Uchaguzi 2020 Kwenye Issue ya Membe, Maalim Seif umeover react na hii siyo sawa

Uchaguzi 2020 Kwenye Issue ya Membe, Maalim Seif umeover react na hii siyo sawa

Makachelo hawa wawili wanalao jambo. Wacha tuone kama maalim hajajitangaza tena kinyume na sharia za uchaguzi.
 
Ni heshima kuwa na uchambuzi wa aina hii. Hata hivyo kwa tunaomfahamu Maalimu Seif hii ndiyo hulka yake pale anapoona maslahi yake yanaguswa. Na ndicho tumekuwa tukumtahadharisha Kiongozi mkuu wa Chama. Sio kwa Membe tu, kikwazo chochote kitakachofanya Maalimu Seif na team yake wasifikie malengo yao wako tayari kukufitini na kukuchafua na ndio kazi aliyokuwa akipambana nayo Prof Lipumba wakati wote.

Maalimu aliitafuta ACT yenye viongozi wasio tishio ili kupata platfoam ya kutimiza njozi za kuwa Rais. Kwa sababu Maalimu hana Interest na Bara ana Interst na Visiwani (Kwa mujibu wa kauli zao wenyewe), akiupata ACT haitakuwa tena ilivyo sasa itaendeshwa kwa kadili watakavyo wahafidhina wa Maalimu.

Marehemu Mapalala, Marehemu Aboud Jumbe na Lipumba wanaujua moto wa Maalimu sasa ni zamu ya Membe akimalizana naye anafuata Kiongozi Mkuu wa Chama.
 
Kwanza niseme waziwazi kuwa mimi namuunga mkono Tundu Antipas Lissu kuwa ndiye mgombea ninayeamini anaweza kumng'oa John Joseph Magufuli na ndiye nitakayempigia kura.

Lakini pamoja na hayo lazima nikiri kuwa chama kinachonivutia nchini kwa sera, kuzungumza masuala ya wananchi kwa hoja mathubuti, kwa utafiti wa kisomi, mipango mkakati na ilani ni ACT Wazalendo

Lakini pamoja na hayo nimeshtushwa sana na kauli ya mwenyekiti wa ACT ndugu Maalim Seif aliyoitoa dhidi ya Ndugu Benard Cammilius Membe, binafsi naiona kama ni kauli ambayo kama ilibidi kutolewa basi ingetolewa kwa namna na style nyingine tofauti na aliyotumia maalim Seif.

1. Ndugu Maalim, Bernad Membe ni mkubwa mwenzio anastahili staha na heshima mbele ya Umma

Kwa hadhi, umri na utumishi uliotukuka wa mh Membe kwa nchi hii siyo sawa na siyo sahihi hata kidogo kwenda kuongea kwa style uliyotumia pale mbele ya vyombo vya habari. Siyo sawa kumkaripia mheshimiwa Membe kama mtoto mdogo. Mimi kama mwananchi ninayependa ustawi wa Demokrasia nchini, sidhani kama ni sahihi viongozi, tena viongozi wakubwa kuitisha press conference na kuanza kushambuliana katika vyombo vya habari.

ACT ina vikao, kama Membe alikosea ilikuwa ni jukumu lako kumuita na kuongea naye ili kuelewa kiundani hasa alikuwa anamaanisha nini, na hata kama alikosea hilo suala halimalizwi kwenye press conference bali ndani ya vikao vya chama na kama ikibidi ndo mnatoa press release juu ya maamuzi ya vikao vya chama, siyo mwenyekiti anaitisha vikao kwenda "kumsuta" mgombea wake mwenyewe. Hii nidhamu ya wapi, au nidhamu ni kwa wadogo tu?

2. Kiongozi wa Chama alimhakikishia Ndugu Membe heshima

Wakati akihojiwa na chombo kimoja cha nje, Kipindi cha ujio wa Membe hapo ACT, Kiongozi mkuu wa Chama alimhakikishia ndugu Membe heshima, na akasema pengine kilichowaondoa akina Lowasa Chadema ni kujihisi hawaheshimiwi vya kutosha. Sasa haijapita miezi minne tangu mheshimiwa Membe aingie ACT mnaanza kumkoromea Mgombea urais wenu wenyewe, mliompitisha kwenye vikao halali, mkaturushia sisi wananchi Live kwenye TV, kwa mbwembwe kubwa, mkaenda kumtambulisha unguja na Pemba halafu mnakuja kumrebuke hadharani na kumchallenge eti afanye kampeni tuone, Yaani mnaanza kumdhihaki badala ya kutafuta naye suluhu juu ya suala hilo ambalo yeye na ACT wamewekeza mtaji mkubwa kabisa. Au mnadhani ACT ni nyie wawili Zitto na Maalim peke yenu na kwamba siye wananchi hatuna stake katika maamuzi ya chama kwa ujumla wake?

3. Kuna maisha baada ya Uchaguzi

ACT inatakiwa ikitoka katika uchaguzi huu iwe moja, iwe na nguvu kubwa zaidi ya kuendeleza mapambano ya kupanua demokrasia nchini na kujijenga zaidi. Sasa mtajijengaje wakati mmeraruana humu ndani kwa ndani kisa tu mmeona mgombea wenu uchaguzi umemkalia vibaya na badala ya kukaa kama chama mje na stratergy ya pamoja ya kuwaeleza wananchi msimamo halisi wa chama baada ya kukaa kikao tena na tena bila kuchoka na mgombea, nyie mnaanza kumuattack. Nyie ACT Wazalendo hebu tuelezeni, ni lini na ni wapi kamati kuu ya Chama ilikaa na mgombea na mkasema kuwa sasa Wewe Membe siyo Mgombea tena kwa tiketi ya ACT bali sasa mgombea wetu ni Lissu?. Haiwezekani utashi wa Zitto na Maalim peke yenu kwa sababu ya maslahi yenu binafsi ya kisiasa ya leo na ya kesho mkaamua tu kuwa hatukuungi mkono bali tunamuunga mkono yule. Kama mlitaka hivyo nyinyi sasa mlimpitisha awe gombea kwa sababu gani, kwani mlilazimishwa kuweka mgombea?

