Kwenye biashara usiogope majina makubwa yaliyokutangulia; Hill water, mabasi ya Tilisho ni somo kubwa la kuingia sokoni ukiwa mpya

Wafalme wa kaskazini kwa mabasi
1. ni Kilimanjaro
2. Bm
Hawa wana ligi yao ya kipekee
Huyo tilisho, ester, Abood, extra luxury,marangu, dar express, kidia, mapenzi ya Mungu, na wao wana ligi yao.
Kwa upande wa maji kwa kaskazini maji kuaminika bado ni Kilimanjaro
 
Kwa uzoefu wangu mdogo wateja wanapenda kuonja ladha tofauti
sasa kazi kwetu kuwafanya wateja waje kwetu kila siku hapa ndo zinapohitajika kufanyia innivation bidhaa zetu day by day


zile pisi za tilisho acha kabisa[emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Mengi ni kifo chake hawa madogo ndio chenga ,ila Mengi angekuwa level nyingine.

Maana enzi zake yale ya Kilimanjaro tulikuwa tunaita " Maji ya seminar"🤣
 
Bila kusahau halotel
 
Mkoa gani? Nadhani haya maji yana mkoa na mkoa. Ya Arusha mbona mazuri tu, maana hata dogo alikuja akayakuta. Alistaajabu kwamba hayafanani na yq Dar
Haya maji nikiwa Arusha au Kilimanjaro ndo ntayanunua huku Dsm siyanywi yanakua mabaya sijui kwann.
 
Bora umewataja kilimanjaro,kuna sehemu nimeenda kikazi asee hakuna maji zaidi ya kilimanjaro na ndo hivo yana chumvi siku hizi
 
Haya maji nikiwa Arusha au Kilimanjaro ndo ntayanunua huku Dsm siyanywi yanakua mabaya sijui kwann.
Wasikudanganye niko hukuhuku maji ni mabaya kiujumla.Mi ni mywaji mzuri wa maji ya chupa nanunua cartoons ila kila nikinunua hola.
 
Mimi mwenyewe nilikua namwogopa Simukitaa,zahor matelephone na wengine wengi mjini hapa lakin hii kidogo imenifumbua 🥱
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…