Kwenye mahojiano yake Lissu hajaonesha ni kivipi CHADEMA itakuwa mbadala wa CCM

Kwenye mahojiano yake Lissu hajaonesha ni kivipi CHADEMA itakuwa mbadala wa CCM

Hatuli katiba .sisi tukipenda tusikie sera za nje zitakuwaje, sera za kilimo, wao wanataka na wao wakale asali. Siku hizi hata ukikosa bando unasema kwa sababu ya katiba mpya.nasemajee sisi bavichaa tunarudisha kadi tumechoka
 
Tatizo kuna watu wanaongelea ukweli halafu wengine wanakasirika na kuanza kujibishana kama watoto

Wengi hawajui wanataka nini kama Taifa
Asubuhi ya leo nilikuwa nasikiliza speech ya Joe Biden kwa kweli imegusa maslahi ya nchi tu

Kaongelea maendeleo ya nchi yake tu na vitu wanaongoza kwa mambo mengi

Simpingi Lissu kudai haki yake ila hayo ni private na yeye ni mwanasheria anajua pa kupita

Tunataka mtumambie Sera zenu tu

Biden anasema Mito yao inasafirisha mizigo yenye thamani ya $2B kwa siku yes kwa siku
Na ndio Mito yao Rivers sasa sisi mito yetu hata jeshi halipiti, wakulima hawapitishi mazao yao hata mboga mboga hazisafirishwi kwa njia ya mito

Umwagiliaji ndio tumeanza kuamka
Tumejifungia kwenye Bubble hatutaki watu wa nje kila leo matajiri wakubwa wanatukanwa wakati sisi tumebaki kumuita tajiri wetu Mengi ambae ni marehemu bado tunajisifia tu

Hotuba ya Biden itawafundisha mengi mkiisikia hata kama mtapinga

800,000 Hispanics wameajiriwa kwenye viwanda kwa roho Safi

Na sisi kama hatutaki wakuja wawekeze basi leteni mbinu za kimkakati ili na sisi tuuze bidhaa nje na pia tusiagize vingi kutoka nje badala yake tupambane na kutengeneza ndani ya nchi
Kama wao [emoji631] walivyofanya kwenye Chip za magari na simu

Mwanzo walikuwa wanaagiza kutoka China, Malaysia, Taiwan na South Korea na kufanya bidhaa kuwa juu ila sasa wanatengeneza ndani ya nchi

Kama hatuwezi kitu tujiite vilema tu tusaidiwe kila kitu
Na tuache kusingizia wengine
Vijana wanashangaa kwanini wana umasikini halafu unakuta highly educated
 
Back
Top Bottom