Uchaguzi 2020 Kwenye Issue ya Membe, Maalim Seif umeover react na hii siyo sawa

Uchaguzi 2020 Kwenye Issue ya Membe, Maalim Seif umeover react na hii siyo sawa

Umekuwa na hekima kubwa na busara nyingi. Ingefaa sana Maalim Seif angepata ujumbe huu murua. Hongera sana kwa uungwana wako, nimekukubali sana!
Kwanza niseme waziwazi kuwa mimi namuunga mkono Tundu Antipas Lissu kuwa ndiye mgombea ninayeamini anaweza kumng'oa John Joseph Magufuli na ndiye nitakayempigia kura.

Lakini pamoja na hayo lazima nikiri kuwa chama kinachonivutia nchini kwa sera, kuzungumza masuala ya wananchi kwa hoja mathubuti, kwa utafiti wa kisomi, mipango mkakati na ilani ni ACT Wazalendo

Lakini pamoja na hayo nimeshtushwa sana na kauli ya mwenyekiti wa ACT ndugu Maalim Seif aliyoitoa dhidi ya Ndugu Benard Cammilius Membe, binafsi naiona kama ni kauli ambayo kama ilibidi kutolewa basi ingetolewa kwa namna na style nyingine tofauti na aliyotumia maalim Seif.

1. Ndugu Maalim, Bernad Membe ni mkubwa mwenzio anastahili staha na heshima mbele ya Umma

Kwa hadhi, umri na utumishi uliotukuka wa mh Membe kwa nchi hii siyo sawa na siyo sahihi hata kidogo kwenda kuongea kwa style uliyotumia pale mbele ya vyombo vya habari. Siyo sawa kumkaripia mheshimiwa Membe kama mtoto mdogo. Mimi kama mwananchi ninayependa ustawi wa Demokrasia nchini, sidhani kama ni sahihi viongozi, tena viongozi wakubwa kuitisha press conference na kuanza kushambuliana katika vyombo vya habari.

ACT ina vikao, kama Membe alikosea ilikuwa ni jukumu lako kumuita na kuongea naye ili kuelewa kiundani hasa alikuwa anamaanisha nini, na hata kama alikosea hilo suala halimalizwi kwenye press conference bali ndani ya vikao vya chama na kama ikibidi ndo mnatoa press release juu ya maamuzi ya vikao vya chama, siyo mwenyekiti anaitisha vikao kwenda "kumsuta" mgombea wake mwenyewe. Hii nidhamu ya wapi, au nidhamu ni kwa wadogo tu?

2. Kiongozi wa Chama alimhakikishia Ndugu Membe heshima

Wakati akihojiwa na chombo kimoja cha nje, Kipindi cha ujio wa Membe hapo ACT, Kiongozi mkuu wa Chama alimhakikishia ndugu Membe heshima, na akasema pengine kilichowaondoa akina Lowasa Chadema ni kujihisi hawaheshimiwi vya kutosha. Sasa haijapita miezi minne tangu mheshimiwa Membe aingie ACT mnaanza kumkoromea Mgombea urais wenu wenyewe, mliompitisha kwenye vikao halali, mkaturushia sisi wananchi Live kwenye TV, kwa mbwembwe kubwa, mkaenda kumtambulisha unguja na Pemba halafu mnakuja kumrebuke hadharani na kumchallenge eti afanye kampeni tuone, Yaani mnaanza kumdhihaki badala ya kutafuta naye suluhu juu ya suala hilo ambalo yeye na ACT wamewekeza mtaji mkubwa kabisa. Au mnadhani ACT ni nyie wawili Zitto na Maalim peke yenu na kwamba siye wananchi hatuna stake katika maamuzi ya chama kwa ujumla wake?

3. Kuna maisha baada ya Uchaguzi

ACT inatakiwa ikitoka katika uchaguzi huu iwe moja, iwe na nguvu kubwa zaidi ya kuendeleza mapambano ya kupanua demokrasia nchini na kujijenga zaidi. Sasa mtajijengaje wakati mmeraruana humu ndani kwa ndani kisa tu mmeona mgombea wenu uchaguzi umemkalia vibaya na badala ya kukaa kama chama mje na stratergy ya pamoja ya kuwaeleza wananchi msimamo halisi wa chama baada ya kukaa kikao tena na tena bila kuchoka na mgombea, nyie mnaanza kumuattack. Nyie ACT Wazalendo hebu tuelezeni, ni lini na ni wapi kamati kuu ya Chama ilikaa na mgombea na mkasema kuwa sasa Wewe Membe siyo Mgombea tena kwa tiketi ya ACT bali sasa mgombea wetu ni Lissu?. Haiwezekani utashi wa Zitto na Maalim peke yenu kwa sababu ya maslahi yenu binafsi ya kisiasa ya leo na ya kesho mkaamua tu kuwa hatukuungi mkono bali tunamuunga mkono yule. Kama mlitaka hivyo nyinyi sasa mlimpitisha awe gombea kwa sababu gani, kwani mlilazimishwa kuweka mgombea?

