Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mzigo mzito hapo. Kwanza kabisa mimi nilikuja kuweka sawa kuwa walicho sema akina Kawe Alumni na wenzake kuwa Lissu ni msaliti ni kweli,sababu alikuwa anawatetea Accacia waendelee kutunyonya. Na alisema uongo kuwa tukibadili mikatana tutaburuzwa MIGA.chagu wa malunde , kama huna majibu, subiri wenziyo waje kama wanayo. Maana naona wanasoma tu na kupita kimya kimya wanakuachia mzigo mzito na wewe unaanza ile “fallacy” yenu ya “ad hominem”
Ila kuna watu wanakwambia tupo vzr.Hakuna smelter ya makinikia imejengwa.
Makinikia yanasafirishwa kama kawaida kinyume na sheria ya madini ya 2017...
Tulisema humu ile sheria ilitungwa kwa makasiriko na haitekelezeki
Here we are today.
Humu watu wanaandika hisia tu kama hadithi za kijiweni.Huu utaratibu mpya wa members kuanzisha threads with just sweeping statements with no reference no proof, inaendelea kushika kasi humu jf, ukiweza kuthibitisha uongo ni upi na propoganda ni zipi, utakuwa umeisaidia sana jf.
P
Nenda kwenye post ya kwanza! Mbona ripoti ipo hapa? Unadhani tunajadili kitu gani hapa?Humu watu wanaandika hisia tu kama hadithi za kijiweni.
Badala ya kuweka hiyo ripoti na kuanza kuchambua kipengele hadi kipengele.
Akumbuke kuna mambo yapo kwenye ripoti hayakuwekwa hadharani, na majadiliano yalivyo kuwa yanajadiliwa na kubishaniwa au kukubali ndani ya majadiiano mengi yamekuwa siri hivyo hapa tunajadili mambo jujuu tu.
Wewe ni Kawe Alumni?Hakuna mzigo mzito hapo. Kwanza kabisa mimi nilikuja kuweka sawa kuwa walicho sema akina Kawe Alumni na wenzake kuwa Lissu ni msaliti ni kweli,sababu alikuwa anawatetea Accacia waendelee kutunyonya. Na alisema uongo kuwa tukibadili mikatana tutaburuzwa MIGA.
Wewe ukaanza kuleta habari za kishika uchumba. Nikakupa jibu,alafu ukaleta link ambazo sio msaada kwako maana zile zinazungumzia yale madai ya kodi iliyokwepwa toka 1998.
Kwa ufupi mimi nasisitiza Lissu ni msaliti. Maana hakutaka tuwe na kitu kama Twiga minerals Ltd.
Kuhusu ripoti ya Osoro kutoa hiyo ripoti juu ya kuibiwa kodi tril 103 na tril 188 kutoka kwenye uuzwaji wa Copper concetrate hiyo ni ishu nyingine.Wewe ni Kawe Alumni?
Huwezi hata kutuelezea lolote kuhusu kishika uchumba, eti ukanipa jibu! Jibu gani? Mbona ni simple tu?
Wapi hakutaka tuwe na Twiga minerals? Uongo tu! Weka ushahidi hapa.
Nimeshakuleza ni kwanini hawakuenda MIGA! Kwanini bado makinikia yanaondoka? Kuna mabadiliko kwenye malipo yake tofauti na awali? Ndiyo maana tunauliza kuhusu mapendekezo yaliyofanyiwa kazi.
Ninahisi wewe ni mwanasiasa ambaye ni mpiga debe tu na hauna details za maana zaidi ya porojo tu! Kwasababu vyote kuanzia makinikia hadi issue ya kodi tokea mwaka 1998-2017, na “gold concentrate”, ama makinikia, ripoti ikidai ni trillion 188 na kwenye kodi Ilikuwa ni 103 trillion kwa mujibu wa ripoti ya Professor Osoro.
Yote ni masuala ambayo yamo kwenye ripoti ya Osoro, wewe unasema nazungumzia vitu vya tofauti. Utofauti huo uko wapi? Unaweza kuwaonyesha wasomaji wa JF huo utofauti ulipo?
Jibu kuhusu kishika uchumba sijakupa? Sijakuambia kuwa mazungumzo kati ya Accacia na serikali yalikwama na Barrick wakaingilia kati na kusema watatoa bil 700 ili mazungumzo yaendelee? Na Barrick wakainunua Accacia na kuiondoa kama mbia!Wewe ni Kawe Alumni?
Huwezi hata kutuelezea lolote kuhusu kishika uchumba, eti ukanipa jibu! Jibu gani? Mbona ni simple tu?
Wapi hakutaka tuwe na Twiga minerals? Uongo tu! Weka ushahidi hapa.
