Kwenye misiba tunafanya nini hasa, kuaga mwili wa marehemu au kumuaga marehemu? Kutoa heshima kwa mwili wa marehemu au kutoa heshima kwa marehemu?

Kwenye misiba tunafanya nini hasa, kuaga mwili wa marehemu au kumuaga marehemu? Kutoa heshima kwa mwili wa marehemu au kutoa heshima kwa marehemu?

Marehemu azikwe au asizikwe yeye anajua nini mkuu? Ule ubinadamu, ile heshima ya utu wake ndio vinafanya tuchimbe shimo na kufukia mzoga wake huko. Otherwise, wanyama wanakufa na kuliwa na ndege au wanyama wenzao na hakuna tofauti.

Hapa swala sio ukristo au dini yoyote, tunazika kwa kanuni tulizojiwekea wenyewe ili kuheshimu binadamu mwenzetu aliyetangulia. Kuomba/kutoomba having msaada wowote, coz uombe au la yule marehemu hatasikia wala kuona unachoomba. Baadhi yetu tunaamini zile ni ibada kwa waliopo hai, merehemu haombewi.
Kabisa mkuu , lazima nije niweke utaratibu siku nikifa nichomwe moto tu.
 
Kazi yetu katika mziba;
Kumwambia marehemu aende paradiso. Inakuwa tatizo,wakati mwingine mtu ni atheist, hajui afanye nini.
Kazi nyingine ni kumuomba Mungu amsamehe marehemu dhambi zake.
Kazi mbili. Hakuna nyingine.
 
Back
Top Bottom