MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,537
- 8,824
Ukipanda Matatu za Kenya sasa itakuwaje? Zile Matatu ni balaaaKelele za ajabu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukipanda Matatu za Kenya sasa itakuwaje? Zile Matatu ni balaaaKelele za ajabu sana
nunua gari lakoKelele za ajabu sana
Matatu mbali aende hapo ArushaUkipanda Matatu za Kenya sasa itakuwaje? Zile Matatu ni balaaa
Mkuu sio yote tafadhali.Nunua gari lako afu ung’oe. Otherwise heshimu magari ya watu ngumbaru wewe. Kama muziki unakukera si umuombe dereva apunguze sauti. Vijana wa siku hizi wajinga sana. Tatizo sisimizi mnatafuta solution tembo
Nchi za kistaarabu dereva anaweka kamziki, kwanza hakana mikwaruzo halafu Kwa mbali. Kama ni mziki baas mlaini very romantic. Kama ni waongeaji aka wapiga Domo wanaongea very romantic kama kina jimmy kabwe. Bongo usiombee uwassikilizw kina xyzHuo upuzi wa kupiga mziki kwa sauti kubwa upo africa tu,nchi zilizostaarabika hukuna ujinga