5. ACT mlimpitisha Membe kihalali msijifanye hamumjui

Mkutano mkuu mliufanya, mkaturushia Live kwenye TV, mkaserebuka sana, mkatwambia kuwa Membe ndiye mwenyewe, baada ya hapo mkazindua na Ilani yenu, mkamkabidhi Membe sasa hamuwezi kuja hivi kwetu sisi wananchi kienyejienyeji eti hamumjui kuwa ni mgombea halali wa ACT. Sasa kama Maalim anaweza kumruka Kimanga mgombea wake yeye mwenyewe aliyempitisha huku akiwa ni mwenyekiti wa Kikao atashindwaje kuwakana Wazanzibar wakishampigia kura na kuwa raisi?. Hivi vitu nyie ACT msidhani ni vidogo, ni vikubwa sana kwetu wananchi maana tunapima uwezo wenu wa kuendesha mambo yenu wenyewe!

6. Hakukuwa na ulazima kwenye kipindi hiki cha lala salama kuonyesha udhaifu ndani ya chama

Kama ilitakiwa kuwapa signal wananchi kiujumla na wafuasi wa Membe wamchague Lissu ilitakiwa kutumia lugha nzuri ya kisiasa ili kuwafanya watu wafanye hivyo. Kitendo cha kuja mbele wiki moja kabla ya uchaguzi na kuonyesha kuwa kuna mgogoro ndani ya chama kunawatisha wananchi, kunawakumbusha mambo ya Dr Slaa na Lipumba kuanzisha zogo siku chache kabla ya uchaguzi. kuna siku Zitto aliulizwa juu ya harakati za kampeni za Membe, Jibu akajibu kuwa yuko busy anaandaa baraza la mawaziri, hiyo kauli ilikuwa ni ya kisiasa na ilikuwa ni jibu zuri la kuondoa kiwingu cha maswali ambayo yangefuata ambayo yasingekuwa mazuri kwa kambi ya upinzani. Sasa Maalim ulishindwaje kutumia sense of humor, au positive propaganda kupangua damage yoyote unayodhani ilileymtwa na press conference ya Membe?. Maalim kwa nini hakukubaliana na baadhi ya mambo mazuri kabisa kwenye hiyo press conference ili kuonyesha balance, Kiukweli kuna mambo nyeti na mazuri pia ambayo Membe aliongea siku hiyo!

7. Ombi kwa mheshimiwa Membe

Mzee wangu Membe, nakuomba umuunge mkono Lissu, ikiwezekana usitumie mafumbo sana, tumia njia unayodhani inafaa ili ueleweke na uwe safe kisheria, naamini unamuunga mkono Lissu kwa namna moja au nyingine ndiyo maana ukajitolea kumpa nafasi afanye kampeni bila wewe kutofanya ili usimharibie. Ila kwa bahati mbaya wenzio hawajakuelewa, naomba uwaeleweshe kuwa ni nini hasa makusudio yako. Mimi naamini ukiusaidia upinzani kustawi itauwa rahisi kuipasua CCM kwa sababu usipoaminika wewe leo, wana CCM makini wataogopa kuikimbia CCM, na kwa bahati mbaya akina Zitto hawalioni hili. Tunajua una wafuasi wengi nchini, wakiwemo wananchi wa kusini hasa Lindi, hawa wote Lissu anahitaji kura zao, nakuomba uwaombe kwa namna yoyote utakayoweza wampe kura Lissu ili tuuondoe utawala dhalimu wa CCM. Mwisho nakuomba uwasamehe akina maalim hawajakuelewa bado, hawajaelewa sense yako of humor, hawajaelewa kuwa unataka kucheza hii gemu kusaidia upinzani lakini bila kuingia matatani kwenye mkono wa sheria. Talk to them, i hope they will understand!
Pamoja na yote kumbuka watu wako kwenye vita ya kutaka kuing'oa ccm - and they mean business! Naamini kabisa kwamba Maalim hakukurupuka kufanya ile press conference. Bila shaka kuna mawasiliano ya ndani na ya kina yamefanyika kati ya Maalim, Zitto na Membe mwenyewe.

Lakini pia, zaidi ya robo tatu ya muda wa kampeni umemalizika ila hakuna ushahidi wowote kumwonyesha Membe akiwa kwenye jukwaa lolote akimnadi mgombea yeyote wa ACT! Sasa kama Maalim kaona dalili za kirusi kwenye hizi dakika za majeruhi ulitaka amchekee wkt akiona wazi kabisa kirusi kinatoboa mtumbwi?
 
Kwenye mabadiliko ya kweli lazima ma snitch wawepo. Hata South Africa wakati wa vuguvugu la kuondoa makaburu wapo weusi waliokuwa mapandikizi wa makaburu na wali wasnitch weusi wenzao.
Membe hashangazi ila kikubwa hawezi kuzuia mabadiliko makubwa na ya kihistoria waliojiandaa kuyafanya watanzania mwaka huu!!

Tunaenda kumchagua kwa nguvu zote Tundu Antiphas Lissu hapo wiki ijayo na kumsimika kuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025
nachekaga sana nikisikia wazee wa mihemko...hivi mnajua huyo maalim seif ndo snitch namba moja..yeye alimsemea aboud jumbe kwa nyerere kisa jumbe alitaka mambo ya zanzibar yafanyiwe kazi...kwanza hao washika katiba hadi sasa washaivunja sana hiyo katiba yao
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2020-10-21 at 08.06.29 (1).jpeg
    WhatsApp Image 2020-10-21 at 08.06.29 (1).jpeg
    47.2 KB · Views: 2
Kwanza niseme waziwazi kuwa mimi namuunga mkono Tundu Antipas Lissu kuwa ndiye mgombea ninayeamini anaweza kumng'oa John Joseph Magufuli na ndiye nitakayempigia kura.

