Kabla ya kuhangaika kutafuta tiba kubwa je unaelewa nini kuhusu Tonsils??
Watu wengi huwa hawaelewi kuhusu tonsils.
Kuna wengine wakiwa na tonsils hufanya uvimbe ambao huwa nkama vifuko ambavyo vyakula vikiingia hugandiana humo na kusababisha vyakula hivyo kuoza na kutengeneza kitu kama Mtindi ulioganda kabisa ambao husababisha harufu mbaya ya kinywa. Ambapo pia mtu huyu akimeza mate ndio huhisi kama kuna kitu kimekwama kooni. Kikawaida huwa hakuna kitu kilichokwama kooni bali ni kutokana na uvimbe (tonsils) huwa ndio ubakaba kooni...Kamuone daktari wa magonjwa ya koo, akutoe hizo taka ambazo huwa zimeganda kwenye tonsils, ukitoka hapo hautahisi tena kitu kukwama kooni.