Kwenye hili la Jeshi la Polisi lawama ziende kwa Serikali ya CCM

Kwenye hili la Jeshi la Polisi lawama ziende kwa Serikali ya CCM

RPC Mwanza aligomea kuibeba CCM Nyamagana enzi za Masha. Matokeo alirudishwa Dar kusimamia magwaride ya ffu.
Nakumbuka alikuwa ni RPC wa Geita siyo Mwanza.

Nafikiri hapa tatizo siyo la mtu mmoja mmoja kwenye hii taasisi, tatizo ni mfumo.

Tukisema ni mtu mmoja mmoja tunakosea. RPC huyu atakataa maelekezo ya CCM atatolewa atapelekwa huko madongo kuinama atawekwa mwingine pro-CCM.

IGP huyu atagomea maelekezo ya CCM atatolewa atateuliwa mwingine pro-CCM pro-uovu.

OCD huyu atasimamia sheria kanuni na taratibu ataonekana hafuati maelekezo ya CCM atatolewa atapelekwa hukoo madongo kuinama atawekwa mwingine Pro-CCM pro-uovu.

So cha kufanya ni kubadilisha mfumo mzima wa hili jeshi ili liweze kuwa huru lifanye kazi kwa weledi.

Pole sana mzee Sirro
 
Nakumbuka alikuwa ni RPC wa Geita siyo Mwanza.

Nafikiri hapa tatizo siyo la mtu mmoja mmoja kwenye hii taasisi, tatizo ni mfumo.

Tukisema ni mtu mmoja mmoja tunakosea. RPC huyu atakataa maelekezo ya CCM atatolewa atapelekwa huko madongo kuinama atawekwa mwingine pro-CCM.

IGP huyu atagomea maelekezo ya CCM atatolewa atateuliwa mwingine pro-CCM pro-uovu.

OCD huyu atasimamia sheria kanuni na taratibu ataonekana hafuati maelekezo ya CCM atatolewa atapelekwa hukoo madongo kuinama atawekwa mwingine Pro-CCM pro-uovu.

So cha kufanya ni kubadilisha mfumo mzima wa hili jeshi ili liweze kuwa huru lifanye kazi kwa weledi.

Pole sana mzee Sirro
Sitaki kumtaja alikuwa RPC nani, lakini umesahau. Liliokea Mwanza, jimbo la Nyamagana. CCM ilidondoka vibaya, mkurugenzi amegoma kutangaza, wananchi wamezunguka ofisi yake. RPC alitoa agizo la mwisho, matokeo yasipotolewa, anaondoa askari wake. Wenje akatangazwa mshindi.
 
Sitaki kumtaja alikuwa RPC nani, lakini umesahau. Liliokea Mwanza, jimbo la Nyamagana. CCM ilidondoka vibaya, mkurugenzi amegoma kutangaza, wananchi wamezunguka ofisi yake. RPC alitoa agizo la mwisho, matokeo yasipotolewa, anaondoa askari wake. Wenje akatangazwa mshindi.
Yeah ni kweli mkuu.

Hii ilitokea pia Arusha miaka ile walipotaka kuchakachua ushindi wa Lema.
 
Back
Top Bottom