Lakini pamoja na hayo lazima nikiri kuwa chama kinachonivutia nchini kwa sera, kuzungumza masuala ya wananchi kwa hoja mathubuti, kwa utafiti wa kisomi, mipango mkakati na ilani ni ACT Wazalendo

Lakini pamoja na hayo nimeshtushwa sana na kauli ya mwenyekiti wa ACT ndugu Maalim Seif aliyoitoa dhidi ya Ndugu Benard Cammilius Membe, binafsi naiona kama ni kauli ambayo kama ilibidi kutolewa basi ingetolewa kwa namna na style nyingine tofauti na aliyotumia maalim Seif.

1. Ndugu Maalim, Bernad Membe ni mkubwa mwenzio anastahili staha na heshima mbele ya Umma

Kwa hadhi, umri na utumishi uliotukuka wa mh Membe kwa nchi hii siyo sawa na siyo sahihi hata kidogo kwenda kuongea kwa style uliyotumia pale mbele ya vyombo vya habari. Siyo sawa kumkaripia mheshimiwa Membe kama mtoto mdogo. Mimi kama mwananchi ninayependa ustawi wa Demokrasia nchini, sidhani kama ni sahihi viongozi, tena viongozi wakubwa kuitisha press conference na kuanza kushambuliana katika vyombo vya habari.

ACT ina vikao, kama Membe alikosea ilikuwa ni jukumu lako kumuita na kuongea naye ili kuelewa kiundani hasa alikuwa anamaanisha nini, na hata kama alikosea hilo suala halimalizwi kwenye press conference bali ndani ya vikao vya chama na kama ikibidi ndo mnatoa press release juu ya maamuzi ya vikao vya chama, siyo mwenyekiti anaitisha vikao kwenda "kumsuta" mgombea wake mwenyewe. Hii nidhamu ya wapi, au nidhamu ni kwa wadogo tu?

2. Kiongozi wa Chama alimhakikishia Ndugu Membe heshima

Wakati akihojiwa na chombo kimoja cha nje, Kipindi cha ujio wa Membe hapo ACT, Kiongozi mkuu wa Chama alimhakikishia ndugu Membe heshima, na akasema pengine kilichowaondoa akina Lowasa Chadema ni kujihisi hawaheshimiwi vya kutosha. Sasa haijapita miezi minne tangu mheshimiwa Membe aingie ACT mnaanza kumkoromea Mgombea urais wenu wenyewe, mliompitisha kwenye vikao halali, mkaturushia sisi wananchi Live kwenye TV, kwa mbwembwe kubwa, mkaenda kumtambulisha unguja na Pemba halafu mnakuja kumrebuke hadharani na kumchallenge eti afanye kampeni tuone, Yaani mnaanza kumdhihaki badala ya kutafuta naye suluhu juu ya suala hilo ambalo yeye na ACT wamewekeza mtaji mkubwa kabisa. Au mnadhani ACT ni nyie wawili Zitto na Maalim peke yenu na kwamba siye wananchi hatuna stake katika maamuzi ya chama kwa ujumla wake?

3. Kuna maisha baada ya Uchaguzi

ACT inatakiwa ikitoka katika uchaguzi huu iwe moja, iwe na nguvu kubwa zaidi ya kuendeleza mapambano ya kupanua demokrasia nchini na kujijenga zaidi. Sasa mtajijengaje wakati mmeraruana humu ndani kwa ndani kisa tu mmeona mgombea wenu uchaguzi umemkalia vibaya na badala ya kukaa kama chama mje na stratergy ya pamoja ya kuwaeleza wananchi msimamo halisi wa chama baada ya kukaa kikao tena na tena bila kuchoka na mgombea, nyie mnaanza kumuattack. Nyie ACT Wazalendo hebu tuelezeni, ni lini na ni wapi kamati kuu ya Chama ilikaa na mgombea na mkasema kuwa sasa Wewe Membe siyo Mgombea tena kwa tiketi ya ACT bali sasa mgombea wetu ni Lissu?. Haiwezekani utashi wa Zitto na Maalim peke yenu kwa sababu ya maslahi yenu binafsi ya kisiasa ya leo na ya kesho mkaamua tu kuwa hatukuungi mkono bali tunamuunga mkono yule. Kama mlitaka hivyo nyinyi sasa mlimpitisha awe gombea kwa sababu gani, kwani mlilazimishwa kuweka mgombea?

5. ACT mlimpitisha Membe kihalali msijifanye hamumjui

Mkutano mkuu mliufanya, mkaturushia Live kwenye TV, mkaserebuka sana, mkatwambia kuwa Membe ndiye mwenyewe, baada ya hapo mkazindua na Ilani yenu, mkamkabidhi Membe sasa hamuwezi kuja hivi kwetu sisi wananchi kienyejienyeji eti hamumjui kuwa ni mgombea halali wa ACT. Sasa kama Maalim anaweza kumruka Kimanga mgombea wake yeye mwenyewe aliyempitisha huku akiwa ni mwenyekiti wa Kikao atashindwaje kuwakana Wazanzibar wakishampigia kura na kuwa raisi?. Hivi vitu nyie ACT msidhani ni vidogo, ni vikubwa sana kwetu wananchi maana tunapima uwezo wenu wa kuendesha mambo yenu wenyewe!

