Kwenye kikao, RC akamata kila aliyetajwa kwa wizi na CAG

Kwenye kikao, RC akamata kila aliyetajwa kwa wizi na CAG

asije akagusa Wadhaminiwa wa Chama kwmy mapambano hayo kama alivyofanya 'Mtu hatari' kule kwa wajaluo akashtakiwa kwa kuzorotesha mahusiano ya Chama na Serikali Mkoani
 
Tunahitaji watu wenye kumsaidia Rais wetu wafanye haya,
View attachment 2280990
Huyu RC mwendo anaokwenda nao ingependeza sana kuona haya yakifanyika nchi nzima,

Msikilize mpaka mwisho,

Huyu mwamba binafsi namwelewa sana, atafika mbali,

Ni Usajiri pekee mzuri alioufanya Magu kutoka Upinzani .

Huyu mtu ni mzalendo wa kweli kabisa
... mna maoni gani? Msiyoyajua ni kama usiku wa kiza; jifunzeni kuweka akiba ya maneno.
 
Back
Top Bottom