M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,027
Haeleweki.Sijui Kwa nini JF kwa sasa haimuamini P
Leo atasema hichi, kesho kile - halafu kwa jambo lile lile!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haeleweki.Sijui Kwa nini JF kwa sasa haimuamini P
Pascal Mayalla wadau wanasema ubadilike usiwe kigeugeu kama mimiHaeleweki.
Leo atasema hichi, kesho kile - halafu kwa jambo lile lile!
Huwa wanaathirika Sana bila kuitemaHahahaha huyo anaonekana asinge release ile nyongo ingemletea tabu sana
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] wale ni bendera fuata upepoNa wenyewe mawazo mgando ndo wanaibuka kidedea maana ni wengi balaa na wana courage za ajabu yaani
Yeah Antony nadhani alitumwa na kina kinana.Huku Diallo, kule Mtaka.
Hawa ndio wana CCM huru / wana CCM asili.
Na kama ikiwezekana, baada ya Mama Samia then it could be Antony Mtaka. Anaijua Tanzania, anawajua watanzania.
Hebu Pascal Mayalla naomba uje upandishe nyuzi zako zile, japo nyakati hizi umeonekana kuyumba mno. Usisahau pia kunipa 'credit'.
Kudos wana CCM wa ukweli, wazalendo wa kweli wa Taifa letu.
Baada ya Mama Samia, mtu anayefuata ni Antony Mtaka.
#CCMhuruMovement
Mkuu mbona anasahaulika Jaji Warioba?Nyongo OG ilikuwa ya Antoni peke yake, imechoma mno. Nyingine zote ni yokozuna mixer veve
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]eti yokozuna mixer veveNyongo OG ilikuwa ya Antoni peke yake, imechoma mno. Nyingine zote ni yokozuna mixer veve
Acha majungu wee maku weka ushahidi hapa Katikat wakuu wa mikoa mtaka ni bora aiseeMtaka hii ndio kazi unayoweza, kutumia influencers wa mitandaoni kukupamba na kukusifia 24/7.
Ila ipo siku mama Samia atakumulika, maana una upigaji sana