6. Hakukuwa na ulazima kwenye kipindi hiki cha lala salama kuonyesha udhaifu ndani ya chama

Kama ilitakiwa kuwapa signal wananchi kiujumla na wafuasi wa Membe wamchague Lissu ilitakiwa kutumia lugha nzuri ya kisiasa ili kuwafanya watu wafanye hivyo. Kitendo cha kuja mbele wiki moja kabla ya uchaguzi na kuonyesha kuwa kuna mgogoro ndani ya chama kunawatisha wananchi, kunawakumbusha mambo ya Dr Slaa na Lipumba kuanzisha zogo siku chache kabla ya uchaguzi. kuna siku Zitto aliulizwa juu ya harakati za kampeni za Membe, Jibu akajibu kuwa yuko busy anaandaa baraza la mawaziri, hiyo kauli ilikuwa ni ya kisiasa na ilikuwa ni jibu zuri la kuondoa kiwingu cha maswali ambayo yangefuata ambayo yasingekuwa mazuri kwa kambi ya upinzani. Sasa Maalim ulishindwaje kutumia sense of humor, au positive propaganda kupangua damage yoyote unayodhani ilileymtwa na press conference ya Membe?. Maalim kwa nini hakukubaliana na baadhi ya mambo mazuri kabisa kwenye hiyo press conference ili kuonyesha balance, Kiukweli kuna mambo nyeti na mazuri pia ambayo Membe aliongea siku hiyo!

7. Ombi kwa mheshimiwa Membe

Mzee wangu Membe, nakuomba umuunge mkono Lissu, ikiwezekana usitumie mafumbo sana, tumia njia unayodhani inafaa ili ueleweke na uwe safe kisheria, naamini unamuunga mkono Lissu kwa namna moja au nyingine ndiyo maana ukajitolea kumpa nafasi afanye kampeni bila wewe kutofanya ili usimharibie. Ila kwa bahati mbaya wenzio hawajakuelewa, naomba uwaeleweshe kuwa ni nini hasa makusudio yako. Mimi naamini ukiusaidia upinzani kustawi itauwa rahisi kuipasua CCM kwa sababu usipoaminika wewe leo, wana CCM makini wataogopa kuikimbia CCM, na kwa bahati mbaya akina Zitto hawalioni hili. Tunajua una wafuasi wengi nchini, wakiwemo wananchi wa kusini hasa Lindi, hawa wote Lissu anahitaji kura zao, nakuomba uwaombe kwa namna yoyote utakayoweza wampe kura Lissu ili tuuondoe utawala dhalimu wa CCM. Mwisho nakuomba uwasamehe akina maalim hawajakuelewa bado, hawajaelewa sense yako of humor, hawajaelewa kuwa unataka kucheza hii gemu kusaidia upinzani lakini bila kuingia matatani kwenye mkono wa sheria. Talk to them, i hope they will understand!
They have realised that Membe is a moole in ACT that's why they came up with what they are telling the mass kuwa watampigia kura Tundu Antipas Lissu kwa nafasi ya urais wa JMT.
 
Kwanza niseme waziwazi kuwa mimi namuunga mkono Tundu Antipas Lissu kuwa ndiye mgombea ninayeamini anaweza kumng'oa John Joseph Magufuli na ndiye nitakayempigia kura.

Lakini pamoja na hayo lazima nikiri kuwa chama kinachonivutia nchini kwa sera, kuzungumza masuala ya wananchi kwa hoja mathubuti, kwa utafiti wa kisomi, mipango mkakati na ilani ni ACT Wazalendo

Lakini pamoja na hayo nimeshtushwa sana na kauli ya mwenyekiti wa ACT ndugu Maalim Seif aliyoitoa dhidi ya Ndugu Benard Cammilius Membe, binafsi naiona kama ni kauli ambayo kama ilibidi kutolewa basi ingetolewa kwa namna na style nyingine tofauti na aliyotumia maalim Seif.

1. Ndugu Maalim, Bernad Membe ni mkubwa mwenzio anastahili staha na heshima mbele ya Umma

Kwa hadhi, umri na utumishi uliotukuka wa mh Membe kwa nchi hii siyo sawa na siyo sahihi hata kidogo kwenda kuongea kwa style uliyotumia pale mbele ya vyombo vya habari. Siyo sawa kumkaripia mheshimiwa Membe kama mtoto mdogo. Mimi kama mwananchi ninayependa ustawi wa Demokrasia nchini, sidhani kama ni sahihi viongozi, tena viongozi wakubwa kuitisha press conference na kuanza kushambuliana katika vyombo vya habari.

ACT ina vikao, kama Membe alikosea ilikuwa ni jukumu lako kumuita na kuongea naye ili kuelewa kiundani hasa alikuwa anamaanisha nini, na hata kama alikosea hilo suala halimalizwi kwenye press conference bali ndani ya vikao vya chama na kama ikibidi ndo mnatoa press release juu ya maamuzi ya vikao vya chama, siyo mwenyekiti anaitisha vikao kwenda "kumsuta" mgombea wake mwenyewe. Hii nidhamu ya wapi, au nidhamu ni kwa wadogo tu?

2. Kiongozi wa Chama alimhakikishia Ndugu Membe heshima

Wakati akihojiwa na chombo kimoja cha nje, Kipindi cha ujio wa Membe hapo ACT, Kiongozi mkuu wa Chama alimhakikishia ndugu Membe heshima, na akasema pengine kilichowaondoa akina Lowasa Chadema ni kujihisi hawaheshimiwi vya kutosha. Sasa haijapita miezi minne tangu mheshimiwa Membe aingie ACT mnaanza kumkoromea Mgombea urais wenu wenyewe, mliompitisha kwenye vikao halali, mkaturushia sisi wananchi Live kwenye TV, kwa mbwembwe kubwa, mkaenda kumtambulisha unguja na Pemba halafu mnakuja kumrebuke hadharani na kumchallenge eti afanye kampeni tuone, Yaani mnaanza kumdhihaki badala ya kutafuta naye suluhu juu ya suala hilo ambalo yeye na ACT wamewekeza mtaji mkubwa kabisa. Au mnadhani ACT ni nyie wawili Zitto na Maalim peke yenu na kwamba siye wananchi hatuna stake katika maamuzi ya chama kwa ujumla wake?

