Nipo naongea kwa uchungu sana Wana jf naona Mahusiano kwangu hayana Maana tena, Nimeumia Wanawake sio watu kabisa anaweza kukufanya ukaijutia siku yako nzima? Na ukakosa raha kabisa,
Nasema kuanzia leo sitakuwa sehemu na Mwanamke, story ipo hivi
Nilikutana jana na Mwanamke kwenye sherehe alikuwa ananiangalia sana mi nikazuga kama simuoni kisha aliniangalia tena na kupayuka "" Jamani huyu kaka tayari ameshakula Asijirudie tena 😲😲"
Kwakweli nilitoka nimeinamisha kichwa chini mikono nyuma kwa masikitiko😞 ni kweli nilikuwa nataka kujirudia ila nae ana kiherehere ana roho mbaya kama nini? 😁
Nimesahau🤦okey have nice day 🤪😜 🤭.