Kwenye koo langu kuna kitu nakisikia kama kimekwama sasa nashindwa kuelewa ni kitu gani

Kwenye koo langu kuna kitu nakisikia kama kimekwama sasa nashindwa kuelewa ni kitu gani

Nenda hospital mkuu inaweza kuwa Dalili ya kansa

Xxxccccccvcvvvvvvvv vbbbbbbbbbvbbbbbbbbbnbbbbb
 
Nahitaji msaada na ushauri wenu wa dhati WAKUU,kuna kitu huwa kinanisumbua Sana sielewi tatizo NI nini.kwenye Koo LANGU KUNA kitu nakisikia Kama kimekwama Sasa nashindwa kuelewa NI kitu gani maana nikiwa nakula sikisikii Wala nikinywa maji sikisikii Bali nikiwa nameza mate ndiyo huwa nakisikia ama ikitokea nimemeza kidonge Cha aina yoyote Ile basi Siku ya pili yake au BAADA ya masaa kadhaa Hali iyo huwa inaongezeka kuliko awali ninachokishangaa KUNA kipindi HIYO Hali huwa inatoweka KABISA ila BAADA ya wiki au Siku kadhaa Ina Rudi Tena NAOMBA msaada wenu wa kitabibu WAKUU.
Wewe ke au me? Kama unatabia ya kula "cone" kwenye mambo yele ujue imekwamia kwenye koo!
 
Pole, you'll be fine in the Name of Jesus Christ Name.
 
Back
Top Bottom