Nimeshakuleza ni kwanini hawakuenda MIGA! Kwanini bado makinikia yanaondoka? Kuna mabadiliko kwenye malipo yake tofauti na awali? Ndiyo maana tunauliza kuhusu mapendekezo yaliyofanyiwa kazi.
Ninahisi wewe ni mwanasiasa ambaye ni mpiga debe tu na hauna details za maana zaidi ya porojo tu! Kwasababu vyote kuanzia makinikia hadi issue ya kodi tokea mwaka 1998-2017, na “gold concentrate”, ama makinikia, ripoti ikidai ni trillion 188 na kwenye kodi Ilikuwa ni 103 trillion kwa mujibu wa ripoti ya Professor Osoro.
Yote ni masuala ambayo yamo kwenye ripoti ya Osoro, wewe unasema nazungumzia vitu vya tofauti. Utofauti huo uko wapi? Unaweza kuwaonyesha wasomaji wa JF huo utofauti ulipo?
Kama huu uzi ndio unaishtaki CCM kwa wananchi umeula wa chuya!Wanajamvi, nadhani suala hili, halikuzungumziwa vya kutosha hata kidogo. Lissu yeye alishaumizwa na wengine walitishika kabisa kulizungumzia!
Hata hivyo, bado limezungumziwa sana na makada wa CCM hata humu ndani. Mfano kina Pasco! Lakini kwa namna ya uongo na propaganda nyingi.
Ripoti yenyewe imelalamika zaidi kuhusu kodi, na ikapendekeza uwepo uwajibikaji kwa watumishi mbali mbali wa ngazi tofauti za serikali kutokana na misamaha ya kodi kwa makampuni hayo!
Ya kuhusu makinikia, hapo hakukuwa na lolote! Hata kile ambacho kada maarufu wa chama humu Pascal Mayalla, alikuja na uongo mwingi sana humu kuhusu kile alichokiita “kishika uchumba”. Lakini ukifuatilia kwa makini, utagunduwa kuwa hata hicho kilicholipwa na Barick kwa niaba ya ACACIA, walilipa tu ili thamani ya hisa zao, isiendelee kushuka kwenye soko la dunia, pamoja na gharama zinazotokana na kuzuiwa kwa makontena hayo, habari kuwa yamezuiwa, ni mbaya zaidi kwa uchumi wa kampuni kuliko kuwndelea na kesi MIGA! Lakini hakuna nilichoona kwamba wamekubali kuwa wamefanya chochote kile kinyume na mkataba ambao ni CCM waliusaini.
Sitaki kuzungumza mengi, nitayaleta mapendekezo yote hapa, kisha tuyachambuwe, kwasababu uchaguzi umekaribia, sasa tujulishane ukweli ili tujuwe kama tuwape kura au tuwapumzishe.
Maana mojawapo ya mapendekezo, ni sisi kuifahamu mikataba, na wale walioisaini na kuipitisha, wawajibike, lakini naona usanii tu huku wapinzani wakisingiziwa na Lissu wa watu.
Pia kamati ilipendekeza kuwa “Serikali ifanye uchunguzi na kuchukua hatua za kisheria, dhidi ya waliokua mawaziri,wanasheria wakuu wa serikali na manaibu wao, wakurugenzi wa idara za mikataba na makamishna wa madini, wanasheria wa Wizara ya madini na watumishi wengine wote waliohusika katika kuingia mikataba ya madini.“
Hapo chini, ni kasehemu ka ripoti hiyo ambayo iliitwa “rubbish” ama takataka ya kiprofesa! Ukiisoma kiukweli ni uongo mtupu! Na ndiyo maana tukalipwa kile Pascal Mayalla alichokiita kuwa ni “kishika uchumba”, yani pesa ama gharama za kumzuilia “mwali”, ama mchumba pale bandarini! Ambapo hicho kishika uchumba cha usd 300m, kilitolewa na Barrick, siyo kwasababu eti wamekubaliana na hiyo ripoti, bali ni kwasababu wanaendelea kupata hasara, khasa kwenye thamani ya hisa zao, ambapo wote tunafahamu kuwa taarifa kama hizo huwa zinaathiri thamani yake kwenye soko la dunia! Lakini kama wangelazimishwa kulipa hicho kiasi kilichotajwa, basi ni kweli MIGA ingehusika! Na hapo ndipo point ya Tundu Lissu ilipokuwepo!
Hapo chini ni sehemu hiyo, nimepunguza vipengele vya madini waliyosema yamo ndani ya makinikia! Vipengele hivyo...
“4. Kwa ujumla thamani ya metali/madini yote katika makinikia kwenye makontena 277 yaliyozuiliwa bandarini, ni TZS bilioni 829.4 kwa kutumia viwango vya wastani na TZS bilioni 1,438.8 kwa kutumia viwango vya juu. Kwa kuwa viwango hivi vya thamani havitumiki kukadiria mapato ya Serikali, ni wazi kuwa kuna upotevu mkubwa sana wa mapato kwa nchi yetu.
