Nzi ni nyuki mjinga
JF-Expert Member
- Jan 13, 2020
- 1,073
- 1,556
Sijui. Ngoja tuoneSasa watafanya nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui. Ngoja tuoneSasa watafanya nini?
Ulichokiandika kinafurahisha na kuwapa amani ya matarijio mema na furaha ya muda wafuasi wa upinzani, hasa ujio wake Membe.
Niko mikoani kwa shughuli zangu, tena vijijini, na hata kwao Membe nimepita, wimbo ni Magufuli tu, kuanzia watoto hadi wazee. Hakuna asiyemjua Magufuli kwa sababu ndiye anahusishwa na elimu bure, madawati, barabara zinazopitika majira yote, zahanati, wakulima kutokusumbuliwa wakati wa kusafirisha na kuuza mazao yao, machinga kufanya biashara zao kwa amani bila buguhuza, na kadhalika.
Kuishi kwa matumsini huongeza siku za maisha, bila shaka
Kwani kwenu ni wapi? au ndio huku huku kwetu?Ulichokiandika kinafurahisha na kuwapa amani ya matarijio mema na furaha ya muda wafuasi wa upinzani, hasa ujio wake Membe.
Niko mikoani kwa shughuli zangu, tena vijijini, na hata kwao Membe nimepita, wimbo ni Magufuli tu, kuanzia watoto hadi wazee. Hakuna asiyemjua Magufuli kwa sababu ndiye anahusishwa na elimu bure, madawati, barabara zinazopitika majira yote, zahanati, wakulima kutokusumbuliwa wakati wa kusafirisha na kuuza mazao yao, machinga kufanya biashara zao kwa amani bila buguhuza, na kadhalika.
Kuishi kwa matumsini huongeza siku za maisha, bila shaka
CCM wakisikia Jina la Lissu wanaweweseka!Kwenye Poll moja huko twitter, Lissu kapata asilimia 55.6 ya kura zote, Magu 23.9 na Membe asilimia 20.5, na wapiga kura walikuwa ni zaidi ya watu 9,243.
BRN = BIG RESULTS NOWTatizo sio wewe ni ile Elimu yetu ya BRN
Yaani ni Tundu Lissu, Benard Membe then Magufuli!Lisu ndo hatari maana akipata hata wafuasi m3 halafu akataa matokeo wakaamua kuingia barabarani tayari ni tatizo. Mgombea anayehitajika ni yule ambaye atasema nimeibiwa kura ila tulieni.
MzeeMnanichekesha sana mnaposema leo hii Lowasa aliwaingiza kingi!
Kwahiyo mlipokuwa mnaambiwa mlifikiri mnaonewa wivu au?
Na mimi utafiti nilioufanya inaonesha kuna mkakati wa makusudi wa kumuanda Membe ili ashindane na JPM kwa kumwagia sifa tele tele ili ashindwe na waompigia debe wengi wa ni ccm wanaamini Membe ni mwepesi kuliko Lissu na wanajua iwapo Lissu atasimama shughuli itakuwa ngumu zaidi historia inaonyesha kila alietoka ccm kwa ajili ya kutaka urais mwisho wa siku hakini Nyalandu kwakuwa alipotoka ccm urais haukuwa dhamira yake mpaka leo bado yupo na hajaonesha kungangania uraisUtafiti wako ulitumia methodolijia gani?
Membe anakubalika sana, nimefanya utafiti binafsi juu ya hilo!
Wewe umeuliza wakulima wangapi, wafanyakazi wangapi, wanawake wangapi, wanaume wangapi, umeuliza vijana wangapi, wazee wangapi, umeuliza watu mikoa ipi.
Yote haya lazima uzingatie ili kupata sampuli inayowakilisha picha ya umma.
Umma utazidi kumpenda na kumkubali Membe kwa sababu maono yake ni yaleyale ambayo wananchi majority wamekuwa wakilia na kusaga meno katika utawala huu mfano maslahi ya wafanyakazi, maslahi ya watumishi wa vyombo vya usalama, Ajira kwa vijana, Maslahi ya wakulima, Katiba mpya iliyo bora, etc
Mimi utafiti wangu binafsi unaonyesha Membe anakubalika kuliko Magufuli na kukubalika huku kutaendelea kila siku baada ya kampeni kuanza.
Kama kukiwa na uchaguzi huru na haki Magufuli ajiandae kukabidhi Ikulu kwa Membe au Lissu
Hiyo picha ndio unamaanisha nini?Kwani kwenu ni wapi? au ndio huku huku kwetu?
View attachment 1510103
Akaunti za bavicha hiziKwenye Poll moja huko twitter, Lissu kapata asilimia 55.6 ya kura zote, Magu 23.9 na Membe asilimia 20.5, na wapiga kura walikuwa ni zaidi ya watu 9,243.
Hii mistari mliitumia "kumnadi" LowassaMsukuma Original,
Lakini sauli aliyebatizwa kuitwa Petro alikuwa farisayo aliyewaua na kuwatesa wakristu, lakini ni huyu sauli ndo kaeneza injili duniania kuliko petro swahiba yake Yesu.
Dogo usikariri
JPM, akiwa hana nguvu kisiasa, aliwashinda waliokuwa na nguvu kisiasa, ikiwemo huyo Membe. Ni ndoto leo atokee wa kumshinda wakati tayari amekonga mioyo ya wapiga kura (hasa vijijini - 70% ya wapiga kura) kwa utendaji wake wa kazi usio na mfano Tanzania, Afrika Mashariki na dunia nzima. Asilimia 30% iliyobaki ni ya wakosoaji wake na wafuasi wao, kama ifuatavyo:-Na mimi utafiti nilioufanya inaonesha kuna mkakati wa makusudi wa kumuanda Membe ili ashindane na JPM kwa kumwagia sifa tele tele ili ashindwe na waompigia debe wengi wa ni ccm wanaamini Membe ni mwepesi kuliko Lissu na wanajua iwapo Lissu atasimama shughuli itakuwa ngumu zaidi historia inaonyesha kila alietoka ccm kwa ajili ya kutaka urais mwisho wa siku hakini Nyalandu kwakuwa alipotoka ccm urais haukuwa dhamira yake mpaka leo bado yupo na hajaonesha kungangania urais
Nakala ya utafiti ulioufanya pleaseNi ndoto leo atokee wa kumshinda wakati tayari amekonga mioyo ya wapiga kura (hasa vijijini - 70% ya wapiga kura) kwa utendaji wake wa kazi usio na mfano Tanzania, Afrika Mashariki na dunia nzima
Unataka nakala ya utafiti ili wewe kama wewe ikusaidieje?Nakala ya utafiti ulioufanya please