4. ACT mlimpitisha Membe kihalali msijifanye hamumjui

Mkutano mkuu mliufanya, mkaturushia Live kwenye TV, mkaserebuka sana, mkatwambia kuwa Membe ndiye mwenyewe, baada ya hapo mkazindua na Ilani yenu, mkamkabidhi Membe sasa hamuwezi kuja hivi kwetu sisi wananchi kienyejienyeji eti hamumjui kuwa ni mgombea halali wa ACT. Sasa kama Maalim anaweza kumruka Kimanga mgombea wake yeye mwenyewe aliyempitisha huku akiwa ni mwenyekiti wa Kikao atashindwaje kuwakana Wazanzibar wakishampigia kura na kuwa raisi?. Hivi vitu nyie ACT msidhani ni vidogo, ni vikubwa sana kwetu wananchi maana tunapima uwezo wenu wa kuendesha mambo yenu wenyewe!

5. Maalim kuna Profesa Omar ambaye ni mgombea mwenza wa Membe, naye ni mgombea halali vipi amekubali naye kuunga mkono mgombea wa chama kingine?

Hii ishu siyo ya Membe peke yake maana kuna mgombea mwenza wake, naye ni mgombea halali, ana jasho lake kwenye jambo hili na anataka aje awe makamu wa raisi. Kama unadhani ulishamalizana na Membe je chama kilipata ridhaa ya mgombea mwenza?, au maalim unadhani kuwa kwa kuwa profesa Omar ni mzanzibari basi unammudu tu na mambo yatajesha yenyewe, kwamba atakaa kimya kwa sababu "Simba" kaunguruma. Haya mambo siyo rahisi kihivyo Maalim. Tunataka chama cha ACT kiheshimu kanuni, taratibu na vikao vyake chenyewe, ili tupate vyama makini, vitakavyojenga demokrasia ya kweli nchini!

6. Hakukuwa na ulazima kwenye kipindi hiki cha lala salama kuonyesha udhaifu ndani ya chama

Kama ilitakiwa kuwapa signal wananchi kiujumla na wafuasi wa Membe wamchague Lissu ilitakiwa kutumia lugha nzuri ya kisiasa ili kuwafanya watu wafanye hivyo. Kitendo cha kuja mbele wiki moja kabla ya uchaguzi na kuonyesha kuwa kuna mgogoro ndani ya chama kunawatisha wananchi, kunawakumbusha mambo ya Dr Slaa na Lipumba kuanzisha zogo siku chache kabla ya uchaguzi. kuna siku Zitto aliulizwa juu ya harakati za kampeni za Membe, Jibu akajibu kuwa yuko busy anaandaa baraza la mawaziri, hiyo kauli ilikuwa ni ya kisiasa na ilikuwa ni jibu zuri la kuondoa kiwingu cha maswali ambayo yangefuata ambayo yasingekuwa mazuri kwa kambi ya upinzani. Sasa Maalim ulishindwaje kutumia sense of humor, au positive propaganda kupangua damage yoyote unayodhani ilileymtwa na press conference ya Membe?. Maalim kwa nini hakukubaliana na baadhi ya mambo mazuri kabisa kwenye hiyo press conference ili kuonyesha balance, Kiukweli kuna mambo nyeti na mazuri pia ambayo Membe aliongea siku hiyo!

