Mambo kama haya huwakuta zaidi wanaopenda kujimwambafyTujaribu kuwa na moyo wa kutunza siri
mazingira tunayo yakuta huko misibani
kutangaza uliyoyaona baada ya kurudi unamuweka mfiwa katika wakati mgumu baada ya kurudi katika makazi yake
Enyi wasindikizaji wa wafiwa kuweni na vifua haipendizi kuanza kutangaza vijumba viko hivyi choo kilikuwa vile chakula kilikuwa hakitoshi nk
Tuvumiliane tuwe na utu sio wote wametoka katika familia bora
Nb
hivi kuna ulazima kubebana na watu lukuki endapo msiba umetokea mkoani??
Sio Tanzania nahisi ...Niliona hiyo story jamaa alijenga mjini ila kwao alipasahau.Kuna mkuu mmoja Maj Gen mmoja hivi ilibidi SUMA JKT watumwe kwao kwanza kuweka hata rangi kwenye kuta zilizo katika katika huko kwa babake ndio akazikwe hakuwa na nyumba wala chumba
USSR
Nakuunga mkono , kwetu ni pale ninapoishi na familia yangu , nizikwe hapo hapo ..Unajenga unaposhi na unatakiwa kuzikwa unakoishi. Kusafirisha maiti haina ulazima zikwa ulikoweka makazi
Nikifikisha umri wa miaka 50Tujaribu kuwa na moyo wa kutunza siri
mazingira tunayo yakuta huko misibani
kutangaza uliyoyaona baada ya kurudi unamuweka mfiwa katika wakati mgumu baada ya kurudi katika makazi yake
Enyi wasindikizaji wa wafiwa kuweni na vifua haipendizi kuanza kutangaza vijumba viko hivyi choo kilikuwa vile chakula kilikuwa hakitoshi nk
Tuvumiliane tuwe na utu sio wote wametoka katika familia bora
Nb
hivi kuna ulazima kubebana na watu lukuki endapo msiba umetokea mkoani??
Hii makitu hutawahi kukuta moshi. Lami hadi migombani.Sio Tanzania nahisi ...Niliona hiyo story jamaa alijenga mjini ila kwao alipasahau.
Wewe ni mjingaSio Tanzania nahisi ...Niliona hiyo story jamaa alijenga mjini ila kwao alipasahau.
Wewe kiaziWewe ni mjinga
USSR
Mimi nimezaliwa mjini na nitazikwa mjini , vijiji hata siendagi maana sina uhusiano napo .Hii makitu hutawahi kukuta moshi. Lami hadi migombani.
Ukibisha ingia Google street map maamaee.
Nyau de adriz
Mimi nimezaliwa mjini na nitazikwa mjini , vijiji hata siendagi maana sina uhusiano napo .Hii makitu hutawahi kukuta moshi. Lami hadi migombani.
Ukibisha ingia Google street map maamaee.
Nyau de adriz
let say unaishi dar, ukifa ukazikwa huko kuna ndugu zako wengi hawatakuja, hawataliona kaburi lako. Kuzikwa mbali na ndugu zako wengi ni sawa na kuzikwa kusikojulikana. Pale dar labda uwe na uwezo kifedha walau kaburi lako lijengewe ili lisipotee muda mrefu kuna ndugu watajikongoja kuja dar kuona ulikozikwa. Kuzikwa nyumbani unakotoka ni boraUnajenga unaposhi na unatakiwa kuzikwa unakoishi. Kusafirisha maiti haina ulazima zikwa ulikoweka makazi
Kama walivyotaka kufanya kule Rufiji Mwaka Jana?Kuna mkuu mmoja Maj Gen mmoja hivi ilibidi SUMA JKT watumwe kwao kwanza kuweka hata rangi kwenye kuta zilizo katika katika huko kwa babake ndio akazikwe hakuwa na nyumba wala chumba
USSR