Kwenye mahusiano usiwe serious sana utateseka

Kwenye mahusiano usiwe serious sana utateseka

Uko sahihi jombaa, kila kitu chema kwa kiasi.
Mkuu, hiyo avatar siimanyile[emoji28][emoji28]
Screenshot_20221001-205537.jpg

Sasa kama na wewe unajilima ban mkuu[emoji23]
Kama wanautendea mti mbichi namna hii, itakuwaje kwa mti mkavu Extrovert GENTAMYCINE
 
Hii ndo fact,,ndo tulipofkia hapa,,ndo uhalisia wenyewe,,hamna kitu unaweza fanya unless otherwise utamskia millardayo "Hajiua kisa hadija"[emoji23]
 
Back
Top Bottom