Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa muda huu sina uhakika.Na gharama za kuziondoa ni kiasi gani bro??
HAIHUSIANI.....achaneni na mambo za kunyonya K..... kuna Korona
Tafuna tangawiz mbichi kadiri uwezavyo- bonge la dawaNa gharama za kuziondoa ni kiasi gani bro??
[emoji120] [emoji120] [emoji120]
Nielekeze ndugu yangu ,kuna MTU ana tatizo hili 0714204051Mkuu kama hujapata tiba mpaka sasa na upo Dar ni PM nikuelekeze sehemu ukanujue dawa. Kuna mtu alikua na tatizo hilohilo miezi kadhaa nyuma na alipona fasta tu.
Acha uongoTia mkaa wa Moto kwenye maji Kisha kunywa kabla hayajapoa....Kama Ni tonsils utapona ... Ndani ya wiki.
Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
Hali hii imenipata na mimi unaweza kunisaidia mkuuMkuu kama hujapata tiba mpaka sasa na upo Dar ni PM nikuelekeze sehemu ukanujue dawa. Kuna mtu alikua na tatizo hilohilo miezi kadhaa nyuma na alipona fasta tu.
Wewe ke au me? Kama unatabia ya kula "cone" kwenye mambo yele ujue imekwamia kwenye koo!Nahitaji msaada na ushauri wenu wa dhati WAKUU,kuna kitu huwa kinanisumbua Sana sielewi tatizo NI nini.kwenye Koo LANGU KUNA kitu nakisikia Kama kimekwama Sasa nashindwa kuelewa NI kitu gani maana nikiwa nakula sikisikii Wala nikinywa maji sikisikii Bali nikiwa nameza mate ndiyo huwa nakisikia ama ikitokea nimemeza kidonge Cha aina yoyote Ile basi Siku ya pili yake au BAADA ya masaa kadhaa Hali iyo huwa inaongezeka kuliko awali ninachokishangaa KUNA kipindi HIYO Hali huwa inatoweka KABISA ila BAADA ya wiki au Siku kadhaa Ina Rudi Tena NAOMBA msaada wenu wa kitabibu WAKUU.