Kwenye koo langu kuna kitu nakisikia kama kimekwama sasa nashindwa kuelewa ni kitu gani

Kwenye koo langu kuna kitu nakisikia kama kimekwama sasa nashindwa kuelewa ni kitu gani

siamini kama nakutana na hii kwako, my wife alikuwa na tatizo hilo ,sisi watu wa IMANI ya maombezi tulivyotoka kanisani jpili mwenzangu kufika home akapiga chafya na kutoa kitu cheupe kina harufu hatukujua ni nini tulishukuru Mungu ila sasa sijui nikushauri nini???

Mwenye masikio na asikie
 
siamini kama nakutana na hii kwako, my wife alikuwa na tatizo hilo ,sisi watu wa IMANI ya maombezi tulivyotoka kanisani jpili mwenzangu kufika home akapiga chafya na kutoa kitu cheupe kina harufu hatukujua ni nini tulishukuru Mungu ila sasa sijui nikushauri nini???

Akutafute afanyiwe maombezi pia
 
Isije kuwa ni watu wa chumvini
Mungu aepushie mbali
Koo linauma kama hivyo
 
Na kama akiona huo uchafu nini kifanyike doctor ? Je anaweza kuutoa kwa kidole au mpaka hospital..
Na kingine kwa hao ambao wanakohoa au kupiga chafya ndio kinatoka wana haja ya kuja hospital tena..
Hata mimi nahisi kama nna hiyo kitu..
Ni kweli kwa mwenye hicho kitu anakua na tatizo la kunuka mdomo ?
Manaake unaweza kuwa unanuka mdomo bila wewe kujijua
Sorry! Mi sio doctor bali nina uzoefu.
Akiona huo uchafu anaweza kuutoa, kuna aina flani za vitu vya kutolea viko kama vijiko vya miti vya kulia Ice-cream za Azam lakini vinakuwa virefu kidogo. Kwa wale wanaokohoa au kupiga chafya na huo uchafu ukitoka hawana haja tena ya kwenda hospitali labda kama watakuwa na uchafu mwingi. Kweli kabisa huo uchafu unasababisha kunuka kinywa.
 
Sorry! Mi sio doctor bali nina uzoefu.
Akiona huo uchafu anaweza kuutoa, kuna aina flani za vitu vya kutolea viko kama vijiko vya miti vya kulia Ice-cream za Azam lakini vinakuwa virefu kidogo. Kwa wale wanaokohoa au kupiga chafya na huo uchafu ukitoka hawana haja tena ya kwenda hospitali labda kama watakuwa na uchafu mwingi. Kweli kabisa huo uchafu unasababisha kunuka kinywa.
Sawa mkuu asante kwa majibu murua sasa mtu atajuaje kama kinywa kinanuka ? Yeye mwenyewe kwanza bila kuambiwa
 
siamini kama nakutana na hii kwako, my wife alikuwa na tatizo hilo ,sisi watu wa IMANI ya maombezi tulivyotoka kanisani jpili mwenzangu kufika home akapiga chafya na kutoa kitu cheupe kina harufu hatukujua ni nini tulishukuru Mungu ila sasa sijui nikushauri nini???
Umesharukia kwenye majini na mapepo wakati hizo ni tonsil stones!

Mtatapeliwa sana na hao wachungaji!
 
Sorry! Mi sio doctor bali nina uzoefu.
Akiona huo uchafu anaweza kuutoa, kuna aina flani za vitu vya kutolea viko kama vijiko vya miti vya kulia Ice-cream za Azam lakini vinakuwa virefu kidogo. Kwa wale wanaokohoa au kupiga chafya na huo uchafu ukitoka hawana haja tena ya kwenda hospitali labda kama watakuwa na uchafu mwingi. Kweli kabisa huo uchafu unasababisha kunuka kinywa.
Issue ni kujua exact location ya tonsils.
 
Nakushauri huende hospitali bt kuwa makini na wakata vimeo humu ndani wanaweza kuja na dawaa zao mbadala
 
nishawai kupatwa na hilo tatizo ila hospitali sikupona kabisaa,nikawa na chukuua mswaki na brush ulimi hadi kwenye koo nikawa natoa ute mzito sana,halafu nikawa natafuna tangawizi na vitunguu saumu daily na kanisani pia nikawa naenda maana nilijua ndio nakufa hivyo ila Mungu mkubwa nimepona kabisaaaa.Mwisho hayo yote niliyoyasema ndiyo yaliyoniponesha ikiwemo na mbegu za mronge na unga wa mronge baada ya hospital kushindikana
 
Kabla ya kuhangaika kutafuta tiba kubwa je unaelewa nini kuhusu Tonsils??
Watu wengi huwa hawaelewi kuhusu tonsils.
Kuna wengine wakiwa na tonsils hufanya uvimbe ambao huwa nkama vifuko ambavyo vyakula vikiingia hugandiana humo na kusababisha vyakula hivyo kuoza na kutengeneza kitu kama Mtindi ulioganda kabisa ambao husababisha harufu mbaya ya kinywa. Ambapo pia mtu huyu akimeza mate ndio huhisi kama kuna kitu kimekwama kooni. Kikawaida huwa hakuna kitu kilichokwama kooni bali ni kutokana na uvimbe (tonsils) huwa ndio ubakaba kooni...Kamuone daktari wa magonjwa ya koo, akutoe hizo taka ambazo huwa zimeganda kwenye tonsils, ukitoka hapo hautahisi tena kitu kukwama kooni.
Nahisi nina hilo tatizo maana hata nikipiga mswaki na kusafisha kinywa vizuri kuanzia kwenye paa la juu na chini kuzunguka kwenye meno na kusugua ulimi vizuri lakini bado harufu mbaya mdomoni haiishi.
 
Kabla ya kuhangaika kutafuta tiba kubwa je unaelewa nini kuhusu Tonsils??
Watu wengi huwa hawaelewi kuhusu tonsils.
Kuna wengine wakiwa na tonsils hufanya uvimbe ambao huwa nkama vifuko ambavyo vyakula vikiingia hugandiana humo na kusababisha vyakula hivyo kuoza na kutengeneza kitu kama Mtindi ulioganda kabisa ambao husababisha harufu mbaya ya kinywa. Ambapo pia mtu huyu akimeza mate ndio huhisi kama kuna kitu kimekwama kooni. Kikawaida huwa hakuna kitu kilichokwama kooni bali ni kutokana na uvimbe (tonsils) huwa ndio ubakaba kooni...Kamuone daktari wa magonjwa ya koo, akutoe hizo taka ambazo huwa zimeganda kwenye tonsils, ukitoka hapo hautahisi tena kitu kukwama kooni.
Na gharama za kuziondoa ni kiasi gani bro??
 
Back
Top Bottom