5. Thamani zote za madini kwenye makinikia yaliyo ndani ya makontena zilizoainishwa hapo juu, zimepatikana kwa kutumia uzito wa wastani wa tani 20 za makinikia kwenye kila kontena. Hata hivyo, katika kupima uzito wa makinikia ndani ya makontena, kuna makontena kadhaa yaliyokuwa na uzito zaidi ya tani 20 za makinikia, kwa mfano makontena yenye namba CAIU 2461301, TCLU 0701267, MRKU 6880530 na MSKU 4280570 yalikuwa na makinikia yenye uzito wa tani 23.1; 22.9; 22.7 na 22.2, kwa mtiririko huo. Hivyo basi, ongezeko hili la uzito linaongeza thamani ya makinikia na hivyo kuongeza upotevu zaidi wa mapato ya Serikali.
6. Pamoja na kuchunguza makinikia, Kamati pia ilichunguza shehena ya mbale za copper ndani ya makontena matano (5) yaliyozuiliwa bandarini. Sampuli za mbale hizo zilipatikana kuwa na viwango vya dhahabu hadi kufikia 38.3 g/t, viwango ambavyo havikuoneshwa kwenye ripoti ya upimaji wa kimaabara wa TMAA, na hivyo kutotumika katika kukokotoa malipo ya mrabaha Serikalini.”
Ripoti ya uchunguzi wa mchanga wa madini. (Ripoti ya Osoro na Mruma)
cc Nguruvi3
Unafahamu maana ya kuwa “void”?Kuhusu ripoti ya Osoro kutoa hiyo ripoti juu ya kuibiwa kodi tril 103 na tril 188 kutoka kwenye uuzwaji wa Copper concetrate hiyo ni ishu nyingine.
Na kuhusu wewe kukomaa kuwa mapendekezo ya tume Osoro hayajafanyiwa kazi ni ishu nyingine.
Mimi nipo kwenye ishu uliyoraise juu ya kipara kipya na wenzake kudai kuwa Lissu ni msaliti.
Nasema hivi ni msaliti sababu alitaka kuaminisha umma kuwa hii sio voidable contract. Na alisema kama mkitaka kubadili mkataba na Barrick mtashitakiwa MIGA. Na alisisitiza haiwezekani na madini haya ni mali ya Accacia. Mtu kama huyu sio msaliti? Maana anajua wazi taifa lake linaibiwa ila anawatetea wanaloliibia taifa lake!
Hakuna porojo wala kupiga debe za kisiasa hapa. Wewe unaesema mapendekezo ya tume ya Osoro hayajafanyiwa kazi. Fanya analysis ya pendekezo moja baada ya moja namna ambavyo halijafanyiwa kazi utufahamishe kama una fact.
Kwahiyo madai kwamba Acacia ilikuwa kampuni ambayo haijasajiliwa, na hivyo kukwepa kodi mlizozitaja za trillion 103. Wakati mnaanza hayo madai, ndo Barrick wakainunuwa, na kulipa hicho kishika uchumba cha 700 billions.Jibu kuhusu kishika uchumba sijakupa? Sijakuambia kuwa mazungumzo kati ya Accacia na serikali yalikwama na Barrick wakaingilia kati na kusema watatoa bil 700 ili mazungumzo yaendelee? Na Barrick wakainunua Accacia na kuiondoa kama mbia!
Unachotaka kutuambia zile tril 103 za kodi ndio zimegeuzwa kishika uchumba? Au ulianzisha mada bila kufanya tafiti?
"It is professorial rubbish". Said TL.Wanajamvi, nadhani suala hili, halikuzungumziwa vya kutosha hata kidogo. Lissu yeye alishaumizwa na wengine walitishika kabisa kulizungumzia!
Hata hivyo, bado limezungumziwa sana na makada wa CCM hata humu ndani. Mfano kina Pasco! Lakini kwa namna ya uongo na propaganda nyingi.
Ripoti yenyewe imelalamika zaidi kuhusu kodi, na ikapendekeza uwepo uwajibikaji kwa watumishi mbali mbali wa ngazi tofauti za serikali kutokana na misamaha ya kodi kwa makampuni hayo!
Ya kuhusu makinikia, hapo hakukuwa na lolote! Hata kile ambacho kada maarufu wa chama humu Pascal Mayalla, alikuja na uongo mwingi sana humu kuhusu kile alichokiita “kishika uchumba”. Lakini ukifuatilia kwa makini, utagunduwa kuwa hata hicho kilicholipwa na Barick kwa niaba ya ACACIA, walilipa tu ili thamani ya hisa zao, isiendelee kushuka kwenye soko la dunia, pamoja na gharama zinazotokana na kuzuiwa kwa makontena hayo, habari kuwa yamezuiwa, ni mbaya zaidi kwa uchumi wa kampuni kuliko kuwndelea na kesi MIGA! Lakini hakuna nilichoona kwamba wamekubali kuwa wamefanya chochote kile kinyume na mkataba ambao ni CCM waliusaini.