7. Ombi kwa mheshimiwa Membe

Mzee wangu Membe, nakuomba umuunge mkono Lissu, ikiwezekana usitumie mafumbo sana, tumia njia unayodhani inafaa ili ueleweke na uwe safe kisheria, naamini unamuunga mkono Lissu kwa namna moja au nyingine ndiyo maana ukajitolea kumpa nafasi afanye kampeni bila wewe kutofanya ili usimharibie. Ila kwa bahati mbaya wenzio hawajakuelewa, naomba uwaeleweshe kuwa ni nini hasa makusudio yako. Mimi naamini ukiusaidia upinzani kustawi itauwa rahisi kuipasua CCM kwa sababu usipoaminika wewe leo, wana CCM makini wataogopa kuikimbia CCM, na kwa bahati mbaya akina Zitto hawalioni hili. Tunajua una wafuasi wengi nchini, wakiwemo wananchi wa kusini hasa Lindi, hawa wote Lissu anahitaji kura zao, nakuomba uwaombe kwa namna yoyote utakayoweza wampe kura Lissu ili tuuondoe utawala dhalimu wa CCM. Mwisho nakuomba uwasamehe akina maalim hawajakuelewa bado, hawajaelewa sense yako of humor, hawajaelewa kuwa unataka kucheza hii gemu kusaidia upinzani lakini bila kuingia matatani kwenye mkono wa sheria. Talk to them, i hope they will understand!
 
WanaCCM tuko na chuma jemadari mkuu JPM hapa uwanja wa ushirika moshi, huku wachaga wote wameitikia ccm kwa kauli ya beee baabaa, nakujaa. Halafu unatuomba tuchague hayo?

Kati ya sehem nlikua nahofu nazo ndo moshi na arusha maaana zlikua ngome za cchadema lakini kwa mapokezi ya magu , mambo ni moto
 
Kwani si walikaa na kukubaliana kwenye vikao halali vya Chama??? Tatizo lipo wapi??? Kwani katiba yao haijasema mambo ya msingi yataamuliwa na vikao halali vya Chama??
kikao pekee cha chama kilikua kumpa ikugombea urais membe...hv vikao wanavyofanya kumkataa havikuwahi fuata taratibu..ndo maana katiba ilikua wazi hapo chini
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2020-10-21 at 08.06.29 (1).jpeg
    WhatsApp Image 2020-10-21 at 08.06.29 (1).jpeg
    47.2 KB · Views: 1
Umenena ukweli na unamjua vizuri. Moto wake pia ulimuunguza Hamad Rashid Mohammed wa ADC alipoitaka nafasi yake ya Ukatibu Mkuu walipokuwa wote CUF. Anapaswa kukua kibusara na kuheshimu mitazamo ya wengine hata kama haipendi
Ni heshima kuwa na uchambuzi wa aina hii. Hata hivyo kwa tunaomfahamu Maalimu Seif hii ndiyo hulka yake pale anapoona maslahi yake yanaguswa. Na ndicho tumekuwa tukumtahadharisha Kiongozi mkuu wa Chama. Sio kwa Membe tu, kikwazo chochote kitakachofanya Maalimu Seif na team yake wasifikie malengo yao wako tayari kukufitini na kukuchafua na ndio kazi aliyokuwa akipambana nayo Prof Lipumba wakati wote.

Maalimu aliitafuta ACT yenye viongozi wasio tishio ili kupata platfoam ya kutimiza njozi za kuwa Rais. Kwa sababu Maalimu hana Interest na Bara ana Interst na Visiwani (Kwa mujibu wa kauli zao wenyewe), akiupata ACT haitakuwa tena ilivyo sasa itaendeshwa kwa kadili watakavyo wahafidhina wa Maalimu.

Marehemu Mapalala, Marehemu Aboud Jumbe na Lipumba wanaujua moto wa Maalimu sasa ni zamu ya Membe akimalizana naye anafuata Kiongozi Mkuu wa Chama.
 
Hapo ndio utaona Lipumba alikuwa sahihi, Seif ana maamuzi yake badala ya kufata maamuzi ya chama.

Hivi waliona ugumu gani kuitisha vikao na kusema wamebadirisha maamuzi.
Membe kampeni zake zilitakiwa kuratibiwa na chama lakini kwa act inaonekana kampeni za mgombea urais ni swala binafsi la mgombea ni aibu kwa chama kinachojitapa kutaka kuitoa ccm madarakani.
 
kikao pekee cha chama kilikua kumpa ikugombea urais membe...hv vikao wanavyofanya kumkataa havikuwahi fuata taratibu..ndo maana katiba ilikua wazi hapo chini
Wewe ni nani useme vikao havikufuata taratibu??
 
Ndivyo walivyo wasio na msimamo thabiti - vigeugeu! Bora kumtumaini Mungu asiye kigeugeu kuliko wanadamu
Hawezi kurudi, atakuja kusema wameibiwa kura, shika haya maneno yangu. Chadema wooote watakao kuja baada ya uchaguzi watasema wameibiwa kura hawana hoja yoyote ya kushindwa.
 
