Marehemu azikwe au asizikwe yeye anajua nini mkuu? Ule ubinadamu, ile heshima ya utu wake ndio vinafanya tuchimbe shimo na kufukia mzoga wake huko. Otherwise, wanyama wanakufa na kuliwa na ndege au wanyama wenzao na hakuna tofauti.
Hapa swala sio ukristo au dini yoyote, tunazika kwa kanuni tulizojiwekea wenyewe ili kuheshimu binadamu mwenzetu aliyetangulia. Kuomba/kutoomba having msaada wowote, coz uombe au la yule marehemu hatasikia wala kuona unachoomba. Baadhi yetu tunaamini zile ni ibada kwa waliopo hai, merehemu haombewi.