“Wananchi ndio walitaka na wanataka katiba mpyaJana Warioba naye kajazia
Huyu Jaji akikutana na Aloyce Nyanda anaweza akatema vitu vingi sn sema yule mtangazaji wa ITV (sijui Fahia Middle) huwa ni muoga sn kuuliza maswali ya msingi muda mwingi ni kuchekacheka hana issue yoyote.“Wananchi ndio walitaka na wanataka katiba mpya
Mtu anayesema hatuna haja ya katiba basi huyo yupo mbali na wananchi”... Jaji J. Warioba
Ktk kipindi cha DK 45 ITV sasa
Mshana Jr.Nyongo OG ilikuwa ya Antoni peke yake...imechoma mno..nyingine zote ni yokozuna mixer veve
Anaitwa: Balozi Jaji Joseph Sinde Warioba, hapa alipiga vizuri sana“Wananchi ndio walitaka na wanataka katiba mpya
Mtu anayesema hatuna haja ya katiba basi huyo yupo mbali na wananchi”... Jaji J. Warioba
Ktk kipindi cha DK 45 ITV sasa
Inatakiwa uwizi wao uthibitishwe na sheria za nchi sio maneno ya watu.Kama haiwi hivyo tunalea tatizo la kutochukuliana hatua kwahiyo inabaki kua utashi wa aliyeshika mpini kuumiza wenzake wakati yeye akijiweka salama.kwahiyo ukiona mtu mwizi bado yuko uraiani kama mtu huru jua wote wale wale ndo maana hawachukuliani hatua.Ataachaje kuwa na nyongo wakati misheni zake za kutokulipa kodi zilivunjwaa na jembe..kuna watu ni vilaza sana..yaan mtu ni mwizi alaf kuna mijitu inawashabikia hiv ni lini watu wataacha kufuata hisia zao na kutanguliza maslahi ya nchi?
Hili ndilo tatizo kubwa la watanzania wengi mno..yaan watu hawataki kusoma, kufuatilia habari, kuujua ukwel wao ni kupayuka payuka tu.Inatakiwa uwizi wao uthibitishwe na sheria za nchi sio maneno ya watu.Kama haiwi hivyo tunalea tatizo la kutochukuliana hatua kwahiyo inabaki kua utashi wa aliyeshika mpini kuumiza wenzake wakati yeye akijiweka salama.kwahiyo ukiona mtu mwizi bado yuko uraiani kama mtu huru jua wote wale wale ndo maana hawachukuliani hatua.
Aloyce Nyanda ni mchochezi anaandaa statement sio swali anataka wewe umalizie ha ha ha mwisho unaonekana wewe ndio umechomoa betri.Huyu Jaji akikutana na Aloyce Nyanda anaweza akatema vitu vingi sn sema yule mtangazaji wa ITV (sijui Fahia Middle) huwa ni muoga sn kuuliza maswali ya msingi muda mwingi ni kuchekacheka hana issue yoyote.
Rais dhaifu aliijenga sana nchi.Dikteta aliharibu sn nchi yetu
Mtakoma kawatoka wapuuzi nyieRais dhaifu aliijenga sana nchi.
Anaiga kutoka nje kimsingi kipindi chake nakikubali snAloyce Nyanda ni mchochezi anaandaa statement sio swali anataka wewe umalizie ha ha ha mwisho unaonekana wewe ndio umechomoa betri.
Kwanini kijani tusiende nae.CHADEMA TWENDE NA DIALO 2025
Shida watu walizoea kuwekewa pasta midomoni wakiipata fursa kwanini wasiseme waliyoshindwa kusema.Anaiga kutoka nje kimsingi kipindi chake nakikubali sn
Huyo ni gamba mwenzio, lakini toka wing ya sukuma Gang.Duuuu CDM mmeanza kuyumba kama kawaida yenu. 2025 Tanzania Mpya ya Samia, #kaziiendelee
Aloyce Nyanda hata enzi ya dikteta kipindi chake kilikuwa na mvuto snShida watu walizoea kuwekewa pasta midomoni wakiipata fursa kwanini wasiseme waliyoshindwa kusema.
Katoka Nyerere baba wa taifa.Mtakoma kawatoka wapuuzi nyie
Wanagang mnanyoroshwa taratibu,hizi tuziite kwenzi za kidigitali.Mtaka hii ndio kazi unayoweza, kutumia influencers wa mitandaoni kukupamba na kukusifia 24/7.
Ila ipo siku mama Samia atakumulika, maana una upigaji sana
Ananihusu nini mimi?Katoka Nyerere baba wa taifa.