Hawa wenye vyama binafsi unadhani wana staha?. Kule kama hujatoa fungu unakuwa kama kinyesi.
Chagua Magufuli, chagua ccm.
IMG_20201020_161433_488.jpg
 
... aibu kubwa!
Hapo ndio utaona Lipumba alikuwa sahihi, Seif ana maamuzi yake badala ya kufata maamuzi ya chama.
Hivi waliona ugumu gani kuitisha vikao na kusema wamebadirisha maamuzi.
Membe kampeni zake zilitakiwa kuratibiwa na chama lakini kwa act inaonekana kampeni za mgombea urais ni swala binafsi la mgombea ni aibu kwa chama kinachojitapa kutaka kuitoa ccm madarakani.
 
Kati ya sehem nlikua nahofu nazo ndo moshi na arusha maaana zlikua ngome za cchadema lakini kwa mapokezi ya magu , mambo ni moto
Mkuuu njooo apa uwanja wa chuo cha ushirikaa. Uonee wachaga walivyovalia kijaniiii. Chademaa wanatia hurumaa. Uwanja unaendelea kutapika ata JPM wala hajawaza atakusogea uwanjanii. Chadema imebakia huko ikwiriri kibiti. Sisi wachaga tumeikataa mchana kweupee.
 
Kwanza niseme waziwazi kuwa mimi namuunga mkono Tundu Antipas Lissu kuwa ndiye mgombea ninayeamini anaweza kumng'oa John Joseph Magufuli na ndiye nitakayempigia kura.

Lakini pamoja na hayo lazima nikiri kuwa chama kinachonivutia nchini kwa sera, kuzungumza masuala ya wananchi kwa hoja mathubuti, kwa utafiti wa kisomi, mipango mkakati na ilani ni ACT Wazalendo

Lakini pamoja na hayo nimeshtushwa sana na kauli ya mwenyekiti wa ACT ndugu Maalim Seif aliyoitoa dhidi ya Ndugu Benard Cammilius Membe, binafsi naiona kama ni kauli ambayo kama ilibidi kutolewa basi ingetolewa kwa namna na style nyingine tofauti na aliyotumia maalim Seif.

1. Ndugu Maalim, Bernad Membe ni mkubwa mwenzio anastahili staha na heshima mbele ya Umma

Kwa hadhi, umri na utumishi uliotukuka wa mh Membe kwa nchi hii siyo sawa na siyo sahihi hata kidogo kwenda kuongea kwa style uliyotumia pale mbele ya vyombo vya habari. Siyo sawa kumkaripia mheshimiwa Membe kama mtoto mdogo. Mimi kama mwananchi ninayependa ustawi wa Demokrasia nchini, sidhani kama ni sahihi viongozi, tena viongozi wakubwa kuitisha press conference na kuanza kushambuliana katika vyombo vya habari.

ACT ina vikao, kama Membe alikosea ilikuwa ni jukumu lako kumuita na kuongea naye ili kuelewa kiundani hasa alikuwa anamaanisha nini, na hata kama alikosea hilo suala halimalizwi kwenye press conference bali ndani ya vikao vya chama na kama ikibidi ndo mnatoa press release juu ya maamuzi ya vikao vya chama, siyo mwenyekiti anaitisha vikao kwenda "kumsuta" mgombea wake mwenyewe. Hii nidhamu ya wapi, au nidhamu ni kwa wadogo tu?

2. Kiongozi wa Chama alimhakikishia Ndugu Membe heshima

Wakati akihojiwa na chombo kimoja cha nje, Kipindi cha ujio wa Membe hapo ACT, Kiongozi mkuu wa Chama alimhakikishia ndugu Membe heshima, na akasema pengine kilichowaondoa akina Lowasa Chadema ni kujihisi hawaheshimiwi vya kutosha. Sasa haijapita miezi minne tangu mheshimiwa Membe aingie ACT mnaanza kumkoromea Mgombea urais wenu wenyewe, mliompitisha kwenye vikao halali, mkaturushia sisi wananchi Live kwenye TV, kwa mbwembwe kubwa, mkaenda kumtambulisha unguja na Pemba halafu mnakuja kumrebuke hadharani na kumchallenge eti afanye kampeni tuone, Yaani mnaanza kumdhihaki badala ya kutafuta naye suluhu juu ya suala hilo ambalo yeye na ACT wamewekeza mtaji mkubwa kabisa. Au mnadhani ACT ni nyie wawili Zitto na Maalim peke yenu na kwamba siye wananchi hatuna stake katika maamuzi ya chama kwa ujumla wake?

