Kwenye makaburi ya halaiki Gaza maiti waliofukuliwa wengine wamefungwa mikono na wengine dripu hazikuwahi kufunguliwa

Kwenye makaburi ya halaiki Gaza maiti waliofukuliwa wengine wamefungwa mikono na wengine dripu hazikuwahi kufunguliwa

Ni watu wajinga tu ambao wanweza kuwasapoti Israeli.kwanza hawa sio wale wa Israeli Wenyewe wale.
 
Madaktari na watu wa afya kwenye eneo la Gaza wameshughulika sana kufukua makaburi ya halaiki baada ya vikosi vya Israel kuondoka maeneo ya mahospital waliyokuwa wakiyakalia.

Hali ni ya kutisha na kusikitisha sana baada ya watu waliokuwa wanatafuta ndugu zao kugundua maiti wengi wakiwa na dalili za kuzikwa wakiwa hai.

Maiti hao wengine walikuwa na pingu mikononi kuashiria ni wale waliodhaniwa ni wapiganaji wa Hamas.Wengine kati yao wamekuta na dripu mikononi mwao kuashiria kuwa walikuwa ni wagonjwa waliolazwa kwenye hospitali hizo.

Kazi hiyo mpaka sasa imefanyika kwenye hospitali chache kubwa katika mji mkuu wa Gaza na katikati ya eneo hilo.

Itakumbukwa kuwa jeshi la Israel mara kadhaa bila kutoa uthibitisho lilishutumu kuwa mahospitali ndiko walikokuwa wamejificha wapiganaji wa Hamas waliokuwa wakiwawinda.

La kushangaza ni kuwa kwa sasa hospitali karibu zote za Gaza ukiondoa chache zilizobaki Rafah zimepigwa na kugeuzwa kifusi.Wakati huo huo vita bado havijamalizika.
Pia uchunguzi ufanyike hamas walivamia sherehe ya wayahudi october 7 na kuwaua halaiki kama 260 nao wafanye uchunguze?
 
Wewe puguani kweli

Huko Gaza, miili iliyozikwa chini na jeshi la Israeli inafichuliwa popote unapochimba. Hii inaonyesha ni kwa kiasi gani uhuru, utu na haki za binadamu hazina thamani.

Waliwadhalilisha Wapalestina kiasi kwamba hakuna anayeripoti au kulaani chochote.


View: https://x.com/suppressednws/status/1783601542680953165?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Shida iko wapi? Hao wafu wamewahishwa kwenda kumiliki bikra 72 na mito ya pombe,acha wakabikiri kwa raha zqo.
 
Pia uchunguzi ufanyike hamas walivamia sherehe ya wayahudi october 7 na kuwaua halaiki kama 260 nao wafanye uchunguze?
Uchunguzi ulikwishafanyika na kugundua mengi miongoni mwao ni kuwa idadi kubwa ya waliokufa waliuliwa na Israel yenyewe kutokana na kiwewe walichokipata.
 
Uchunguzi ulikwishafanyika na kugundua mengi miongoni mwao ni kuwa idadi kubwa ya waliokufa waliuliwa na Israel yenyewe kutokana na kiwewe walichokipata.
Hamas ndio walianzisha vita. Walaaniwe kwa kumwaga damu za wapalestina wasokua na hatia
 
Madaktari na watu wa afya kwenye eneo la Gaza wameshughulika sana kufukua makaburi ya halaiki baada ya vikosi vya Israel kuondoka maeneo ya mahospital waliyokuwa wakiyakalia.

Hali ni ya kutisha na kusikitisha sana baada ya watu waliokuwa wanatafuta ndugu zao kugundua maiti wengi wakiwa na dalili za kuzikwa wakiwa hai.

Maiti hao wengine walikuwa na pingu mikononi kuashiria ni wale waliodhaniwa ni wapiganaji wa Hamas.Wengine kati yao wamekuta na dripu mikononi mwao kuashiria kuwa walikuwa ni wagonjwa waliolazwa kwenye hospitali hizo.

Kazi hiyo mpaka sasa imefanyika kwenye hospitali chache kubwa katika mji mkuu wa Gaza na katikati ya eneo hilo.

