Kwenye hizi wiki akina 'Antony' wanapiga mwingi sana. Hawa sasa ndio wana CCM huru / Wana CCM asili

Kwenye hizi wiki akina 'Antony' wanapiga mwingi sana. Hawa sasa ndio wana CCM huru / Wana CCM asili

CCM Music

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2018
Posts
1,036
Reaction score
1,784
Huku Diallo, kule Mtaka.

Hawa ndio wana CCM huru / wana CCM asili.

Na kama ikiwezekana, baada ya Mama Samia then it could be Antony Mtaka. Anaijua Tanzania, anawajua watanzania.

Hebu Pascal Mayalla naomba uje upandishe nyuzi zako zile, japo nyakati hizi umeonekana kuyumba mno. Usisahau pia kunipa 'credit'.

Kudos wana CCM wa ukweli, wazalendo wa kweli wa Taifa letu.

Baada ya Mama Samia, mtu anayefuata ni Antony Mtaka.

#CCMhuruMovement
 
Huku Diallo, kule Mtaka.

Hawa ndio wana CCM huru / wana CCM asili.

Na kama ikiwezekana, baada ya Mama Samia then it could be Antony Mtaka. Anaijua Tanzania, anawajua watanzania.

Hebu Pascal Mayalla naomba uje upandishe nyuzi zako zile, japo nyakati hizi umeonekana kuyumba mno. Usisahau pia kunipa 'credit'.

Kudos wana CCM wa ukweli, wazalendo wa kweli wa Taifa letu.

Baada ya Mama Samia, mtu anayefuata ni Antony Mtaka.

#CCMhuruMovement
Ila wenyewe ndani mwao wanafarakana Kati ya wenye mawazo huru na mawazo mgando.
 
Huku Diallo, kule Mtaka.

Hawa ndio wana CCM huru / wana CCM asili.

Na kama ikiwezekana, baada ya Mama Samia then it could be Antony Mtaka. Anaijua Tanzania, anawajua watanzania.

Hebu Pascal Mayalla naomba uje upandishe nyuzi zako zile, japo nyakati hizi umeonekana kuyumba mno. Usisahau pia kunipa 'credit'.

Kudos wana CCM wa ukweli, wazalendo wa kweli wa Taifa letu.

Baada ya Mama Samia, mtu anayefuata ni Antony Mtaka.

#CCMhuruMovement
CHADEMA TWENDE NA DIALO 2025
 
Hahahaha huyo anaonekana asinge release ile nyongo ingemletea tabu sana
Ataachaje kuwa na nyongo wakati misheni zake za kutokulipa kodi zilivunjwaa na jembe..kuna watu ni vilaza sana..yaan mtu ni mwizi alaf kuna mijitu inawashabikia hiv ni lini watu wataacha kufuata hisia zao na kutanguliza maslahi ya nchi?
 
Ngoja na mimi ni teme nyonga ya kisiasa safi!
Mimi na mwendazake ni kitu kimoja (maamaeee mwendazake)
 
Huku Diallo, kule Mtaka.

Hawa ndio wana CCM huru / wana CCM asili.

Na kama ikiwezekana, baada ya Mama Samia then it could be Antony Mtaka. Anaijua Tanzania, anawajua watanzania.

Hebu Pascal Mayalla naomba uje upandishe nyuzi zako zile, japo nyakati hizi umeonekana kuyumba mno. Usisahau pia kunipa 'credit'.

Kudos wana CCM wa ukweli, wazalendo wa kweli wa Taifa letu.

Baada ya Mama Samia, mtu anayefuata ni Antony Mtaka.

#CCMhuruMovement
In Latin Baby Names the meaning of the name Antony is: Worthy of praise; of value. Saint Anthony is the patron sain of poor people.
 
Huku Diallo, kule Mtaka.

Hawa ndio wana CCM huru / wana CCM asili.

Na kama ikiwezekana, baada ya Mama Samia then it could be Antony Mtaka. Anaijua Tanzania, anawajua watanzania.

Hebu Pascal Mayalla naomba uje upandishe nyuzi zako zile, japo nyakati hizi umeonekana kuyumba mno. Usisahau pia kunipa 'credit'.

Kudos wana CCM wa ukweli, wazalendo wa kweli wa Taifa letu.

Baada ya Mama Samia, mtu anayefuata ni Antony Mtaka.

#CCMhuruMovement
Paschal katuita tukawe waandishi huru kama yeye
 
Back
Top Bottom