3. Kuna maisha baada ya Uchaguzi

ACT inatakiwa ikitoka katika uchaguzi huu iwe moja, iwe na nguvu kubwa zaidi ya kuendeleza mapambano ya kupanua demokrasia nchini na kujijenga zaidi. Sasa mtajijengaje wakati mmeraruana humu ndani kwa ndani kisa tu mmeona mgombea wenu uchaguzi umemkalia vibaya na badala ya kukaa kama chama mje na stratergy ya pamoja ya kuwaeleza wananchi msimamo halisi wa chama baada ya kukaa kikao tena na tena bila kuchoka na mgombea, nyie mnaanza kumuattack. Nyie ACT Wazalendo hebu tuelezeni, ni lini na ni wapi kamati kuu ya Chama ilikaa na mgombea na mkasema kuwa sasa Wewe Membe siyo Mgombea tena kwa tiketi ya ACT bali sasa mgombea wetu ni Lissu?. Haiwezekani utashi wa Zitto na Maalim peke yenu kwa sababu ya maslahi yenu binafsi ya kisiasa ya leo na ya kesho mkaamua tu kuwa hatukuungi mkono bali tunamuunga mkono yule. Kama mlitaka hivyo nyinyi sasa mlimpitisha awe gombea kwa sababu gani, kwani mlilazimishwa kuweka mgombea?

4. ACT mlimpitisha Membe kihalali msijifanye hamumjui

Mkutano mkuu mliufanya, mkaturushia Live kwenye TV, mkaserebuka sana, mkatwambia kuwa Membe ndiye mwenyewe, baada ya hapo mkazindua na Ilani yenu, mkamkabidhi Membe sasa hamuwezi kuja hivi kwetu sisi wananchi kienyejienyeji eti hamumjui kuwa ni mgombea halali wa ACT. Sasa kama Maalim anaweza kumruka Kimanga mgombea wake yeye mwenyewe aliyempitisha huku akiwa ni mwenyekiti wa Kikao atashindwaje kuwakana Wazanzibar wakishampigia kura na kuwa raisi?. Hivi vitu nyie ACT msidhani ni vidogo, ni vikubwa sana kwetu wananchi maana tunapima uwezo wenu wa kuendesha mambo yenu wenyewe!

5. Maalim kuna Profesa Omar ambaye ni mgombea mwenza wa Membe, naye ni mgombea halali vipi amekubali naye kuunga mkono mgombea wa chama kingine?

Hii ishu siyo ya Membe peke yake maana kuna mgombea mwenza wake, naye ni mgombea halali, ana jasho lake kwenye jambo hili na anataka aje awe makamu wa raisi. Kama unadhani ulishamalizana na Membe je chama kilipata ridhaa ya mgombea mwenza?, au maalim unadhani kuwa kwa kuwa profesa Omar ni mzanzibari basi unammudu tu na mambo yatajesha yenyewe, kwamba atakaa kimya kwa sababu "Simba" kaunguruma. Haya mambo siyo rahisi kihivyo Maalim. Tunataka chama cha ACT kiheshimu kanuni, taratibu na vikao vyake chenyewe, ili tupate vyama makini, vitakavyojenga demokrasia ya kweli nchini!

6. Hakukuwa na ulazima kwenye kipindi hiki cha lala salama kuonyesha udhaifu ndani ya chama

Kama ilitakiwa kuwapa signal wananchi kiujumla na wafuasi wa Membe wamchague Lissu ilitakiwa kutumia lugha nzuri ya kisiasa ili kuwafanya watu wafanye hivyo. Kitendo cha kuja mbele wiki moja kabla ya uchaguzi na kuonyesha kuwa kuna mgogoro ndani ya chama kunawatisha wananchi, kunawakumbusha mambo ya Dr Slaa na Lipumba kuanzisha zogo siku chache kabla ya uchaguzi. kuna siku Zitto aliulizwa juu ya harakati za kampeni za Membe, Jibu akajibu kuwa yuko busy anaandaa baraza la mawaziri, hiyo kauli ilikuwa ni ya kisiasa na ilikuwa ni jibu zuri la kuondoa kiwingu cha maswali ambayo yangefuata ambayo yasingekuwa mazuri kwa kambi ya upinzani. Sasa Maalim ulishindwaje kutumia sense of humor, au positive propaganda kupangua damage yoyote unayodhani ilileymtwa na press conference ya Membe?. Maalim kwa nini hakukubaliana na baadhi ya mambo mazuri kabisa kwenye hiyo press conference ili kuonyesha balance, Kiukweli kuna mambo nyeti na mazuri pia ambayo Membe aliongea siku hiyo!