3. Kuna maisha baada ya Uchaguzi

ACT inatakiwa ikitoka katika uchaguzi huu iwe moja, iwe na nguvu kubwa zaidi ya kuendeleza mapambano ya kupanua demokrasia nchini na kujijenga zaidi. Sasa mtajijengaje wakati mmeraruana humu ndani kwa ndani kisa tu mmeona mgombea wenu uchaguzi umemkalia vibaya na badala ya kukaa kama chama mje na stratergy ya pamoja ya kuwaeleza wananchi msimamo halisi wa chama baada ya kukaa kikao tena na tena bila kuchoka na mgombea, nyie mnaanza kumuattack. Nyie ACT Wazalendo hebu tuelezeni, ni lini na ni wapi kamati kuu ya Chama ilikaa na mgombea na mkasema kuwa sasa Wewe Membe siyo Mgombea tena kwa tiketi ya ACT bali sasa mgombea wetu ni Lissu?. Haiwezekani utashi wa Zitto na Maalim peke yenu kwa sababu ya maslahi yenu binafsi ya kisiasa ya leo na ya kesho mkaamua tu kuwa hatukuungi mkono bali tunamuunga mkono yule. Kama mlitaka hivyo nyinyi sasa mlimpitisha awe gombea kwa sababu gani, kwani mlilazimishwa kuweka mgombea?

5. ACT mlimpitisha Membe kihalali msijifanye hamumjui

Mkutano mkuu mliufanya, mkaturushia Live kwenye TV, mkaserebuka sana, mkatwambia kuwa Membe ndiye mwenyewe, baada ya hapo mkazindua na Ilani yenu, mkamkabidhi Membe sasa hamuwezi kuja hivi kwetu sisi wananchi kienyejienyeji eti hamumjui kuwa ni mgombea halali wa ACT. Sasa kama Maalim anaweza kumruka Kimanga mgombea wake yeye mwenyewe aliyempitisha huku akiwa ni mwenyekiti wa Kikao atashindwaje kuwakana Wazanzibar wakishampigia kura na kuwa raisi?. Hivi vitu nyie ACT msidhani ni vidogo, ni vikubwa sana kwetu wananchi maana tunapima uwezo wenu wa kuendesha mambo yenu wenyewe!

6. Hakukuwa na ulazima kwenye kipindi hiki cha lala salama kuonyesha udhaifu ndani ya chama

Kama ilitakiwa kuwapa signal wananchi kiujumla na wafuasi wa Membe wamchague Lissu ilitakiwa kutumia lugha nzuri ya kisiasa ili kuwafanya watu wafanye hivyo. Kitendo cha kuja mbele wiki moja kabla ya uchaguzi na kuonyesha kuwa kuna mgogoro ndani ya chama kunawatisha wananchi, kunawakumbusha mambo ya Dr Slaa na Lipumba kuanzisha zogo siku chache kabla ya uchaguzi. kuna siku Zitto aliulizwa juu ya harakati za kampeni za Membe, Jibu akajibu kuwa yuko busy anaandaa baraza la mawaziri, hiyo kauli ilikuwa ni ya kisiasa na ilikuwa ni jibu zuri la kuondoa kiwingu cha maswali ambayo yangefuata ambayo yasingekuwa mazuri kwa kambi ya upinzani. Sasa Maalim ulishindwaje kutumia sense of humor, au positive propaganda kupangua damage yoyote unayodhani ilileymtwa na press conference ya Membe?. Maalim kwa nini hakukubaliana na baadhi ya mambo mazuri kabisa kwenye hiyo press conference ili kuonyesha balance, Kiukweli kuna mambo nyeti na mazuri pia ambayo Membe aliongea siku hiyo!

7. Ombi kwa mheshimiwa Membe

Mzee wangu Membe, nakuomba umuunge mkono Lissu, ikiwezekana usitumie mafumbo sana, tumia njia unayodhani inafaa ili ueleweke na uwe safe kisheria, naamini unamuunga mkono Lissu kwa namna moja au nyingine ndiyo maana ukajitolea kumpa nafasi afanye kampeni bila wewe kutofanya ili usimharibie. Ila kwa bahati mbaya wenzio hawajakuelewa, naomba uwaeleweshe kuwa ni nini hasa makusudio yako. Mimi naamini ukiusaidia upinzani kustawi itauwa rahisi kuipasua CCM kwa sababu usipoaminika wewe leo, wana CCM makini wataogopa kuikimbia CCM, na kwa bahati mbaya akina Zitto hawalioni hili. Tunajua una wafuasi wengi nchini, wakiwemo wananchi wa kusini hasa Lindi, hawa wote Lissu anahitaji kura zao, nakuomba uwaombe kwa namna yoyote utakayoweza wampe kura Lissu ili tuuondoe utawala dhalimu wa CCM. Mwisho nakuomba uwasamehe akina maalim hawajakuelewa bado, hawajaelewa sense yako of humor, hawajaelewa kuwa unataka kucheza hii gemu kusaidia upinzani lakini bila kuingia matatani kwenye mkono wa sheria. Talk to them, i hope they will understand!
Explicit is better than implicit
 
Kwanza niseme waziwazi kuwa mimi namuunga mkono Tundu Antipas Lissu kuwa ndiye mgombea ninayeamini anaweza kumng'oa John Joseph Magufuli na ndiye nitakayempigia kura.

