Kwenye matembezi ya kuombea Aman leo Arusha mbona sijaona padre yeyote? Je mapdre hawakualikwa?

kiss daniel

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2019
Posts
758
Reaction score
2,062
Amani kwenu watumishi

Leo kwenye matembezi ya Aman kule Arusha yalikuwa yakiongozwa na mkuu wa mkoa wa Arusha yalishilikisha viongozi wa dini, lakin cha ajabu katika matembezi hayo sijamuona askof wa Arusha wala Padre kutoka kigango chochote kile

Au mapdre hawakualikwa ?

Uzi huu unajitegemea usiunganishwe tahadhar
 
Itakuwa waandaji hawakufika dau lao.
 
Ndugu yenu wa awamu ya 5 alijifanya kushupaza shingo mwishoni alikuja zikwa na yule aliyemzingua.
Ya kaisari mpeni kaisari.
 
Wanaomba amani huku wanaiba kura unafiki
 
Kanisa katoliki ni taasisi kubwa kwenda kwenye ujinga ujinga
 
Mapadre walikuwepo ila walivaa kiraia.
 
Ni nadra sana kuwaona Mapadre wa Kanisa Katoliki wakishiriki kwenye mambo ya kipuuzi kama hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…