Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja aguse utambi/waya wa wenye nchi ndiyo atajua hajui.Sidhani kama hatatenguliwa na wahuni
Leo mambo ni mengi mno; lakini nitakubaliana na huyu moja kwa moja katika hilo la kuwachukulia hatua za kisheria kila anayehusishwa na uhujumu. Hili ni jambo muhimu sana.Tunahitaji watu wenye kumsaidia Rais wetu wafanye haya,
View attachment 2280990
Huyu RC mwendo anaokwenda nao ingependeza sana kuona haya yakifanyika nchi nzima,
Msikilize mpaka mwisho,
hiyo clip au?Mbona kwangu haifunguki?
Sidhani kama hatatenguliwa na wahuni
Ngoja aguse utambi/waya wa wenye nchi ndiyo atajua hajui.
HakikaNi Usajiri pekee mzuri alioufanya Magu kutoka Upinzani .
Au tuseme dau ndilo linakuwa chini, si la kudumu. Likikata tu, wanalianzishaCCM wajifunze mpinzani habadilikagi "FIKRA"
Hata ZITTOWW amenunuliwa bt mara nyingi tu hujisahau na kurudia asili yake.
Unataka wezi wakamatwe na Walimu au?Hana akili huyo RC ,nikiona RC anayependa kutumia POLiSI, TAKUKURU huwa namuhesabia kuwa inawezekana enzi za jiwe alikuwa shabiki ya wasiojulikana wa marehemu jiwe
Sio kazi ya RCUnataka wezi wakamatwe na Walimu au?
Mama Samia anachukukia sana wajizi