Lakini pamoja na hayo lazima nikiri kuwa chama kinachonivutia nchini kwa sera, kuzungumza masuala ya wananchi kwa hoja mathubuti, kwa utafiti wa kisomi, mipango mkakati na ilani ni ACT Wazalendo

Lakini pamoja na hayo nimeshtushwa sana na kauli ya mwenyekiti wa ACT ndugu Maalim Seif aliyoitoa dhidi ya Ndugu Benard Cammilius Membe, binafsi naiona kama ni kauli ambayo kama ilibidi kutolewa basi ingetolewa kwa namna na style nyingine tofauti na aliyotumia maalim Seif.

1. Ndugu Maalim, Bernad Membe ni mkubwa mwenzio anastahili staha na heshima mbele ya Umma

Kwa hadhi, umri na utumishi uliotukuka wa mh Membe kwa nchi hii siyo sawa na siyo sahihi hata kidogo kwenda kuongea kwa style uliyotumia pale mbele ya vyombo vya habari. Siyo sawa kumkaripia mheshimiwa Membe kama mtoto mdogo. Mimi kama mwananchi ninayependa ustawi wa Demokrasia nchini, sidhani kama ni sahihi viongozi, tena viongozi wakubwa kuitisha press conference na kuanza kushambuliana katika vyombo vya habari.

ACT ina vikao, kama Membe alikosea ilikuwa ni jukumu lako kumuita na kuongea naye ili kuelewa kiundani hasa alikuwa anamaanisha nini, na hata kama alikosea hilo suala halimalizwi kwenye press conference bali ndani ya vikao vya chama na kama ikibidi ndo mnatoa press release juu ya maamuzi ya vikao vya chama, siyo mwenyekiti anaitisha vikao kwenda "kumsuta" mgombea wake mwenyewe. Hii nidhamu ya wapi, au nidhamu ni kwa wadogo tu?

2. Kiongozi wa Chama alimhakikishia Ndugu Membe heshima

Wakati akihojiwa na chombo kimoja cha nje, Kipindi cha ujio wa Membe hapo ACT, Kiongozi mkuu wa Chama alimhakikishia ndugu Membe heshima, na akasema pengine kilichowaondoa akina Lowasa Chadema ni kujihisi hawaheshimiwi vya kutosha. Sasa haijapita miezi minne tangu mheshimiwa Membe aingie ACT mnaanza kumkoromea Mgombea urais wenu wenyewe, mliompitisha kwenye vikao halali, mkaturushia sisi wananchi Live kwenye TV, kwa mbwembwe kubwa, mkaenda kumtambulisha unguja na Pemba halafu mnakuja kumrebuke hadharani na kumchallenge eti afanye kampeni tuone, Yaani mnaanza kumdhihaki badala ya kutafuta naye suluhu juu ya suala hilo ambalo yeye na ACT wamewekeza mtaji mkubwa kabisa. Au mnadhani ACT ni nyie wawili Zitto na Maalim peke yenu na kwamba siye wananchi hatuna stake katika maamuzi ya chama kwa ujumla wake?

3. Kuna maisha baada ya Uchaguzi

ACT inatakiwa ikitoka katika uchaguzi huu iwe moja, iwe na nguvu kubwa zaidi ya kuendeleza mapambano ya kupanua demokrasia nchini na kujijenga zaidi. Sasa mtajijengaje wakati mmeraruana humu ndani kwa ndani kisa tu mmeona mgombea wenu uchaguzi umemkalia vibaya na badala ya kukaa kama chama mje na stratergy ya pamoja ya kuwaeleza wananchi msimamo halisi wa chama baada ya kukaa kikao tena na tena bila kuchoka na mgombea, nyie mnaanza kumuattack. Nyie ACT Wazalendo hebu tuelezeni, ni lini na ni wapi kamati kuu ya Chama ilikaa na mgombea na mkasema kuwa sasa Wewe Membe siyo Mgombea tena kwa tiketi ya ACT bali sasa mgombea wetu ni Lissu?. Haiwezekani utashi wa Zitto na Maalim peke yenu kwa sababu ya maslahi yenu binafsi ya kisiasa ya leo na ya kesho mkaamua tu kuwa hatukuungi mkono bali tunamuunga mkono yule. Kama mlitaka hivyo nyinyi sasa mlimpitisha awe gombea kwa sababu gani, kwani mlilazimishwa kuweka mgombea?

5. ACT mlimpitisha Membe kihalali msijifanye hamumjui

Mkutano mkuu mliufanya, mkaturushia Live kwenye TV, mkaserebuka sana, mkatwambia kuwa Membe ndiye mwenyewe, baada ya hapo mkazindua na Ilani yenu, mkamkabidhi Membe sasa hamuwezi kuja hivi kwetu sisi wananchi kienyejienyeji eti hamumjui kuwa ni mgombea halali wa ACT. Sasa kama Maalim anaweza kumruka Kimanga mgombea wake yeye mwenyewe aliyempitisha huku akiwa ni mwenyekiti wa Kikao atashindwaje kuwakana Wazanzibar wakishampigia kura na kuwa raisi?. Hivi vitu nyie ACT msidhani ni vidogo, ni vikubwa sana kwetu wananchi maana tunapima uwezo wenu wa kuendesha mambo yenu wenyewe!

