio wowote ule zaidi tu ya kupiga makelele! Uigizaji mbovu na kiwango cha chini kabisa!

Wacha niendelee tu kuwaangalia jamaa zangu wa South Korea. No way out. Na hao wasanii wa Bongo fleva nitaendelea tu kuwadharau maana ninatambua yote hiyo ni njaa tu. Hakuna lingine.
 
Okey mimi kama Msanii nimeelewa ila acha kwanza kipindi hiki tupige hela kwanza, baadaye tutajuana huko juu kwa juu🤦😁🤪
 
Utasikia wasanii wakisema eti sisi wasanii ni kioo cha jamii na tunaelimisha jamii.Ukijiuliza wanaelimisha nini wakati wao wenyewe hawana elimu.Wanapigana miti hovyo hovyo bila kujali maadili wanatumia shisha pombe,mirungi na hatimae wemgine hufa au kuumwa mfano feruzi ,ngwair nk
 
Na kazi au nyimbo zao wakaziimbe Dodoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…