Kwenye harusi kuna hela nyingi sana ukijua jinsi ya kuzichukua. Harusi zinakutajirisha bila jasho kali

Kwenye harusi kuna hela nyingi sana ukijua jinsi ya kuzichukua. Harusi zinakutajirisha bila jasho kali

MKATA KIU

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
3,410
Reaction score
8,184
Habari wadau.

Leo ninapenda tujadili biashara zilizopo ndani ya tukio la harusi. Send off, kitchen party na sherehe zinginezo.

Mtu ukijiongeza na ukajua kucheza na tukio la harusi za watu. Kila wekend wewe ni kupiga hela tu walizochangishwa watu kwa mbinde.

1. Mc wa harusi wanachukua mamilioni kila siku. Mtu kama garab kwa wiki moja tu anatengeneza mpaka milioni 20 kwa kucheza na harusi tu na sherehe zingine
2. Video na picha
3. Chakula
4. Vinywaji
5. Mapambo
6. Car rentals za maharusi
7. Singers na bands
8 . Watoa huduma Waliosahaulika

Hawa wote huwezi kuwaambia wazichukie harusi
 
Harusi yangu
20241019_035305.jpg
20241019_035309.jpg
 
Ni kweli na huu mzigo wenye harusi wanaupeleka kwenye michango, watu wanaanza kuchukia magroup ya wasapu🤣
Huu ni ujinga mwingine ambao unaangamiza taifa la Tanzania. Ni ulimbukeni wa kuiga kila kitu kilicho mbele yetu. Unakuta watu wanapoteza mamilioni kwenye harusi. Kongole kwa waislam kwa kufanya harusi simple japo siku hizi nao kuna baadhi wanaanza kuiga ufahari wa dini nyingine.
 
Huu ni ujinga mwingine ambao unaangamiza taifa la Tanzania. Ni ulimbukeni wa kuiga kila kitu kilicho mbele yetu. Unakuta watu wanapoteza mamilioni kwenye harusi. Kongole kwa waislam kwa kufanya harusi simple japo siku hizi nao kuna baadhi wanaanza kuiga ufahari wa dini nyingine.
Ni wizi mtupu michango mikubwa ukifika harusini viserengeti vya kuhesabiwa mpaka nikauliza kwanini vinywaji visiwe self-service wakaniambiaaa haaaaaahaa kibongobongo wataiba.
 
Huu ni ujinga mwingine ambao unaangamiza taifa la Tanzania. Ni ulimbukeni wa kuiga kila kitu kilicho mbele yetu. Unakuta watu wanapoteza mamilioni kwenye harusi. Kongole kwa waislam kwa kufanya harusi simple japo siku hizi nao kuna baadhi wanaanza kuiga ufahari wa dini nyingine.
Ni hatari sana mkuu
 
Back
Top Bottom