Kwenye mapendekezo 21 ya ripoti ya Kamati ya Professor Osoro, yapi yana ukweli, yapi si ya kweli? Tumeshatekeleza mangapi? Makinikia ilikuwa usanii?

Kwenye mapendekezo 21 ya ripoti ya Kamati ya Professor Osoro, yapi yana ukweli, yapi si ya kweli? Tumeshatekeleza mangapi? Makinikia ilikuwa usanii?

Ripoti nimeweka hapo juu, wewe unazungumzia vitu ambavyo havimo kwenye ripoti.

Pili, kwenye post yangu #2, nimeweka link ambayo Barrick wanaelezea yaliyotokea, pamoja na wataalam wa kwenye soko la dunia wakizungumzia kuhusu hisa na mwelekeo wa kampuni. Pia wameongelea kuhusu mazungumzo ya kampuni na serikali, pamoja na makubaliano yaliyofikiwa. Nenda kasome kwanza ndo uje hapa ukiwa na hoja.
Kwa muda wote huo uliokuwa kimya nilitegemea uje na analysis namna gani mapendekezo hayo 21 hayajafanyiwa kazi,na usanii gani umefanyika. Ukichambua moja baada ya moja. Kuliko kuweka link za ambayo ni habari tu juu ya serikali ya Tanzania kusitisha kusafirisha makinikia.
Jipange kabla ya kuanza kuikosoa serikali.
 
Kwa muda wote huo uliokuwa kimya nilitegemea uje na analysis namna gani mapendekezo hayo 21 hayajafanyiwa kazi,na usanii gani umefanyika. Ukichambua moja baada ya moja. Kuliko kuweka link za ambayo ni habari tu juu ya serikali ya Tanzania kusitisha kusafirisha makinikia.
Jipange kabla ya kuanza kuikosoa serikali.
Ok basi, ngoja tuanze na ya kwanza hapo chini...Tueleze kuhusu mrahaba stahiki wa makinikia. Maana si nimeshakuwekea sehemu ya ripoti iliyoelezea madini yaliyomo ndani ya makinikia? Ambapo mulisema ni Trillion 188 kutokea 1998-2017? Sasa tuambie jinsi thamani halisi ya makinikia ilivyozingatiwa! Kwasababu sasahivi si yanasafirishwa? Tuanze na hili la kwanza, twende taratibu mpaka tufikie 21, mimi niliweka kwa wale wasio wavivu wa kusoma.

1. Serikali iendelee kusitisha usafirishaji mchanga wa madini “makinikia” nje ya nchi mpaka pale mrabaha stahiki utakapolipwa Serikalini kwa kuzingatia thamani halisi ya makinikia kama ilivyoainishwa kwenye uchunguzi huu.
 
Ok basi, ngoja tuanze na ya kwanza hapo chini...Tueleze kuhusu mrahaba stahiki wa makinikia. Maana si nimeshakuwekea sehemu ya ripoti iliyoelezea madini yaliyomo ndani ya makinikia? Ambapo mulisema ni Trillion 188 kutokea 1998-2017? Sasa tuambie jinsi thamani halisi ya makinikia ilivyozingatiwa! Kwasababu sasahivi si yanasafirishwa? Tuanze na hili la kwanza, twende taratibu mpaka tufikie 21, mimi niliweka kwa wale wasio wavivu wa kusoma.

1. Serikali iendelee kusitisha usafirishaji mchanga wa madini “makinikia” nje ya nchi mpaka pale mrabaha stahiki utakapolipwa Serikalini kwa kuzingatia thamani halisi ya makinikia kama ilivyoainishwa kwenye uchunguzi huu.
Uchunguzi ulisema mrahaba uwe kiasi gani? Ili iweze kusafirisha makinikia.
 
Angalia sasa unaniuliza mimi swali!🤣
Nini maana kuanalyse ili ukosoe usanii wa mapendekezo ambayo hayajafanyiwa kazi? Sema tume ilipendekeza mrahaba kiasi kadhaa ili kusafirisha nje iwe ruksa. Ni kiasi gani kama kweli una fact. Ndio watu wamekuambia unaanzisha uzi bila data ili kujimwambafy tu.
 
