technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Ukiwa serious sana kwenye mahusiano au ndoa utakeyeumia ni wewe.
Nimejifunza kutokuwa serious kwenye ndoa au kwenye mahusiano yeyote yaani utapendwa tu automatically.
Wanawake wanapenda Sana wanaume ambao they don't care about anything Ila wanaojitambua. Don't fall in love but kuwa na upendo.
Watu wanajiua na kuua because wanakuwa serious Sana kwenye relationship pia hawana upendo but wana-fall in love.
Nimejifunza kutokuwa serious kwenye ndoa au kwenye mahusiano yeyote yaani utapendwa tu automatically.
Wanawake wanapenda Sana wanaume ambao they don't care about anything Ila wanaojitambua. Don't fall in love but kuwa na upendo.
Watu wanajiua na kuua because wanakuwa serious Sana kwenye relationship pia hawana upendo but wana-fall in love.