Kwenu wasindikiza misiba na wafiwa mikoani

Kwenu wasindikiza misiba na wafiwa mikoani

Marcy

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2013
Posts
2,430
Reaction score
5,910
Tujaribu kuwa na moyo wa kutunza siri
mazingira tunayo yakuta huko misibani
kutangaza uliyoyaona baada ya kurudi unamuweka mfiwa katika wakati mgumu baada ya kurudi katika makazi yake

Enyi wasindikizaji wa wafiwa kuweni na vifua haipendizi kuanza kutangaza vijumba viko hivyi choo kilikuwa vile chakula kilikuwa hakitoshi nk
Tuvumiliane tuwe na utu sio wote wametoka katika familia bora
Nb
hivi kuna ulazima kubebana na watu lukuki endapo msiba umetokea mkoani??
 
Tujaribu kuwa na moyo wa kutunza siri
mazingira tunayo yakuta huko misibani
kutangaza uliyoyaona baada ya kurudi unamuweka mfiwa katika wakati mgumu baada ya kurudi katika makazi yake

Enyi wasindikizaji wa wafiwa kuweni na vifua haipendizi kuanza kutangaza vijumba viko hivyi choo kilikuwa vile chakula kilikuwa hakitoshi nk
Tuvumiliane tuwe na utu sio wote wametoka katika familia bora
Nb
hivi kuna ulazima kubebana na watu lukuki endapo msiba umetokea mkoani??
Mambo kama haya huwakuta zaidi wanaopenda kujimwambafy
 
Tujaribu kuwa na moyo wa kutunza siri
mazingira tunayo yakuta huko misibani
kutangaza uliyoyaona baada ya kurudi unamuweka mfiwa katika wakati mgumu baada ya kurudi katika makazi yake

Enyi wasindikizaji wa wafiwa kuweni na vifua haipendizi kuanza kutangaza vijumba viko hivyi choo kilikuwa vile chakula kilikuwa hakitoshi nk
Tuvumiliane tuwe na utu sio wote wametoka katika familia bora
Nb
hivi kuna ulazima kubebana na watu lukuki endapo msiba umetokea mkoani??
Nikifikisha umri wa miaka 50
Itakaponikutia ndipo panakuwa nyumbani kwangu... Nitazikwa hapo na ndiyo mji wangu utakuwa hapo
 
Nilifiwa na ndugu yangu dar, msiba ukaletwa mkoani kwetu kuzikwa kijijini. Pale kijijini hatuna nyumba ila shamba tu ambako huwa tunazika wanafamilia. Jirani na eneo letu kuna vijumba vya slope vimechakaa japo majirani wanaishi ndani ya vijumba hivyo. Wasindikiza msiba toka dar na kwingine walianza kukandia eti inakuwaje marehemu alijenga jumba la kifahari dar lakini nyumbani kwao asijenge hata kibanda cha kufikia? Wasindikiza wafiwa walianza kuhusisha vijumba vile kuwa ndio nyumbani kwa marehemu ikabidi tuwaambie hapa tulihama kitambo sana enzi tukiwa wadogo na tuna mpango wa kujenga nyumba ya maana hapa ili tuwe na pa kufikia tukitoka mikoani kunako mishe zetu. Wasindikiza wafiwa wana tabia ya kuchunguza nyumbani kwao na marehemu kuna nini cha maana walinganishe na huko dar alivyonavyo
 
Unajenga unaposhi na unatakiwa kuzikwa unakoishi. Kusafirisha maiti haina ulazima zikwa ulikoweka makazi
let say unaishi dar, ukifa ukazikwa huko kuna ndugu zako wengi hawatakuja, hawataliona kaburi lako. Kuzikwa mbali na ndugu zako wengi ni sawa na kuzikwa kusikojulikana. Pale dar labda uwe na uwezo kifedha walau kaburi lako lijengewe ili lisipotee muda mrefu kuna ndugu watajikongoja kuja dar kuona ulikozikwa. Kuzikwa nyumbani unakotoka ni bora
 
Back
Top Bottom