Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,678
Yaani nasikitika sana, hadi naoa sijawahi kugombana kwa ajili ya mwanamke, sijui nifanyeje ili nipate wa kuzichapa nae kwa ajili ya mamsapu.
ni yule aliyejilipua kukuita husband....aaah fundi....tusije kukukosa ujue
Yaani nasikitika sana, hadi naoa sijawahi kugombana kwa ajili ya mwanamke, sijui nifanyeje ili nipate wa kuzichapa nae kwa ajili ya mamsapu.
mi sikugombana....wao ndio waligombana
aiseeeee!...wewe ulikua upande upi sasa!...nafikiri ulimchangiwa kidogo wa ubani wako eeeee
Ugomvi kama huo kamwe huwezi kuupata kama mkeo atakuwa katika makundi yafuatayo:
1.Halipi yaan namaanisha mbaya
2.Ulilazimishwa kumuoa
3.Muaminifu wa ndani na nje(anajitunza mwenyewe)
4.wewe na mkeo kama mna shutma ya kuwa Mmeathilika na UKIMWI
5.n.k ninayo mengi sana kwa leo kama unataka mengne niite ntarudi.
wao wakati wanaendelea, niliamua kuteleza na la aziz wangu, tukaenda zetu kucheza rugby
heeeeeeeeeeeeeeee!...uliwakutanisha watatu_una hatari kweli wewe!...yaani hata huyo la aziz wako nafikiri ana wasi wasi siku yoyote atavamiwa...najua utamlinda lakn maake ulivyo mbabe kama mammshka.....joke
nakuambia ambalo ulikuwa hulijui kuhusu mkeo: alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na yule mfanyakazi mwenzako ambaye ni juzi tu alitwaliwa ktk maisha haya kutokana na ugonjwa ambao haujulikani vizuri, ila alifanikiwa kuzaa naye mtoto mmoja wa kiume.
Yaani nasikitika sana, hadi naoa sijawahi kugombana kwa ajili ya mwanamke, sijui nifanyeje ili nipate wa kuzichapa nae kwa ajili ya mamsapu.
mashikolo mageni by nature
Aaaaaaggggggggggggrrr!
ha ha....la aziz iz zea tu stei....
ni yule aliyejilipua kukuita husband....aaah fundi....tusije kukukosa ujue
Usikute hata hakuna anayemtamani.
mhh fundi??????????/