6. Hakukuwa na ulazima kwenye kipindi hiki cha lala salama kuonyesha udhaifu ndani ya chama

Kama ilitakiwa kuwapa signal wananchi kiujumla na wafuasi wa Membe wamchague Lissu ilitakiwa kutumia lugha nzuri ya kisiasa ili kuwafanya watu wafanye hivyo. Kitendo cha kuja mbele wiki moja kabla ya uchaguzi na kuonyesha kuwa kuna mgogoro ndani ya chama kunawatisha wananchi, kunawakumbusha mambo ya Dr Slaa na Lipumba kuanzisha zogo siku chache kabla ya uchaguzi. kuna siku Zitto aliulizwa juu ya harakati za kampeni za Membe, Jibu akajibu kuwa yuko busy anaandaa baraza la mawaziri, hiyo kauli ilikuwa ni ya kisiasa na ilikuwa ni jibu zuri la kuondoa kiwingu cha maswali ambayo yangefuata ambayo yasingekuwa mazuri kwa kambi ya upinzani. Sasa Maalim ulishindwaje kutumia sense of humor, au positive propaganda kupangua damage yoyote unayodhani ilileymtwa na press conference ya Membe?. Maalim kwa nini hakukubaliana na baadhi ya mambo mazuri kabisa kwenye hiyo press conference ili kuonyesha balance, Kiukweli kuna mambo nyeti na mazuri pia ambayo Membe aliongea siku hiyo!

7. Ombi kwa mheshimiwa Membe

Mzee wangu Membe, nakuomba umuunge mkono Lissu, ikiwezekana usitumie mafumbo sana, tumia njia unayodhani inafaa ili ueleweke na uwe safe kisheria, naamini unamuunga mkono Lissu kwa namna moja au nyingine ndiyo maana ukajitolea kumpa nafasi afanye kampeni bila wewe kutofanya ili usimharibie. Ila kwa bahati mbaya wenzio hawajakuelewa, naomba uwaeleweshe kuwa ni nini hasa makusudio yako. Mimi naamini ukiusaidia upinzani kustawi itauwa rahisi kuipasua CCM kwa sababu usipoaminika wewe leo, wana CCM makini wataogopa kuikimbia CCM, na kwa bahati mbaya akina Zitto hawalioni hili. Tunajua una wafuasi wengi nchini, wakiwemo wananchi wa kusini hasa Lindi, hawa wote Lissu anahitaji kura zao, nakuomba uwaombe kwa namna yoyote utakayoweza wampe kura Lissu ili tuuondoe utawala dhalimu wa CCM. Mwisho nakuomba uwasamehe akina maalim hawajakuelewa bado, hawajaelewa sense yako of humor, hawajaelewa kuwa unataka kucheza hii gemu kusaidia upinzani lakini bila kuingia matatani kwenye mkono wa sheria. Talk to them, i hope they will understand!
Nakubaliana na kichwa cha habari.
 
Kwanza niseme waziwazi kuwa mimi namuunga mkono Tundu Antipas Lissu kuwa ndiye mgombea ninayeamini anaweza kumng'oa John Joseph Magufuli na ndiye nitakayempigia kura.

Lakini pamoja na hayo lazima nikiri kuwa chama kinachonivutia nchini kwa sera, kuzungumza masuala ya wananchi kwa hoja mathubuti, kwa utafiti wa kisomi, mipango mkakati na ilani ni ACT Wazalendo

Lakini pamoja na hayo nimeshtushwa sana na kauli ya mwenyekiti wa ACT ndugu Maalim Seif aliyoitoa dhidi ya Ndugu Benard Cammilius Membe, binafsi naiona kama ni kauli ambayo kama ilibidi kutolewa basi ingetolewa kwa namna na style nyingine tofauti na aliyotumia maalim Seif.

1. Ndugu Maalim, Bernad Membe ni mkubwa mwenzio anastahili staha na heshima mbele ya Umma

Kwa hadhi, umri na utumishi uliotukuka wa mh Membe kwa nchi hii siyo sawa na siyo sahihi hata kidogo kwenda kuongea kwa style uliyotumia pale mbele ya vyombo vya habari. Siyo sawa kumkaripia mheshimiwa Membe kama mtoto mdogo. Mimi kama mwananchi ninayependa ustawi wa Demokrasia nchini, sidhani kama ni sahihi viongozi, tena viongozi wakubwa kuitisha press conference na kuanza kushambuliana katika vyombo vya habari.

ACT ina vikao, kama Membe alikosea ilikuwa ni jukumu lako kumuita na kuongea naye ili kuelewa kiundani hasa alikuwa anamaanisha nini, na hata kama alikosea hilo suala halimalizwi kwenye press conference bali ndani ya vikao vya chama na kama ikibidi ndo mnatoa press release juu ya maamuzi ya vikao vya chama, siyo mwenyekiti anaitisha vikao kwenda "kumsuta" mgombea wake mwenyewe. Hii nidhamu ya wapi, au nidhamu ni kwa wadogo tu?

2. Kiongozi wa Chama alimhakikishia Ndugu Membe heshima

Wakati akihojiwa na chombo kimoja cha nje, Kipindi cha ujio wa Membe hapo ACT, Kiongozi mkuu wa Chama alimhakikishia ndugu Membe heshima, na akasema pengine kilichowaondoa akina Lowasa Chadema ni kujihisi hawaheshimiwi vya kutosha. Sasa haijapita miezi minne tangu mheshimiwa Membe aingie ACT mnaanza kumkoromea Mgombea urais wenu wenyewe, mliompitisha kwenye vikao halali, mkaturushia sisi wananchi Live kwenye TV, kwa mbwembwe kubwa, mkaenda kumtambulisha unguja na Pemba halafu mnakuja kumrebuke hadharani na kumchallenge eti afanye kampeni tuone, Yaani mnaanza kumdhihaki badala ya kutafuta naye suluhu juu ya suala hilo ambalo yeye na ACT wamewekeza mtaji mkubwa kabisa. Au mnadhani ACT ni nyie wawili Zitto na Maalim peke yenu na kwamba siye wananchi hatuna stake katika maamuzi ya chama kwa ujumla wake?