Itakumbukwa kuwa jeshi la Israel mara kadhaa bila kutoa uthibitisho lilishutumu kuwa mahospitali ndiko walikokuwa wamejificha wapiganaji wa Hamas waliokuwa wakiwawinda.

La kushangaza ni kuwa kwa sasa hospitali karibu zote za Gaza ukiondoa chache zilizobaki Rafah zimepigwa na kugeuzwa kifusi.Wakati huo huo vita bado havijamalizika.
Wasiishie kusikitika tu.Wawakatae Hamas na kutafuta namna bora ya kuishi na Israeli.
 
Madaktari na watu wa afya kwenye eneo la Gaza wameshughulika sana kufukua makaburi ya halaiki baada ya vikosi vya Israel kuondoka maeneo ya mahospital waliyokuwa wakiyakalia.

Hali ni ya kutisha na kusikitisha sana baada ya watu waliokuwa wanatafuta ndugu zao kugundua maiti wengi wakiwa na dalili za kuzikwa wakiwa hai.

Maiti hao wengine walikuwa na pingu mikononi kuashiria ni wale waliodhaniwa ni wapiganaji wa Hamas.Wengine kati yao wamekuta na dripu mikononi mwao kuashiria kuwa walikuwa ni wagonjwa waliolazwa kwenye hospitali hizo.

Kazi hiyo mpaka sasa imefanyika kwenye hospitali chache kubwa katika mji mkuu wa Gaza na katikati ya eneo hilo.

Itakumbukwa kuwa jeshi la Israel mara kadhaa bila kutoa uthibitisho lilishutumu kuwa mahospitali ndiko walikokuwa wamejificha wapiganaji wa Hamas waliokuwa wakiwawinda.

La kushangaza ni kuwa kwa sasa hospitali karibu zote za Gaza ukiondoa chache zilizobaki Rafah zimepigwa na kugeuzwa kifusi.Wakati huo huo vita bado havijamalizika.
Picha wapi? Weee muhongo!
 
Kufukua Makaburi ni kazi ya Madaktari na watoa huduma za afya?
Ukute hao wafukuaji ni HAMAS wameenda na hizo pingu na na drip ili kuzifunga na kuzichima maiti walizozihifadhi hapo ili wapate picha za selfie wazi post, si unajua tena Wapalestina wanavyopenda selfie za madudedude ya kutisha.
Duhhh,wewe ni myahudi ??

Umeoa au umeolewa na myahudi??
 
Kufukua Makaburi ni kazi ya Madaktari na watoa huduma za afya?
Ukute hao wafukuaji ni HAMAS wameenda na hizo pingu na na drip ili kuzifunga na kuzichima maiti walizozihifadhi hapo ili wapate picha za selfie wazi post, si unajua tena Wapalestina wanavyopenda selfie za madudedude ya kutisha.
Duhhh,wewe ni myahudi ??

Umeoa au umeolewa na myahudi
 
Wasiishie kusikitika tu.Wawakatae Hamas na kutafuta namna bora ya kuishi na Israeli.
Israel ndio hawajui kuishi na wenzao vizuri.na kwa laana zao hawawezi kuishi na yeyote vizuri.
Walipoingia Gaza wangeonesha mfano kwa kuwatendea vyema wapalestina basi watu wa Gaza wote wangekuwa wapinzani wa Hamas.Lakini unamvunjia mtu nyumba yake na kumuulia watoto wake tena kwa njia za kikatili kwa kuwafukia wazima wazima.Hakuna mtu wa Gaza atayewapinga Hamas wanaopigana hata kwa jiwe na IDF.
 
Hao mazayuni hawatokaa kwa amani milele ! watoto wameona wazazi wao wakiuawa ndugu zao wakiuawa kuumizwa na kutiwa vilema hii haitaisha daima dawamu kwa sababu ishapandikizwa roho ya chuki na kisasi kwa wapelestina.Siku wakirusiwa silaha ndipo mayahudi watakapoita maji mma !
Hao wahuni waliokwenda Kulipua Israel Oktoba 7 wao walipandikizwa chuki na nani??? Tatizo hapo ni Mafundisho ya Dini yenu
 
Back
Top Bottom