muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Meneja wetu mungu alimchukua, kwao ni huko Iringa, huko kwao anaishi mama yake mzazi na ndugu wengine!...ile nyumba msiba ulipofikia( kwao) daah.....ndugu zangu tusisahau kwetu....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma sanaKinachotuhukumu ni back ground zetu wakati tukiwa wazima,unakuta mshkaji nilikuwa nakesha bar nabadili wanawake gari kali japo za mkopo sometimes nakula pombe na washkaji huku nagombania ku-clear bills za vinywaji.
Ktk mazingira kama haya hata ninaotumia nao wataamini jamaa yupo vizuri kwao hamna shida kasheshe siku nakata moto marafiki wahuzunika kwa kujali tu wanaenda kwetu kunizika mzee hahah,papendeni kwenu ni aibu mnafika msiba wa jamaa town alikuwa kibopa kwao anaenda kushushwa chini ya mwembe usiombe iwe wakati wa kiangazi maana hata miti nayo itamkataa.
🤣🤣🤣 Mkuu hawajambo karibu urudi nyumbani kumenoga tule samaki kambaTanga hawajambo huko mkuu?
Kuonekana au kutoonekana kaburi na ndugu zako kunafaida au hasara gani!let say unaishi dar, ukifa ukazikwa huko kuna ndugu zako wengi hawatakuja, hawataliona kaburi lako. Kuzikwa mbali na ndugu zako wengi ni sawa na kuzikwa kusikojulikana. Pale dar labda uwe na uwezo kifedha walau kaburi lako lijengewe ili lisipotee muda mrefu kuna ndugu watajikongoja kuja dar kuona ulikozikwa. Kuzikwa nyumbani unakotoka ni bora
Umenikumbusha story ya Arsis jamaa samaki kamba kawataja mara 3000000 kwenye stori yake🤣🤣🤣 Mkuu hawajambo karibu urudi nyumbani kumenoga tule samaki kamba
Mmekaa Mjini kazi ni kunywa bia na mademu mkipata ngoma mkafa hamtaki tuelezee hali halisi ya huko kwenu???Tujaribu kuwa na moyo wa kutunza siri
mazingira tunayo yakuta huko misibani
kutangaza uliyoyaona baada ya kurudi unamuweka mfiwa katika wakati mgumu baada ya kurudi katika makazi yake
Enyi wasindikizaji wa wafiwa kuweni na vifua haipendizi kuanza kutangaza vijumba viko hivyi choo kilikuwa vile chakula kilikuwa hakitoshi nk
Tuvumiliane tuwe na utu sio wote wametoka katika familia bora
Nb
hivi kuna ulazima kubebana na watu lukuki endapo msiba umetokea mkoani??
ndugu wakiona kaburi hupunguza majozi na huzuni, ufe halafu ndugu hawaoni kaburi ni huzuni kubwa muda mrefu. Nyie kwenu huwa mnachomwa moto hadi mmbaki majivu yakatupwe baharini?Kuonekana au kutoonekana kaburi na ndugu zako kunafaida au hasara gani!
Huyu alikuwa mpumbavu.Kuna mkuu mmoja Maj Gen mmoja hivi ilibidi SUMA JKT watumwe kwao kwanza kuweka hata rangi kwenye kuta zilizo katika katika huko kwa babake ndio akazikwe hakuwa na nyumba wala chumba
USSR
Maisha magumu sana,kama alikuwa muadilifu,hiyo inawezekana kabisaKuna mkuu mmoja Maj Gen mmoja hivi ilibidi SUMA JKT watumwe kwao kwanza kuweka hata rangi kwenye kuta zilizo katika katika huko kwa babake ndio akazikwe hakuwa na nyumba wala chumba
USSR
Kwanini mkiwa huku mjini mnaigiza maisha Na kujifanya ni wa bei mbaya ....mama yako umeshindwa kumnunulia kitanda Na godoro zuri,?Tujaribu kuwa na moyo wa kutunza siri
mazingira tunayo yakuta huko misibani
kutangaza uliyoyaona baada ya kurudi unamuweka mfiwa katika wakati mgumu baada ya kurudi katika makazi yake
Enyi wasindikizaji wa wafiwa kuweni na vifua haipendizi kuanza kutangaza vijumba viko hivyi choo kilikuwa vile chakula kilikuwa hakitoshi nk
Tuvumiliane tuwe na utu sio wote wametoka katika familia bora
Nb
hivi kuna ulazima kubebana na watu lukuki endapo msiba umetokea mkoani??
SahihiUnajenga unaposhi na unatakiwa kuzikwa unakoishi. Kusafirisha maiti haina ulazima zikwa ulikoweka makazi
Kwenu wapi?Acheni uzembe, jengeni kwenu mijengo ya adabu.
Tia sofa, tv na vitu vya ndani.
Tukija kwenu tunakuja kukuona palivyo na unavyolinga.
Sio miti tu hata ardhi inakukataaKinachotuhukumu ni back ground zetu wakati tukiwa wazima,unakuta mshkaji nilikuwa nakesha bar nabadili wanawake gari kali japo za mkopo sometimes nakula pombe na washkaji huku nagombania ku-clear bills za vinywaji.
Ktk mazingira kama haya hata ninaotumia nao wataamini jamaa yupo vizuri kwao hamna shida kasheshe siku nakata moto marafiki wahuzunika kwa kujali tu wanaenda kwetu kunizika mzee hahah,papendeni kwenu ni aibu mnafika msiba wa jamaa town alikuwa kibopa kwao anaenda kushushwa chini ya mwembe usiombe iwe wakati wa kiangazi maana hata miti nayo itamkataa.