3. Kuna maisha baada ya Uchaguzi

ACT inatakiwa ikitoka katika uchaguzi huu iwe moja, iwe na nguvu kubwa zaidi ya kuendeleza mapambano ya kupanua demokrasia nchini na kujijenga zaidi. Sasa mtajijengaje wakati mmeraruana humu ndani kwa ndani kisa tu mmeona mgombea wenu uchaguzi umemkalia vibaya na badala ya kukaa kama chama mje na stratergy ya pamoja ya kuwaeleza wananchi msimamo halisi wa chama baada ya kukaa kikao tena na tena bila kuchoka na mgombea, nyie mnaanza kumuattack. Nyie ACT Wazalendo hebu tuelezeni, ni lini na ni wapi kamati kuu ya Chama ilikaa na mgombea na mkasema kuwa sasa Wewe Membe siyo Mgombea tena kwa tiketi ya ACT bali sasa mgombea wetu ni Lissu?. Haiwezekani utashi wa Zitto na Maalim peke yenu kwa sababu ya maslahi yenu binafsi ya kisiasa ya leo na ya kesho mkaamua tu kuwa hatukuungi mkono bali tunamuunga mkono yule. Kama mlitaka hivyo nyinyi sasa mlimpitisha awe gombea kwa sababu gani, kwani mlilazimishwa kuweka mgombea?

5. ACT mlimpitisha Membe kihalali msijifanye hamumjui

Mkutano mkuu mliufanya, mkaturushia Live kwenye TV, mkaserebuka sana, mkatwambia kuwa Membe ndiye mwenyewe, baada ya hapo mkazindua na Ilani yenu, mkamkabidhi Membe sasa hamuwezi kuja hivi kwetu sisi wananchi kienyejienyeji eti hamumjui kuwa ni mgombea halali wa ACT. Sasa kama Maalim anaweza kumruka Kimanga mgombea wake yeye mwenyewe aliyempitisha huku akiwa ni mwenyekiti wa Kikao atashindwaje kuwakana Wazanzibar wakishampigia kura na kuwa raisi?. Hivi vitu nyie ACT msidhani ni vidogo, ni vikubwa sana kwetu wananchi maana tunapima uwezo wenu wa kuendesha mambo yenu wenyewe!

6. Hakukuwa na ulazima kwenye kipindi hiki cha lala salama kuonyesha udhaifu ndani ya chama

Kama ilitakiwa kuwapa signal wananchi kiujumla na wafuasi wa Membe wamchague Lissu ilitakiwa kutumia lugha nzuri ya kisiasa ili kuwafanya watu wafanye hivyo. Kitendo cha kuja mbele wiki moja kabla ya uchaguzi na kuonyesha kuwa kuna mgogoro ndani ya chama kunawatisha wananchi, kunawakumbusha mambo ya Dr Slaa na Lipumba kuanzisha zogo siku chache kabla ya uchaguzi. kuna siku Zitto aliulizwa juu ya harakati za kampeni za Membe, Jibu akajibu kuwa yuko busy anaandaa baraza la mawaziri, hiyo kauli ilikuwa ni ya kisiasa na ilikuwa ni jibu zuri la kuondoa kiwingu cha maswali ambayo yangefuata ambayo yasingekuwa mazuri kwa kambi ya upinzani. Sasa Maalim ulishindwaje kutumia sense of humor, au positive propaganda kupangua damage yoyote unayodhani ilileymtwa na press conference ya Membe?. Maalim kwa nini hakukubaliana na baadhi ya mambo mazuri kabisa kwenye hiyo press conference ili kuonyesha balance, Kiukweli kuna mambo nyeti na mazuri pia ambayo Membe aliongea siku hiyo!

7. Ombi kwa mheshimiwa Membe

Mzee wangu Membe, nakuomba umuunge mkono Lissu, ikiwezekana usitumie mafumbo sana, tumia njia unayodhani inafaa ili ueleweke na uwe safe kisheria, naamini unamuunga mkono Lissu kwa namna moja au nyingine ndiyo maana ukajitolea kumpa nafasi afanye kampeni bila wewe kutofanya ili usimharibie. Ila kwa bahati mbaya wenzio hawajakuelewa, naomba uwaeleweshe kuwa ni nini hasa makusudio yako. Mimi naamini ukiusaidia upinzani kustawi itauwa rahisi kuipasua CCM kwa sababu usipoaminika wewe leo, wana CCM makini wataogopa kuikimbia CCM, na kwa bahati mbaya akina Zitto hawalioni hili. Tunajua una wafuasi wengi nchini, wakiwemo wananchi wa kusini hasa Lindi, hawa wote Lissu anahitaji kura zao, nakuomba uwaombe kwa namna yoyote utakayoweza wampe kura Lissu ili tuuondoe utawala dhalimu wa CCM. Mwisho nakuomba uwasamehe akina maalim hawajakuelewa bado, hawajaelewa sense yako of humor, hawajaelewa kuwa unataka kucheza hii gemu kusaidia upinzani lakini bila kuingia matatani kwenye mkono wa sheria. Talk to them, i hope they will understand!

Membe Camilius Bernad atawanyoosha hao matapeli wa kisiasa muda sio mrefuu

Tunahitaji demokrasia tunahitaji vyama vingi lakini halihitaji haya magenge ya wasaliti wa taida
 
Tatizo membe hakufanya kama lowasa kwamba pesa zake za mfukoni ndo zifanye kila jambo wakati anajua kwamba kuna fungu toka nje la kusaport chama...
 
nachekaga sana nikisikia wazee wa mihemko...hivi mnajua huyo maalim seif ndo snitch namba moja..yeye alimsemea aboud jumbe kwa nyerere kisa jumbe alitaka mambo ya zanzibar yafanyiwe kazi...kwanza hao washika katiba hadi sasa washaivunja sana hiyo katiba yao
Kwani si walikaa na kukubaliana kwenye vikao halali vya Chama??? Tatizo lipo wapi??? Kwani katiba yao haijasema mambo ya msingi yataamuliwa na vikao halali vya Chama??
 
Back
Top Bottom