7. Ombi kwa mheshimiwa Membe

Mzee wangu Membe, nakuomba umuunge mkono Lissu, ikiwezekana usitumie mafumbo sana, tumia njia unayodhani inafaa ili ueleweke na uwe safe kisheria, naamini unamuunga mkono Lissu kwa namna moja au nyingine ndiyo maana ukajitolea kumpa nafasi afanye kampeni bila wewe kutofanya ili usimharibie. Ila kwa bahati mbaya wenzio hawajakuelewa, naomba uwaeleweshe kuwa ni nini hasa makusudio yako. Mimi naamini ukiusaidia upinzani kustawi itauwa rahisi kuipasua CCM kwa sababu usipoaminika wewe leo, wana CCM makini wataogopa kuikimbia CCM, na kwa bahati mbaya akina Zitto hawalioni hili. Tunajua una wafuasi wengi nchini, wakiwemo wananchi wa kusini hasa Lindi, hawa wote Lissu anahitaji kura zao, nakuomba uwaombe kwa namna yoyote utakayoweza wampe kura Lissu ili tuuondoe utawala dhalimu wa CCM. Mwisho nakuomba uwasamehe akina maalim hawajakuelewa bado, hawajaelewa sense yako of humor, hawajaelewa kuwa unataka kucheza hii gemu kusaidia upinzani lakini bila kuingia matatani kwenye mkono wa sheria. Talk to them, i hope they will understand!
Haya tutayaongea baada ya uchaguzi mkuu, kwa sasa kumbuka "weka tiki kwenye kisanduku jina la mwisho kabisa wa karatasi utakayopewa ya ula oo sorry ya kura.
 
Lugha anayozungumza Maalim Seif hakuna anaeielewa isipo kuwa CCM ,na CCM wamekaa kimya baada ya chenga nyingine kutoka kwa Maalim Seif ,wameielewa na imeshawalaza na kuwakatisha tamaa.

CCM walitegemea Seif atangaze Membe nae anaunga mkono Lisu ,lakini wapi kazidi kupigilia msumari kama vile kuna tangazo la ngumi baina ya mabondia wawili kila mmoja hapwesi amemkazia macho mwenziwe ,na hapa Maalim amekaza na Membe kakaza na Lisu kakaza CCM wameduwaa na ufisi wao,tamaa ya kuwaengua iwapo mmoja atajitoa au kutangaza kujitoa ,subirini dakika ya 89.

Hizi ndio siasa za kijitu kizima hamna chakubanga wala bashiru hapa,mtaelewa tu kuwa Membe Lisu Seifu ACT Chadema wanaibuka na ushindi usio na mpinzani.

Ufisi wenu CCM kwa sasa mmechelewa na inaonyesha mmeachwa mbali sana.
 
Kwanza niseme waziwazi kuwa mimi namuunga mkono Tundu Antipas Lissu kuwa ndiye mgombea ninayeamini anaweza kumng'oa John Joseph Magufuli na ndiye nitakayempigia kura.

Lakini pamoja na hayo lazima nikiri kuwa chama kinachonivutia nchini kwa sera, kuzungumza masuala ya wananchi kwa hoja mathubuti, kwa utafiti wa kisomi, mipango mkakati na ilani ni ACT Wazalendo

Lakini pamoja na hayo nimeshtushwa sana na kauli ya mwenyekiti wa ACT ndugu Maalim Seif aliyoitoa dhidi ya Ndugu Benard Cammilius Membe, binafsi naiona kama ni kauli ambayo kama ilibidi kutolewa basi ingetolewa kwa namna na style nyingine tofauti na aliyotumia maalim Seif.

1. Ndugu Maalim, Bernad Membe ni mkubwa mwenzio anastahili staha na heshima mbele ya Umma

Kwa hadhi, umri na utumishi uliotukuka wa mh Membe kwa nchi hii siyo sawa na siyo sahihi hata kidogo kwenda kuongea kwa style uliyotumia pale mbele ya vyombo vya habari. Siyo sawa kumkaripia mheshimiwa Membe kama mtoto mdogo. Mimi kama mwananchi ninayependa ustawi wa Demokrasia nchini, sidhani kama ni sahihi viongozi, tena viongozi wakubwa kuitisha press conference na kuanza kushambuliana katika vyombo vya habari.

