Kwenye koo langu kuna kitu nakisikia kama kimekwama sasa nashindwa kuelewa ni kitu gani


Mwenye masikio na asikie
 

Akutafute afanyiwe maombezi pia
 
Isije kuwa ni watu wa chumvini
Mungu aepushie mbali
Koo linauma kama hivyo
 
Sorry! Mi sio doctor bali nina uzoefu.
Akiona huo uchafu anaweza kuutoa, kuna aina flani za vitu vya kutolea viko kama vijiko vya miti vya kulia Ice-cream za Azam lakini vinakuwa virefu kidogo. Kwa wale wanaokohoa au kupiga chafya na huo uchafu ukitoka hawana haja tena ya kwenda hospitali labda kama watakuwa na uchafu mwingi. Kweli kabisa huo uchafu unasababisha kunuka kinywa.
 
Sawa mkuu asante kwa majibu murua sasa mtu atajuaje kama kinywa kinanuka ? Yeye mwenyewe kwanza bila kuambiwa
 
Umesharukia kwenye majini na mapepo wakati hizo ni tonsil stones!

Mtatapeliwa sana na hao wachungaji!
 
Issue ni kujua exact location ya tonsils.
 
Nakushauri huende hospitali bt kuwa makini na wakata vimeo humu ndani wanaweza kuja na dawaa zao mbadala
 
nishawai kupatwa na hilo tatizo ila hospitali sikupona kabisaa,nikawa na chukuua mswaki na brush ulimi hadi kwenye koo nikawa natoa ute mzito sana,halafu nikawa natafuna tangawizi na vitunguu saumu daily na kanisani pia nikawa naenda maana nilijua ndio nakufa hivyo ila Mungu mkubwa nimepona kabisaaaa.Mwisho hayo yote niliyoyasema ndiyo yaliyoniponesha ikiwemo na mbegu za mronge na unga wa mronge baada ya hospital kushindikana
 
Nahisi nina hilo tatizo maana hata nikipiga mswaki na kusafisha kinywa vizuri kuanzia kwenye paa la juu na chini kuzunguka kwenye meno na kusugua ulimi vizuri lakini bado harufu mbaya mdomoni haiishi.
 
Na gharama za kuziondoa ni kiasi gani bro??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…