Kwenye dini kila kitu kinafanya kazi katika ulimwengu wa kiroho, Lakini likija suala la pesa 💵 hilo ni la kimwili.

Kwenye dini kila kitu kinafanya kazi katika ulimwengu wa kiroho, Lakini likija suala la pesa 💵 hilo ni la kimwili.

Infropreneur

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2022
Posts
9,830
Reaction score
20,686
Kwenye imani za kidini utaambiwa maisha yako si ya kimwili ni ya kiroho.

Lakini likija suala la pesa hilo ni la kimwili na wala halina mjadala kuhusu kutoa hela..😂

Kama maisha yako ni ya kiroho, Kwa nini utoe fedha kimwili?

Kama maisha yako ni ya kiroho, Hata hela na sadaka inabidi zitolewe rohoni.

Kwa nini usiwaambie hao viongozi wako wa dini kwamba, Utatoa sadaka kiroho na huyo Mungu apokee sadaka yako rohoni?

Kuomba kiroho.

Kuombewa kiroho.

Ibada kiroho.

Maisha yako ni ya kiroho.

Sasa kwa nini utoe hela kimwili?

Kwa nini utoe hela kimwili, Kama maisha yako ni ya kiroho?

Tafakari chukua hatua.

Religion is a business.

I'm out.
 
atheistssociety-20250303-0003.jpg
 
Jamani,naombeni mumpumzishe Mungu wetu mmemwandama kweli safari hii....huto tuhela twenyewe sasa 🙄 ...haya msitoe ,ingieni ibadani mkimaliza ibada rudini kwenu

Ila sadaka ya kujifinish hapana jameni🤦🙌
 
Jamani,naombeni mumpumzishe Mungu wetu mmemwandama kweli safari hii....huto tuhela twenyewe sasa 🙄 ...haya msitoe ,ingieni ibadani mkimaliza ibada rudini kwenu

Ila sadaka ya kujifinish hapana jameni🤦🙌
Mungu ambaye mnaamini yeye ndiye mmiliki wa kila kitu, Unamtolea sadaka ili nini?

Kama huyo Mungu ndiye mmiliki wa kila kitu ulimwenguni, Anahitaji kutolewa sadaka ili afaidike au apate nini?

Huoni kwamba unaliwa pesa zako bure tu kwa kudanganywa na viongozi wa dini?
 
Mungu ambaye mnaamini yeye ndiye mmiliki wa kila kitu, Unamtolea sadaka ili nini?

Kama huyo Mungu ndiye mmiliki wa kila kitu ulimwenguni, Anahitaji kutolewa sadaka ili afaidike au apate nini?

Huoni kwamba unaliwa pesa zako bure tu kwa kudanganywa na viongozi wa dini?
Kudanganywa ni sehemu ya maisha mkuu....
 
Kudanganywa ni sehemu ya maisha mkuu....
Kama unapenda kudanganywa huo ni uhuru wako wa kikatiba kabisa.

Lakini at least ujue ukweli, ili wakati unadanganywa utambue kwamba hapa ninadanganywa.

Ukiamua kuendelea kudanganywa, well and good.

Lakini at least ukweli umeujua.
 
Kama unapenda kudanganywa huo ni uhuru wako wa kikatiba kabisa.

Lakini at least ujue ukweli, ili wakati unadanganywa utambue kwamba hapa ninadanganywa.

Ukiamua kuendelea kudanganywa, well and good.

Lakini at least ukweli umeujua.
Kwa hiyo unawashauri wachungaji,mitume na manabii wafanye nini ili wapate pesa? Sio unakosoa bila kuleta suluhisho.
 
Dini ni biashara imejaa uongo sana.
Watu wanalipia matumaini hewa na kujazwa hofu ya mambo ya dhahania.
 
Kwa hiyo unawashauri wachungaji,mitume na manabii wafanye nini ili wapate pesa? Sio unakosoa bila kuleta suluhisho.
Watafute kazi za kufanya.

Waache kuhubiri uongo na kupata pesa kitapeli.

When all people shall be wise and fully awaken in divine terms, Those false prophets, bishops, priests, apostles and all bogus religious preachers who feed on the ignorance of the multitude will go hungry.

They will starve and start looking for real jobs and businesses to do.
 
Hapo kuna vitu vitatu
1. Maisha ni ya kiroho(Hilo unakubali au unakataa?)
2. Watumishi, Mitume, Manabii wanatumia haja za watu kujitajirisha wenyewe.(Unaamini ni kila mtu au wengi wao?)
3. Pesa ni za kimwili na sio kiroho.

Kwa ufupi mimi naona umekerwa na watumishi au manabii wanatumia dini kujitajirisha, kwa hapo uko sahihi sana ila unatakiwa ujifunze kutengenisha na sio kujumlisha wote. kwa sababu kuna sababu ya msingi kwanini kila jamii duniani inatafuta msaada wa kiroho, sio kila mtu amedanganywa na wazungu maana hata anayeabudu jiwe au miti au wafu wanaamini katika msaada wa kiroho kwenye maisha ya mtu...Shida ni wachache wanaojua shida za watu na kwenye shida ya watu kuna biashara
 
Back
Top Bottom