mbwangali
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 2,266
- 4,057
NAKAZIANdoa ni kichaka cha mwanamke kujitajirisha .....kataa ndoa.
Tafuta hela zako ishi na nama ako na dada zako utunze mali zako
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NAKAZIANdoa ni kichaka cha mwanamke kujitajirisha .....kataa ndoa.
Tafuta hela zako ishi na nama ako na dada zako utunze mali zako
Umepaniki mzee baba?alpha male ndio upupu Gani nitoleee upupu wako aya mambo ya sheria za Ndoa kuwa kandamizi peleka mahakamani uko apa sio mahakamani kenge mkubwa we
Siwezi panikishwa na kivuli ata siku moja kijanaUmepaniki mzee baba?
Kutoa maneno makali bila sababu ya msingi mfano kuita watu kenge ni kiashiria cha kupanikiSiwezi panikishwa na kivuli ata siku moja kijana
Kenge pori.weeeee kafie vichakani ukokama inauma chomoa
Pole sanaKenge pori.weeeee kafie vichakani uko
Hivi hii topic haiwachoshi jamani. Kila mtu afanye lake..kama unaoa oa, kama unaolewa olewa. Kama unaacha acha. Kama unabak single baki...mambo ni mengi wazee...
Basi hata mada nyengine zisiletwe.izo ni indicator za kutokujiamini wew kama umeau kutoa oa kaa kimya shida watu wanatafta attention zisizo na Msingi kina John cena wameau kuto oa kabisa na hawipi pigi kelele