Kwenye Blender nimefikia hapa

Kwenye Blender nimefikia hapa

Izy_Name

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2020
Posts
772
Reaction score
1,733
Cptue.PNG
plane1.PNG
plane2.PNG
tower2.PNG
zblen.PNG
Hapa ndipo nilipo kwa sasa
bl1.PNG
Captre.PNG
Captur.PNG
vllage.jpg
 
Specs za machine yako zikoje mkuu mi nina Core i3 3rd generation na 4GB RAM vipi naweza fanya modelling kweli hapo.
Ndio unaweza fanya kwa hiyo ila rendering ndo ngoma labda kama utatumia maxon cinema ndo software nyepesi kwenye software za 3d japo ina gb nyingi ila ni very smooth kipindi nasoma kozi ya graphics chuo nimetumia blender, cinema na lightwave 3d laiini kwa sasa siko huko tena ni ushauri tu.
 
Ndio unaweza fanya kwa hiyo ila rendering ndo ngoma labda kama utatumia maxon cinema ndo software nyepesi kwenye software za 3d japo ina gb nyingi ila ni very smooth kipindi nasoma kozi ya graphics chuo nimetumia blender, cinema na lightwave 3d laiini kwa sasa siko huko tena ni ushauri tu.

Ndio unaweza fanya kwa hiyo ila rendering ndo ngoma labda kama utatumia maxon cinema ndo software nyepesi kwenye software za 3d japo ina gb nyingi ila ni very smooth kipindi nasoma kozi ya graphics chuo nimetumia blender, cinema na lightwave 3d laiini kwa sasa siko huko tena ni ushauri tu.
Shukrani sana mkuu, hiyo lightwave na cinema 4d ipi ni best kwa beginners.
 
Shukrani sana mkuu, hiyo lightwave na cinema 4d ipi ni best kwa beginners.
Tumia cinema 4d acha lightwave ni ya zamani na hata tutorial zake ni chache ila ni nzuri sana hata hivyo kama si mwelewa ukiwa pekee yako nakushauri utafute mentor mcheki jamaa anaitwa Adam jama flani Yuko Riverside Kama uko Dar ana studio inaitwa adamdigicom anafundisha watu wengi tu, otherwise tumia hiyo cinema4d au maya 3d .


Tutorial zinazoeleweka sio za youtube tafuta za lynda com nyingi zinaibiwa unaweza pata torrent au play list youtube.

Soma software yote fundamental za modeling, rigging na animation Mambo ya uv mapping n.k

Anyway Mimi sio mtu wa 3d, nakuambia haya kwa sababu nimeyapitia huko chuoni.

Wenye specialization zao kwenye hii kitu watakuwa mwanga zaidi.
 
Tumia cinema 4d acha lightwave ni ya zamani na hata tutorial zake ni chache ila ni nzuri sana hata hivyo kama si mwelewa ukiwa pekee yako nakushauri utafute mentor mcheki jamaa anaitwa Adam jama flani Yuko Riverside Kama uko Dar ana studio inaitwa adamdigicom anafundisha watu wengi tu, otherwise tumia hiyo cinema4d au maya 3d .


Tutorial zinazoeleweka sio za youtube tafuta za lynda com nyingi zinaibiwa unaweza pata torrent au play list youtube.

Soma software yote fundamental za modeling, rigging na animation Mambo ya uv mapping n.k

Anyway Mimi sio mtu wa 3d, nakuambia haya kwa sababu nimeyapitia huko chuoni.

Wenye specialization zao kwenye hii kitu watakuwa mwanga zaidi.
Nashukuru sana mkuu barikiwa sana bro.
 
Specs za machine yako zikoje mkuu mi nina Core i3 3rd generation na 4GB RAM vipi naweza fanya modelling kweli hapo.
specs zangu nazo ni low tu ni 5i 2gen shida inakuja wakat wa ku render ndo maana unaona natumia sana screenshots ila kwa specs zako nadhan inaweza ku run ila itakuwa slow sana kibish
 
Tumia cinema 4d acha lightwave ni ya zamani na hata tutorial zake ni chache ila ni nzuri sana hata hivyo kama si mwelewa ukiwa pekee yako nakushauri utafute mentor mcheki jamaa anaitwa Adam jama flani Yuko Riverside Kama uko Dar ana studio inaitwa adamdigicom anafundisha watu wengi tu, otherwise tumia hiyo cinema4d au maya 3d .


Tutorial zinazoeleweka sio za youtube tafuta za lynda com nyingi zinaibiwa unaweza pata torrent au play list youtube.

Soma software yote fundamental za modeling, rigging na animation Mambo ya uv mapping n.k

Anyway Mimi sio mtu wa 3d, nakuambia haya kwa sababu nimeyapitia huko chuoni.

Wenye specialization zao kwenye hii kitu watakuwa mwanga zaidi.
lightwave nilianzanayo kabra ya blender nikaona kama nafanya utoto vile nikachukua blender
 
specs zangu nazo ni low tu ni 5i 2gen shida inakuja wakat wa ku render ndo maana unaona natumia sana screenshots ila kwa specs zako nadhan inaweza ku run ila itakuwa slow sana kibish
Niko school hivi naweza fanya modelling then nikaenda kufanya rendering kwenye computer nyingine, make Computer lab naona machine zina specs za maana siwezi peleka project yangu nikafanyiapo rendering.
specs zangu nazo ni low tu ni 5i 2gen shida inakuja wakat wa ku render ndo maana unaona natumia sana screenshots ila kwa specs zako nadhan inaweza ku run ila itakuwa slow sana kibish
 
Niko school hivi naweza fanya modelling then nikaenda kufanya rendering kwenye computer nyingine, make Computer lab naona machine zina specs za maana siwezi peleka project yangu nikafanyiapo rendering.
Yeah unaweza tena ni rahisi
 
Back
Top Bottom