Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 8,632
- 23,673
Ukitaka kupiga hela uwe na huduma za bei tofauti. Upambaji usilenge harusi xa hela kubwa kwa sababu kumbi nyingi zinapamba zenyeweMfano harusi gani hazina hela kwa watoa huduma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukitaka kupiga hela uwe na huduma za bei tofauti. Upambaji usilenge harusi xa hela kubwa kwa sababu kumbi nyingi zinapamba zenyeweMfano harusi gani hazina hela kwa watoa huduma
Kila la heri kwenu wakuu mi bado nipo nipo sana.nmejipatia kijana mahali kwaio tulia huko nje ngoj nkuoneshe
Asante sanaKila la heri kwenu wakuu mi bado nipo nipo sana.
Wakizidi sana kumi kila upandeHii ndo naitaka....ndugu wengi mno hao...wanne wanatosha
TRA wanakuja huko very soon kwa nguvu kubwa sanaHabari wadau.
Leo ninapenda tujadili biashara zilizopo ndani ya tukio la harusi. Send off, kitchen party na sherehe zinginezo.
Mtu ukijiongeza na ukajua kucheza na tukio la harusi za watu. Kila wekend wewe ni kupiga hela tu walizochangishwa watu kwa mbinde.
1. Mc wa harusi wanachukua mamilioni kila siku. Mtu kama garab kwa wiki moja tu anatengeneza mpaka milioni 20 kwa kucheza na harusi tu na sherehe zingine
2. Video na picha
3. Chakula
4. Vinywaji
5. Mapambo
6. Car rentals za maharusi
7. Singers na bands
8 . Watoa huduma Waliosahaulika
Hawa wote huwezi kuwaambia wazichukie harusi
Kuna ushindani mkali unakua kwa kasi, wavamizi wameingia kwa gear hiyohiyo ya "ni rahisi sana" biashara imekufa bei zimelala wageni wanafanyia kwa njaa. Wenzako wanaondoka wewe ndio unaingia.Mi nataka nijikite kwenye mapambo naona ni rahis upande huo
Japo unakumbushia sanaAsante sana
Kumbe tena bei zimeanza kushushwa,hapo sasa itakuwa ni uboya,kusubir hela ndogo za msimuKuna ushindani mkali unakua kwa kasi, wavamizi wameingia kwa gear hiyohiyo ya "ni rahisi sana" biashara imekufa bei zimelala wageni wanafanyia kwa njaa. Wenzako wanaondoka wewe ndio unaingia.
Unless unaingia kuwa mfanyakazi ujipate baada ya miaka kama miwili ila kuwekeza utapambana kidogo.
Eti waislamuuuuuu enhee, kuna send off ya familia dini hiyo na kwenye kamati nimo, mbona wanatusumbua na michango, bajeti tu mil 60, mambo za sherehe ni utashi wa mtu na uwezo wa kiuchumi sio imani yakeHuu ni ujinga mwingine ambao unaangamiza taifa la Tanzania. Ni ulimbukeni wa kuiga kila kitu kilicho mbele yetu. Unakuta watu wanapoteza mamilioni kwenye harusi. Kongole kwa waislam kwa kufanya harusi simple japo siku hizi nao kuna baadhi wanaanza kuiga ufahari wa dini nyingine.
Kabisa yaanWakizidi sana kumi kila upande
unasema kwelJapo unakumbushia sana
Kwanini sasa unafanya hivyo?unasema kwel
Ni njaa tuKwanini sasa unafanya hivyo?
KaleNi njaa tu
SawaKale
used likoje mkuuMtakapoanza kujadili fursa zinazopatikana kwenye misiba mnistue mimi ni mmoja ya watoa Huduma wa idara ya misiba kwa wale wote wenye uhitaji wa majeneza aina zote kama
-MAJENEZA GRADE A
-MAJENEZA YA GRADE YA KATI
-MAJENEZA YA KAWAIDA
-MAJENEZA USED
Pia tunatoa huduma za uchimbaji wa makaburi, mazishi, ukarabati na ujenzi wa makaburi nk.
Napatikana Dodoma mjini.
Maeneo yenye Pesa Unapoongelea EVENT
1.Mziki
2.Cattering
3.Mapambo (sio sanaaa)
4.Usafiri (sio kivilee)
Ukiweza Tafuta Pesa yako Mtaji kuanzia 10m na kuendelea ukajikita kwenye 1 & 2 utatoboa.
Binafsi no.1 naielewa ila bajeti yake sio chini ya 50m PLUS ila pia kuingiza 10m to 20m kwa mwezi will be normal.
Simple and live a longer life..