Kiongozi mkuu2020
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 1,748
- 998
CHADEMA HAPA MOSHI TUMEIHAMISHIA HUKO IKWIRIRI KIBITI.Nimeona maajabu pale Himo,magi wamehamisha majeshi.Vunjo inaelekea kusalimu amri kwa CCM.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CHADEMA HAPA MOSHI TUMEIHAMISHIA HUKO IKWIRIRI KIBITI.Nimeona maajabu pale Himo,magi wamehamisha majeshi.Vunjo inaelekea kusalimu amri kwa CCM.
Kwani kuna nini huko mkuu??mna taarifa kinachoendelea nigeria
Kwani kuna nini huko mkuu??
Hapa kwetu haitakuja kutokea ata kidogoo. Wajaribu tuu atakumwaga mkojo barabarani waonee moto wakebunduki yako ndo usalama wako saaahv, imefika stage hii saaahv! kisa likiongozi la upinzani tu
Kwenye karatasi ya kupigia kura Membe ni namba tisa, Wazalendo tunampa kifuta machozi.
Mkuu inatia hasira sana ,watu wanapambana kumng'oa mkoloni mweusi kaburu halafu yeye(Jasusi Membe) anakurupuka kama Lipumba kuharibu na kuwachanganya wananchi.Kwanza niseme waziwazi kuwa mimi namuunga mkono Tundu Antipas Lissu kuwa ndiye mgombea ninayeamini anaweza kumng'oa John Joseph Magufuli na ndiye nitakayempigia kura...
Na mission yake imefanikiwa vyema!ACT tulifanya makosa kumkaribisha nduli chumbani .nduli ni nani nduli ni Mmbe yupo kazini kuvuruga upinzani kama Lowassa,
Sema hivyo hivyo wameondoka kina Al-bashir ,Jammeh , Mugabe ambao walikuwa strong na Konki kuliko mgombea wenu huyo wa MALUKANGA muda wote ana boostiwa na AC.Hapa kwetu haitakuja kutokea ata kidogoo. Wajaribu tuu atakumwaga mkojo barabarani waonee moto wake
Subiri matusi kamandaKwanza niseme waziwazi kuwa mimi namuunga mkono Tundu Antipas Lissu kuwa ndiye mgombea ninayeamini anaweza kumng'oa John Joseph Magufuli na ndiye nitakayempigia kura....
Huo mchezo hatufanyi,mtagawana kura zenu tu huko.Nawaomba CCM wote tumpe Membe kura ili tumwaibishe Maalimu na Lissu wake
Jaribuni sasaaSema hivyo hivyo wameondoka kina Al-bashir ,Jammeh , Mugabe ambao walikuwa strong na Konki kuliko mgombea wenu huyo wa MALUKANGA muda wote ana boostiwa na AC.
Subiri utaona mnatulepeka pazuri sana,ng'ombe atachinjwa jinsi atakavyolala wala hapelekwi qiblah.Ko
Jaribuni sasaa
Anza leoSubiri utaona mnatulepeka pazuri sana,ng'ombe atachinjwa jinsi atakavyolala wala hapelekwi qiblah.
Hapa kwetu haitakuja kutokea ata kidogoo. Wajaribu tuu atakumwaga mkojo barabarani waonee moto wake