Sitaki kuzungumza mengi, nitayaleta mapendekezo yote hapa, kisha tuyachambuwe, kwasababu uchaguzi umekaribia, sasa tujulishane ukweli ili tujuwe kama tuwape kura au tuwapumzishe.
Maana mojawapo ya mapendekezo, ni sisi kuifahamu mikataba, na wale walioisaini na kuipitisha, wawajibike, lakini naona usanii tu huku wapinzani wakisingiziwa na Lissu wa watu.
Pia kamati ilipendekeza kuwa “Serikali ifanye uchunguzi na kuchukua hatua za kisheria, dhidi ya waliokua mawaziri,wanasheria wakuu wa serikali na manaibu wao, wakurugenzi wa idara za mikataba na makamishna wa madini, wanasheria wa Wizara ya madini na watumishi wengine wote waliohusika katika kuingia mikataba ya madini.“
Hapo chini, ni kasehemu ka ripoti hiyo ambayo iliitwa “rubbish” ama takataka ya kiprofesa! Ukiisoma kiukweli ni uongo mtupu! Na ndiyo maana tukalipwa kile Pascal Mayalla alichokiita kuwa ni “kishika uchumba”, yani pesa ama gharama za kumzuilia “mwali”, ama mchumba pale bandarini! Ambapo hicho kishika uchumba cha usd 300m, kilitolewa na Barrick, siyo kwasababu eti wamekubaliana na hiyo ripoti, bali ni kwasababu wanaendelea kupata hasara, khasa kwenye thamani ya hisa zao, ambapo wote tunafahamu kuwa taarifa kama hizo huwa zinaathiri thamani yake kwenye soko la dunia! Lakini kama wangelazimishwa kulipa hicho kiasi kilichotajwa, basi ni kweli MIGA ingehusika! Na hapo ndipo point ya Tundu Lissu ilipokuwepo!
Hapo chini ni sehemu hiyo, nimepunguza vipengele vya madini waliyosema yamo ndani ya makinikia! Vipengele hivyo...
“4. Kwa ujumla thamani ya metali/madini yote katika makinikia kwenye makontena 277 yaliyozuiliwa bandarini, ni TZS bilioni 829.4 kwa kutumia viwango vya wastani na TZS bilioni 1,438.8 kwa kutumia viwango vya juu. Kwa kuwa viwango hivi vya thamani havitumiki kukadiria mapato ya Serikali, ni wazi kuwa kuna upotevu mkubwa sana wa mapato kwa nchi yetu.
5. Thamani zote za madini kwenye makinikia yaliyo ndani ya makontena zilizoainishwa hapo juu, zimepatikana kwa kutumia uzito wa wastani wa tani 20 za makinikia kwenye kila kontena. Hata hivyo, katika kupima uzito wa makinikia ndani ya makontena, kuna makontena kadhaa yaliyokuwa na uzito zaidi ya tani 20 za makinikia, kwa mfano makontena yenye namba CAIU 2461301, TCLU 0701267, MRKU 6880530 na MSKU 4280570 yalikuwa na makinikia yenye uzito wa tani 23.1; 22.9; 22.7 na 22.2, kwa mtiririko huo. Hivyo basi, ongezeko hili la uzito linaongeza thamani ya makinikia na hivyo kuongeza upotevu zaidi wa mapato ya Serikali.
6. Pamoja na kuchunguza makinikia, Kamati pia ilichunguza shehena ya mbale za copper ndani ya makontena matano (5) yaliyozuiliwa bandarini. Sampuli za mbale hizo zilipatikana kuwa na viwango vya dhahabu hadi kufikia 38.3 g/t, viwango ambavyo havikuoneshwa kwenye ripoti ya upimaji wa kimaabara wa TMAA, na hivyo kutotumika katika kukokotoa malipo ya mrabaha Serikalini.”
Ripoti ya uchunguzi wa mchanga wa madini. (Ripoti ya Osoro na Mruma)
cc Nguruvi3
Huna hoja kwa ujumla. Ulileta mada kwa hisia tu.Unafahamu maana ya kuwa “void”?
Unafahamu neno “clauses” kwenye mikataba?
Tatizo si mumuificha? Kwanini?
Kuhusu kipara kipya, hata yeye mwenyewe si unaona amekuja, akasoma na kutimka bila hoja?
Ripoti nimeweka hapo juu, wewe unazungumzia vitu ambavyo havimo kwenye ripoti.Huna hoja kwa ujumla. Ulileta mada kwa hisia tu.