Moto wa volcano
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 1,148
- 2,815
Mimi nikiwa na shida sipendagi shida zangu ziwe kero kwa mwengine nitajitahidi kadiri ya uwezo wangu kutafuta suluhu ya matatizo yangu , kadhalika huwa sipendi shida za mtu mwengine ziwe kero kwangu maana na mimi kama binadamu ninashida zangu
Waswahili sera za ujamaa zimewaharibu sana huwa wanapenda kutembeza bakuli hata kwa shida ndogo ndogo
Sikatai kama binadamu kuna kukwama kuna mahali mtu yeyote utahitaji msaada wa wengine , lakini mpaka ufikie hatua hiyo inatakiwa uwe umeshindwa sana kwa sababu zenye mashiko
Waswahili sera za ujamaa zimewaharibu sana huwa wanapenda kutembeza bakuli hata kwa shida ndogo ndogo
Sikatai kama binadamu kuna kukwama kuna mahali mtu yeyote utahitaji msaada wa wengine , lakini mpaka ufikie hatua hiyo inatakiwa uwe umeshindwa sana kwa sababu zenye mashiko