Big Nyota
JF-Expert Member
- Apr 2, 2018
- 378
- 575
Kwenye mapambo kuna sehemu mbili.Mi nataka nijikite kwenye mapambo naona ni rahis upande huo
1. Kupamba ukumbi.
2. Kupamba bibi harusi na maids, na kupamba bwana harusi....
Wewe umechagua ipi??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye mapambo kuna sehemu mbili.Mi nataka nijikite kwenye mapambo naona ni rahis upande huo
Namba 1Kwenye mapambo kuna sehemu mbili.
1. Kupamba ukumbi.
2. Kupamba bibi harusi na maids, na kupamba bwana harusi....
Wewe umechagua ipi??
Ukifanikiwa katika hilo nitaomba unipe walau abcd zake, maana nataka nianze kupiga hela za huku kitaani kwetu 😀Namba 1
MAde m0Ney,m0NEy MAdeMaN MAdHuyu ana akili sana, ni kama katoa 'angalizo' kwa njia ya mzunguko.Unakua tajiri kama MO?
All the best