Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakazia,Mnafeligi kuona wanawake hukumbuka mema kumbe wenzio ukitaka wakukumbuke hadi muwatendee mabaya.
Pole mkuuNimegundua mahusiano yako very risky kidogo kwa mwanaume asipokua makini.
Kwa sababu unaweza ukapata mwanamke ukampenda na kujitoa kwa kile chochote ulichokua nacho kwa ajili yake.
Lakini ikitokea misunderstanding yoyote mpaka kuachana wanaume wanaambulia matusi, maneno machafu na kejeli.
kiufupi inakua loss na hela zako, mda wako na effort zako zooote zinaenda bure.
Hakika wanaume tumeumbiwa mateso.
Acha uwoga wewe ukitendwa ndio unakuwa mkakamavu kwenye upendo.Nimegundua mahusiano yako very risky kidogo kwa mwanaume asipokua makini.
Kwa sababu unaweza ukapata mwanamke ukampenda na kujitoa kwa kile chochote ulichokua nacho kwa ajili yake.
Lakini ikitokea misunderstanding yoyote mpaka kuachana wanaume wanaambulia matusi, maneno machafu na kejeli.
kiufupi inakua loss na hela zako, mda wako na effort zako zooote zinaenda bure.
Hakika wanaume tumeumbiwa mateso.
Yaani kama akikuongelea haweki neno "yule mbwa" ujue kusahaulika ni jambo na sekunde kadhaa.Nakazia,
Apo Umenikumbusha mamaJ [emoji4]
Pole mkuuKwa mwanamke ni risky lakini mpaka unamuacha bro ulishatoa sana kwake probably mpaka unamuacha pengine ashanunua nguo na vitu vengine kadha wa kadha.. kiufupi kuna namna umeongezea sio vile kama ulivyomkuta.. (kwa asilimia kubwa)
Hii Huwa inatokea kwa pande zote,tukumbuke kuwa wapo wanawake wanaojitoa sana kwa wanaume wanaowapenda,wanapoteza muda mwingi sana kuwahudumia na kuishi nao,wanawaacha wanaume wengine wote na kujitoa kwa ajili ya huyu mmoja,wanamzalia mtoto/ watoto lkn mwisho wa siku mwanaume anaenda is mwingine,aliyemvumilia wakati Hana kitu anaonekana mjinga na sio wa type yakeMapenzi Yana upuuz mwingi Sana[emoji28]
1. Unatumia akili nyingi kumpata,
2. Unawekeza muda wako mwingi kwake
3. Unatumia gharama sn kumhudumia,
Ila anaweza kutumia dakika Moja kukupiga chini, tena kirahisi sana bila kuwaza mlikotoka au kujiuliza mara mbili
SAHV WANAUME TUNAISHI KIMACHALE[emoji28]
We need backup..
Mama J ashakubwaga?Mapenzi Yana upuuz mwingi Sana[emoji28]
1. Unatumia akili nyingi kumpata,
2. Unawekeza muda wako mwingi kwake
3. Unatumia gharama sn kumhudumia,
Ila anaweza kutumia dakika Moja kukupiga chini, tena kirahisi sana bila kuwaza mlikotoka au kujiuliza mara mbili
SAHV WANAUME TUNAISHI KIMACHALE[emoji28]
[emoji2]ushafanya tukio ww sio buremimi naona kwa mwanamke ndo risky zaidi anaweza achika akiwa na mimba
Nyie semeni tu hivi!! Kuna mitoto mijaa rahana ikija kwako na story zao za kutendwa unaona hapa hili limepitia msoto ngoja niishi nalo una invest mdaa ,pesa na vitu vya thamani kuliko kalivyo Ila sasa katakavyo kuja kukuvuruga ubongo utakaa ndani sikuu kadhaa ukibubujikwa na machoz huku ukijiuliza ni yule niliyjua anajua maumivu ya usalit au ni crone yake.....acheni mapenzi yaitwe mapenzi koz ni uquma hatar[emoji24][emoji24]Ili yasikuumize,
Usiyachukulie serious Sana,
Ni aibu mno kufilisika kisa mapenzi
Huyo mwanamkee anapatikana Pande zip nimtimbie huku nilipo naona vimbwanga sanaHii Huwa inatokea kwa pande zote,tukumbuke kuwa wapo wanawake wanaojitoa sana kwa wanaume wanaowapenda,wanapoteza muda mwingi sana kuwahudumia na kuishi nao,wanawaacha wanaume wengine wote na kujitoa kwa ajili ya huyu mmoja,wanamzalia mtoto/ watoto lkn mwisho wa siku mwanaume anaenda is mwingine,aliyemvumilia wakati Hana kitu anaonekana mjinga na sio wa type yake
naomba iwekwe front page kwenye gazeti la keshoKama una mwanamke
Sio mkeo official, Wala hujazaa nae
Mhudumie kwa Ela za ganji na za ziada tu
sio kujilipua
unavuruga bajeti zako,
au unaingia madeni mbalimbali
kisa kugharamia mahusiano upendwe.
Ukitumia Ela ya ziada
Ata akizingua huumii au huyumbi,
unachukulia loss kama ulikunywa bia[emoji4]
Wanaume maboya ndio mmeumbiwa mateso. Mimi nitoeni kwenye hilo kundi linalo teseka na mapenzi...I know how to fish ...Nimegundua mahusiano yako very risky kidogo kwa mwanaume asipokua makini.
Kwa sababu unaweza ukapata mwanamke ukampenda na kujitoa kwa kile chochote ulichokua nacho kwa ajili yake.
Lakini ikitokea misunderstanding yoyote mpaka kuachana wanaume wanaambulia matusi, maneno machafu na kejeli.
kiufupi inakua loss na hela zako, mda wako na effort zako zooote zinaenda bure.
Hakika wanaume tumeumbiwa mateso.
TAFUTA HELANimegundua mahusiano yako very risky kidogo kwa mwanaume asipokua makini.
Kwa sababu unaweza ukapata mwanamke ukampenda na kujitoa kwa kile chochote ulichokua nacho kwa ajili yake.
Lakini ikitokea misunderstanding yoyote mpaka kuachana wanaume wanaambulia matusi, maneno machafu na kejeli.
kiufupi inakua loss na hela zako, mda wako na effort zako zooote zinaenda bure.
Hakika wanaume tumeumbiwa mateso.