Kwenye maisha Kuna mambo lazima ukubali kua huna na huwezi kuyapata KAMWE.

Kwenye maisha Kuna mambo lazima ukubali kua huna na huwezi kuyapata KAMWE.

haszu

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2017
Posts
978
Reaction score
2,313
Ushawahi sikia watu wanaitwa "resentful" ? Hawa ni watu ambao kuna vitu hawana, wengine wanavyo, wao wanaamini wangepaswa kua navyo, sasa matokeo yake wanakua na chuki na husda.

Ni lazima ukubali kua kuna mambo huna na huwezi kuanayo au kuyapata asilani.

Kwa mfano
1. Muonekano wako, kama we ni mfupi huwezi kua mrefu, kam ni mweusi ndo huwez kua mweupe hata ukijichubua utarudi kwenye weusi tena wa makovu.

2. Family background - huwezi chagua uzaliwe familia gani, wapo wanazaliwa familia za kitajili, wapo wanazaliwa familia za kifukara nk. Hiyo haiwezi badilika.

Mimi sijachagua kua handsome, ni Mungu tu kanibariki kua hivyo, kukataa ukweli huu ni kua na husda
 
Ushawahi sikua watu wanaitwa "resentful" ? Hawa ni watu ambao kuna vitu hawana, wengine wanavyo, wao wanaamini wangepaswa kua navyo, sasa matokeo yake wanakua na chuki na husda.

Ni lazima ukubali kua kuna mambo huna na huwezi kuanayo au kuyapata asilani.

Kwa mfano
1. Muonekano wako, kama we ni mfupi huwezi kua mrefu, kam ni mweusi ndo huwez kua mweupe hata ukijichubua utarudi kwenye weusi tena wa makovu.

2. Family background - huwezi chagua uzaliwe familia gani, wapo wanazaliwa familia za kitajili, wapo wanazaliwa familia za kifukara nk. Hiyo haiwezi badilika.

Mimi sijachagua kua handsome, ni Mungu tu kanibariki kua hivyo, kukataa ukweli huu ni kua na husda
naunga mkono hoja namba 2
 
Mitandao ya kijamii imeongeza sana vifo vya kujiua kutokana na kuona na maisha ya watu wengine yasiyo na uhalisia na kufanya kujiona wao wamefeli maisha

1717282705567.png
 
Ushawahi sikua watu wanaitwa "resentful" ? Hawa ni watu ambao kuna vitu hawana, wengine wanavyo, wao wanaamini wangepaswa kua navyo, sasa matokeo yake wanakua na chuki na husda.

Ni lazima ukubali kua kuna mambo huna na huwezi kuanayo au kuyapata asilani.

Kwa mfano
1. Muonekano wako, kama we ni mfupi huwezi kua mrefu, kam ni mweusi ndo huwez kua mweupe hata ukijichubua utarudi kwenye weusi tena wa makovu.

2. Family background - huwezi chagua uzaliwe familia gani, wapo wanazaliwa familia za kitajili, wapo wanazaliwa familia za kifukara nk. Hiyo haiwezi badilika.

Mimi sijachagua kua handsome, ni Mungu tu kanibariki kua hivyo, kukataa ukweli huu ni kua na husda
Unaliwa? Mbona hujaweka no za simu?
 
Ushawahi sikua watu wanaitwa "resentful" ? Hawa ni watu ambao kuna vitu hawana, wengine wanavyo, wao wanaamini wangepaswa kua navyo, sasa matokeo yake wanakua na chuki na husda.

Ni lazima ukubali kua kuna mambo huna na huwezi kuanayo au kuyapata asilani.

Kwa mfano
1. Muonekano wako, kama we ni mfupi huwezi kua mrefu, kam ni mweusi ndo huwez kua mweupe hata ukijichubua utarudi kwenye weusi tena wa makovu.

2. Family background - huwezi chagua uzaliwe familia gani, wapo wanazaliwa familia za kitajili, wapo wanazaliwa familia za kifukara nk. Hiyo haiwezi badilika.

Mimi sijachagua kua handsome, ni Mungu tu kanibariki kua hivyo, kukataa ukweli huu ni kua na husda
Kuna jamaa mmoja nilisoma nae alikuwa na chuki sana na watu waliotoka familia zinazojiweza jadi leo hio tabia anayo na ana chuki sana unachosema ni sahihi kabisa
 
Ushawahi sikua watu wanaitwa "resentful" ? Hawa ni watu ambao kuna vitu hawana, wengine wanavyo, wao wanaamini wangepaswa kua navyo, sasa matokeo yake wanakua na chuki na husda.

Ni lazima ukubali kua kuna mambo huna na huwezi kuanayo au kuyapata asilani.

Kwa mfano
1. Muonekano wako, kama we ni mfupi huwezi kua mrefu, kam ni mweusi ndo huwez kua mweupe hata ukijichubua utarudi kwenye weusi tena wa makovu.

2. Family background - huwezi chagua uzaliwe familia gani, wapo wanazaliwa familia za kitajili, wapo wanazaliwa familia za kifukara nk. Hiyo haiwezi badilika.

Mimi sijachagua kua handsome, ni Mungu tu kanibariki kua hivyo, kukataa ukweli huu ni kua na husda
🙌🙌
 
Back
Top Bottom