Kwenye maisha Kuna mambo lazima ukubali kua huna na huwezi kuyapata KAMWE.

Kwenye maisha Kuna mambo lazima ukubali kua huna na huwezi kuyapata KAMWE.

Ushawahi sikia watu wanaitwa "resentful" ? Hawa ni watu ambao kuna vitu hawana, wengine wanavyo, wao wanaamini wangepaswa kua navyo, sasa matokeo yake wanakua na chuki na husda.

Ni lazima ukubali kua kuna mambo huna na huwezi kuanayo au kuyapata asilani.

Kwa mfano
1. Muonekano wako, kama we ni mfupi huwezi kua mrefu, kam ni mweusi ndo huwez kua mweupe hata ukijichubua utarudi kwenye weusi tena wa makovu.

2. Family background - huwezi chagua uzaliwe familia gani, wapo wanazaliwa familia za kitajili, wapo wanazaliwa familia za kifukara nk. Hiyo haiwezi badilika.

Mimi sijachagua kua handsome, ni Mungu tu kanibariki kua hivyo, kukataa ukweli huu ni kua na husda
Mkuu haijalishi mwanaume awe vipi kimuonekno, cha muhimu tu awe amejipata kimaisha, na kuwa na uhakika na njia sahihi za kupata maokoto. Kuwa "handsome" peke yake hakutoshi kama unajitafuta, huna uhakika na maisha, na wala huna chapaa za uhakika.

Fanya kazi kwa bidii, tafuta fursa nzuri na zenye staha ili uweze kuheshimika mbele ya jamii. Fahari ya mwanaume yeyote yule ni uwezo wa kumiliki fedha na kuwa na "social capital" la sivyo utaishia tu kuwa 'deluded & deranged" kutokana na mitazamo hasi.
 
Ulitaka tujue tu kama we ni hendisamu huna lolote
 
Vipi handsome leo tunaweza kupata moja mbili pamoja na wewe ? Handsome na sisi sura mkorogo tuijisikie Raha kuwa na wewe
 
Mimi sura kama nakunywa Gongo, Sina hata muonekano, Cpendwe na yoyote zaid ya wazazi wng. Lakn naenjoy maisha kama nyie Handsome.
 
Hii mada ina malengo zaidi ya inavyodhaniwa. Kila la heri mleta mads
 
Unavyo sema kweli Ata Mimi mfupi Ila mademu napata Nawazagamua tu cha Ajabu Wana ning'ng'ania sijui kwa nini
 
Hivi unajijuaje kama wewe ni handsome sijui naomba muongoz o tafadhali
 
Back
Top Bottom