ACT ina vikao, kama Membe alikosea ilikuwa ni jukumu lako kumuita na kuongea naye ili kuelewa kiundani hasa alikuwa anamaanisha nini, na hata kama alikosea hilo suala halimalizwi kwenye press conference bali ndani ya vikao vya chama na kama ikibidi ndo mnatoa press release juu ya maamuzi ya vikao vya chama, siyo mwenyekiti anaitisha vikao kwenda "kumsuta" mgombea wake mwenyewe. Hii nidhamu ya wapi, au nidhamu ni kwa wadogo tu?

2. Kiongozi wa Chama alimhakikishia Ndugu Membe heshima

Wakati akihojiwa na chombo kimoja cha nje, Kipindi cha ujio wa Membe hapo ACT, Kiongozi mkuu wa Chama alimhakikishia ndugu Membe heshima, na akasema pengine kilichowaondoa akina Lowasa Chadema ni kujihisi hawaheshimiwi vya kutosha. Sasa haijapita miezi minne tangu mheshimiwa Membe aingie ACT mnaanza kumkoromea Mgombea urais wenu wenyewe, mliompitisha kwenye vikao halali, mkaturushia sisi wananchi Live kwenye TV, kwa mbwembwe kubwa, mkaenda kumtambulisha unguja na Pemba halafu mnakuja kumrebuke hadharani na kumchallenge eti afanye kampeni tuone, Yaani mnaanza kumdhihaki badala ya kutafuta naye suluhu juu ya suala hilo ambalo yeye na ACT wamewekeza mtaji mkubwa kabisa. Au mnadhani ACT ni nyie wawili Zitto na Maalim peke yenu na kwamba siye wananchi hatuna stake katika maamuzi ya chama kwa ujumla wake?

3. Kuna maisha baada ya Uchaguzi

ACT inatakiwa ikitoka katika uchaguzi huu iwe moja, iwe na nguvu kubwa zaidi ya kuendeleza mapambano ya kupanua demokrasia nchini na kujijenga zaidi. Sasa mtajijengaje wakati mmeraruana humu ndani kwa ndani kisa tu mmeona mgombea wenu uchaguzi umemkalia vibaya na badala ya kukaa kama chama mje na stratergy ya pamoja ya kuwaeleza wananchi msimamo halisi wa chama baada ya kukaa kikao tena na tena bila kuchoka na mgombea, nyie mnaanza kumuattack. Nyie ACT Wazalendo hebu tuelezeni, ni lini na ni wapi kamati kuu ya Chama ilikaa na mgombea na mkasema kuwa sasa Wewe Membe siyo Mgombea tena kwa tiketi ya ACT bali sasa mgombea wetu ni Lissu?. Haiwezekani utashi wa Zitto na Maalim peke yenu kwa sababu ya maslahi yenu binafsi ya kisiasa ya leo na ya kesho mkaamua tu kuwa hatukuungi mkono bali tunamuunga mkono yule. Kama mlitaka hivyo nyinyi sasa mlimpitisha awe gombea kwa sababu gani, kwani mlilazimishwa kuweka mgombea?

4. ACT mlimpitisha Membe kihalali msijifanye hamumjui

Mkutano mkuu mliufanya, mkaturushia Live kwenye TV, mkaserebuka sana, mkatwambia kuwa Membe ndiye mwenyewe, baada ya hapo mkazindua na Ilani yenu, mkamkabidhi Membe sasa hamuwezi kuja hivi kwetu sisi wananchi kienyejienyeji eti hamumjui kuwa ni mgombea halali wa ACT. Sasa kama Maalim anaweza kumruka Kimanga mgombea wake yeye mwenyewe aliyempitisha huku akiwa ni mwenyekiti wa Kikao atashindwaje kuwakana Wazanzibar wakishampigia kura na kuwa raisi?. Hivi vitu nyie ACT msidhani ni vidogo, ni vikubwa sana kwetu wananchi maana tunapima uwezo wenu wa kuendesha mambo yenu wenyewe!

5. Maalim kuna Profesa Omar ambaye ni mgombea mwenza wa Membe, naye ni mgombea halali vipi amekubali naye kuunga mkono mgombea wa chama kingine?

Hii ishu siyo ya Membe peke yake maana kuna mgombea mwenza wake, naye ni mgombea halali, ana jasho lake kwenye jambo hili na anataka aje awe makamu wa raisi. Kama unadhani ulishamalizana na Membe je chama kilipata ridhaa ya mgombea mwenza?, au maalim unadhani kuwa kwa kuwa profesa Omar ni mzanzibari basi unammudu tu na mambo yatajesha yenyewe, kwamba atakaa kimya kwa sababu "Simba" kaunguruma. Haya mambo siyo rahisi kihivyo Maalim. Tunataka chama cha ACT kiheshimu kanuni, taratibu na vikao vyake chenyewe, ili tupate vyama makini, vitakavyojenga demokrasia ya kweli nchini!