Hakuna mzigo mzito hapo. Kwanza kabisa mimi nilikuja kuweka sawa kuwa walicho sema akina Kawe Alumni na wenzake kuwa Lissu ni msaliti ni kweli,sababu alikuwa anawatetea Accacia waendelee kutunyonya. Na alisema uongo kuwa tukibadili mikatana tutaburuzwa MIGA.
Wewe ukaanza kuleta habari za kishika uchumba. Nikakupa jibu,alafu ukaleta link ambazo sio msaada kwako maana zile zinazungumzia yale madai ya kodi iliyokwepwa toka 1998.
Kwa ufupi mimi nasisitiza Lissu ni msaliti. Maana hakutaka tuwe na kitu kama Twiga minerals Ltd.
Acacia was handed a $190 billion tax bill - about four times the country's gross domestic product - for underreporting output. That was later revised down to $300 million.

There goes “kishika uchumba”. Mvivu wa kusoma wewe.
 
Acacia was handed a $190 billion tax bill - about four times the country's gross domestic product - for underreporting output. That was later revised down to $300 million.
Unarukaruka tu kama chura ambae hana muelekeo. Unaleta habari za kodi. Bado hujasema tume ilisema mrahaba uwe kiasi gani? Ili makinikia yasifirishwe. Kama huna facts uwe unakaa kimya.
 
Acacia was handed a $190 billion tax bill - about four times the country's gross domestic product - for underreporting output. That was later revised down to $300 million.

There goes “kishika uchumba”. Mvivu wa kusoma wewe.
Au unajua kodi ndio mrahaba? Maana unaweza ukawa unapiga kelele kumbe kichwani mweupe. Ndio maana umekurupuka kutoa uzi hujui A to Z ya saga lenyewe.
 
Hivi “ecomic benefits” si ndo kama “corporate responsibility”? Pascal Mayalla

Nauliza hili swali, kwasababu kampuni yetu ya Twiga, ina share 50/50 kwenye management pamoja na economic benefits!

Kabla sijaendelea, nilitaka nifahamu kama tuko ukurasa mmoja. Maana naona kuna anayetaka kuharibu hapa.
 
Unarukaruka tu kama chura ambae hana muelekeo. Unaleta habari za kodi. Bado hujasema tume ilisema mrahaba uwe kiasi gani? Ili makinikia yasifirishwe. Kama huna facts uwe unakaa kimya.
Unajuwa kusoma kingereza? Maana sina uwezo wa kukusaidia.
 
Economic benefits of the mines will be shared on a 50/50 basis (in the form of taxes, royalties, clearing fees, and a new 16% free carried interest). An annual tune-up mechanism will also be put in place to maintain the 50/50 split.
 
Mrahaba wa nini?
Ngoja nicheke. Ulianza kuchambua hoja 21 ambazo unasema kuna usanii kwenye utekelezaji wake. Ukasema tume ilipendekeza makinikia yaanze kusafirishwa pale mrahaba stahiki ukilipwa. Mimi nimekuuliza huo mrahaba stahiki ambao tume ilipendekeza ni kiasi gani? Ili tujue kwa nini serikali imeacha kutekeleza hilo takwa la kwanza.
 
Economic benefits of the mines will be shared on a 50/50 basis (in the form of taxes, royalties, clearing fees, and a new 16% free carried interest). An annual tune-up mechanism will also be put in place to maintain the 50/50 split.
Huku unahangaika ni nje na hoja yako kuwa mapendekezo ya kamati hayajatekelezwa. Na ni usanii mtupu.
 
chagu wa malunde , Kwenye makubaliano hayo kati ya Barrick Gold na serikali, walianzisha a “unique, Africa-focused dispute resolution framework”. Hakuna maelezo yoyote tunayofahamu kuhusu hii frame work ya kusuluhisha migogoro. Hayo yako kwenye makubaliano ambayo details hakuna. Sidhani hata kama wabunge wanazo.

We don’t know how they resolved the treatment of VAT credits, whether Barrick will receive VAT refunds, doré and/or concentrate exports.

But we now know that our government backed down from previous demands for Barrick to build a smelter in Tanzania, and the concentrates are being exported.
 
Ngoja nicheke. Ulianza kuchambua hoja 21 ambazo unasema kuna usanii kwenye utekelezaji wake. Ukasema tume ilipendekeza makinikia yaanze kusafirishwa pale mrahaba stahiki ukilipwa. Mimi nimekuuliza huo mrahaba stahiki ambao tume ilipendekeza ni kiasi gani? Ili tujue kwa nini serikali imeacha kutekeleza hilo takwa la kwanza.
Mimi naona umeanza kusafirishwa tena. Ndo sababu kuu haswa ya kutaka kujuwa kama mapendekezo yaliweza kufikiwa, pamoja na mengineyo.
 
Back
Top Bottom