Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi ngumu sana hii,Sio kazi ya RC
[emoji38][emoji38][emoji38]Kafulila amefukuzwa kazi,watu wa Simiyu wameokolewa kujinyonga.
Huko ccm wote wezi mpka vitukuu vyao vijambaziTunahitaji watu wenye kumsaidia Rais wetu wafanye haya,
View attachment 2280990
Huyu RC mwendo anaokwenda nao ingependeza sana kuona haya yakifanyika nchi nzima,
Msikilize mpaka mwisho,
We Kenge, kazi ya RC ni nini?Sio kazi ya RC
Tunahitaji watu wenye kumsaidia Rais wetu wafanye haya,
View attachment 2280990
Huyu RC mwendo anaokwenda nao ingependeza sana kuona haya yakifanyika nchi nzima,
Msikilize mpaka mwisho,
Huyu mwamba binafsi namwelewa sana, atafika mbali,
Ni Usajiri pekee mzuri alioufanya Magu kutoka Upinzani .
... mna maoni gani? Msiyoyajua ni kama usiku wa kiza; jifunzeni kuweka akiba ya maneno.Huyu mtu ni mzalendo wa kweli kabisa
Uliona mbali.Hana akili huyo RC ,nikiona RC anayependa kutumia POLiSI, TAKUKURU huwa namuhesabia kuwa inawezekana enzi za jiwe alikuwa shabiki ya wasiojulikana wa marehemu jiwe
Kazi nzuri sana KafulilaTunahitaji watu wenye kumsaidia Rais wetu wafanye haya,
View attachment 2280990
Huyu RC mwendo anaokwenda nao ingependeza sana kuona haya yakifanyika nchi nzima,
Msikilize mpaka mwisho,
Dau sawa, bt kiujumla mtu aliewahi kuonja Raha ya uhuru, utumwani akikaa ni zuga tu mara nyingi.Au tuseme dau ndilo linakuwa chini, si la kudumu. Likikata tu, wanalianzisha