6. Hakukuwa na ulazima kwenye kipindi hiki cha lala salama kuonyesha udhaifu ndani ya chama

Kama ilitakiwa kuwapa signal wananchi kiujumla na wafuasi wa Membe wamchague Lissu ilitakiwa kutumia lugha nzuri ya kisiasa ili kuwafanya watu wafanye hivyo. Kitendo cha kuja mbele wiki moja kabla ya uchaguzi na kuonyesha kuwa kuna mgogoro ndani ya chama kunawatisha wananchi, kunawakumbusha mambo ya Dr Slaa na Lipumba kuanzisha zogo siku chache kabla ya uchaguzi. kuna siku Zitto aliulizwa juu ya harakati za kampeni za Membe, Jibu akajibu kuwa yuko busy anaandaa baraza la mawaziri, hiyo kauli ilikuwa ni ya kisiasa na ilikuwa ni jibu zuri la kuondoa kiwingu cha maswali ambayo yangefuata ambayo yasingekuwa mazuri kwa kambi ya upinzani. Sasa Maalim ulishindwaje kutumia sense of humor, au positive propaganda kupangua damage yoyote unayodhani ilileymtwa na press conference ya Membe?. Maalim kwa nini hakukubaliana na baadhi ya mambo mazuri kabisa kwenye hiyo press conference ili kuonyesha balance, Kiukweli kuna mambo nyeti na mazuri pia ambayo Membe aliongea siku hiyo!

7. Ombi kwa mheshimiwa Membe

Mzee wangu Membe, nakuomba umuunge mkono Lissu, ikiwezekana usitumie mafumbo sana, tumia njia unayodhani inafaa ili ueleweke na uwe safe kisheria, naamini unamuunga mkono Lissu kwa namna moja au nyingine ndiyo maana ukajitolea kumpa nafasi afanye kampeni bila wewe kutofanya ili usimharibie. Ila kwa bahati mbaya wenzio hawajakuelewa, naomba uwaeleweshe kuwa ni nini hasa makusudio yako. Mimi naamini ukiusaidia upinzani kustawi itauwa rahisi kuipasua CCM kwa sababu usipoaminika wewe leo, wana CCM makini wataogopa kuikimbia CCM, na kwa bahati mbaya akina Zitto hawalioni hili. Tunajua una wafuasi wengi nchini, wakiwemo wananchi wa kusini hasa Lindi, hawa wote Lissu anahitaji kura zao, nakuomba uwaombe kwa namna yoyote utakayoweza wampe kura Lissu ili tuuondoe utawala dhalimu wa CCM. Mwisho nakuomba uwasamehe akina maalim hawajakuelewa bado, hawajaelewa sense yako of humor, hawajaelewa kuwa unataka kucheza hii gemu kusaidia upinzani lakini bila kuingia matatani kwenye mkono wa sheria. Talk to them, i hope they will understand!
Tangu mwanzo hapa hapa jamvini tulisha kwambia kabisa kuwa Membe amekuja upinzani kufanya nini na nilikuwa nakusisitizia juu ya hilo.

Sijui kama ulichukulia tahadhali zote tulizokuwa tunakupatia juu ya mh Membe kwenye kambi ya upinzani.

Naona sasa umeanza kuelewa nini ilikuwa ni wasiwasi wetu juu ya ujio wa mh Membe.
 
Naunga mkono hoja mkuu, bora angempigia simu wa kamaliza ndani kwa ndani
Hakuna kulea tabia za kipuuzi kama hizo ambazo kimsingi zina dumaza upinzani hapa nchini kwetu.

Nia ya mh Membe haikuwa ni kuupigania upinzani wa kweli bali ilikuwa ni kuhakikisha kuwa upinzani mwaka huu unapotea kabisa na kuipatia ccm ushindi wa kishindo wa 99%.
 
ACT tulifanya makosa kumkaribisha nduli chumbani .nduli ni nani nduli ni Mmbe yupo kazini kuvuruga upinzani kama Lowassa,
Binafsi nilisema sana hapa hadi kufikia kukosana kwa lugha na baadhi ya wana jamvi juu ya ukweli uliopo
 
Back
Top Bottom