Uchaguzi 2020 Kwenye mitandao ya kijamii na mtaani, Membe hakubaliki

Kwa hali ilivyo Sasa, huenda CCM wakasimamisha Wagombea watatu wa ngazi ya Urais kupitia vyam vitatu tofauti, katika uchaguzi mkuu mwaka huu. Wagombea hao watakuwa Comrade JPM, Comrade ambae wengine mnamuita Kamanda Nyalanduna na Comrade Mzalendo Membe.

Ukizingatia kuwa, TLP na UDP wameshatangaza kumuunga mkono Mh. Jpm, huenda CHAUMA NA NLD wakamuunga mkono Nyarandu, na kufikisha vyama sita ambavyo vitakuwa vikifanya kampeni kwa niaba ya CCM.

Kwa hesabu hiyo ya Std 4, wacha CCM waendelee kutusomesha namba za kirumi maana viongoz wa tunavyoviita vyama vyetu vya upinzani ama hawajielewi au hawana nia ya dhati ya kumkomboa Mtanzania.
 
Research nzuri ni Ile ya watu kupigiwa simu randomly, vijijini na mijini, (hapo unakuwa umegusa wapiga kura wote wenye sifa bila kujali elimu, ushiriki wa kupiga kura, au uchama, kisha zile feedback unazi-analyse, utapata majibu. Sio wapita mtandaoni randomly, au wapiga simu redioni.
 
Kuna mtu anaitwa Jitombashisho natamani nimuone huyu kamanda na nikimuona nitacheka sana
 

Sasa si ndio vizuri?
Hapo Sasa nyie mnaokubalika msifanye kampen subirin tarehe 25 October
 
Pamoja na vyama vya upinzani kusimamisha makada wa CCM tutarajie watakaotewa CCM kuhama na kujiunga na vyama visivyo na wagombea wenye sifa. Ikiwa hivyo, hakuna ubishi kuwa CCM ni chama dume
 
Lissu anakubalika sana hilo sina ubishi,

Isipokuwa kama Membe akisimama na Magufuli, Magufuli anapigwa asubuhi na mapema.

Watu wana hasira na utawala wa Magufuli zaidi kuliko kutomjua Membe.

Nyalandu huyo anashika mkia kwenye kukubalika!

Hivi kwanini hamchoki kudanganyana?
 

Utateseka sana kumnadi Membe bora utafute kazi nyingine. Asiyesikia ushauri...
 
Kwenye Poll moja huko twitter, Lissu kapata asilimia 55.6 ya kura zote, Magu 23.9 na Membe asilimia 20.5, na wapiga kura walikuwa ni zaidi ya watu 9,243.
watu wanajitekenya tu. wapiga kura wa ccm wako huko vijijini, mitandaoni wameingia lini?
 
Sawa kabisa mkuu lakini hakuna aliyepewa upako akaicha biblia kando na kubeba ilani
 
Sasa hilo kundi lilizuiwa kufanya siasa na wanatumia mitandao kwani kudai tume huru ni dhambi? Isitosho kama maendeleo anaonekana hofu ya tume huru ni nini? Lakini hao wafanyabiashara wakwepa kodi unadhni ni wengi kushinda wanao ona maendeleo? Hata hao vijana uliosema ni fuata upepo ni wengi sana kiasi wanaweza kuathiri matokeo ya ccm?
 
Sawa kabisa mkuu lakini hakuna aliyepewa upako akaicha biblia kando na kubeba ilani
Mkuu, kuweka biblia kando ni matendo kinyume na neno hata kama umeshika biblia mkononi. Wakoloni walifanya haya na hata sasa watawala wa Afrika mh!

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Kwenye Poll moja huko twitter, Lissu kapata asilimia 55.6 ya kura zote, Magu 23.9 na Membe asilimia 20.5, na wapiga kura walikuwa ni zaidi ya watu 9,243.
SANDUKU LA KURA LINALORATIBIWA NA NEC NDIO MSEMAKWELI WA MWISHO. Huko twitter nadhani hata mkenya anaweza kupiga kura. πŸ˜ŽπŸ˜ŽπŸ˜€
 
Msukuma Original,
Lakini sauli aliyebatizwa kuitwa Petro alikuwa farisayo aliyewaua na kuwatesa wakristu, lakini ni huyu sauli ndo kaeneza injili duniania kuliko petro swahiba yake Yesu.
Dogo usikariri
Sauli hakubatizwa na kuitwa Petro. Labda umekosea! Aliitwa Paul.
 
Watu wanashindwa kuelewa kitu kidogo sana... ukiapply technique flan katika jambo ikafanikiwa ikajualikana... mtu mwingine akiiaply kwa lengo la kumuonesha aliyeanzisha kwamba naye anajua, mara nyingi huwa haifanikiwi kwa kuwa watu hudharau....

Cdm waliipatia... na km unafatilia siasa mbowe alitamka wazi wazi kwamba ile ilikuwa na lengo gani na kwa sasa wamejifunza nn baada ya technique ile....

Act wamezingua kwa 7bu wananchi wameshajua/elewa lengo la wahamiaji toka ccm... kwa hiyo Act ni waz wanataka wagawe kura za upinzani kwa tamaa zao(ama kujionesha nao wanaweza) ss hii inaweza kuwacost coz wapiga kura wengi wako dilema kwa ss...

Kama cdm watatumia hii scenario vzur wanaweza rudi kwa nguvu..

1. Kupitia lisu wanaweza kuamsha ari ya wafuasi wao(na wale walokata tamaa) kwa maana kwamba waandae tour ya jamaa kuwatembelea wafuasi kushukuru(wafanye kwa zone km walivyozoea)
2. Ikibidi waichape na act(kama watakataa muungano wa kusimamisha mgombea wa cdm)- hapa tunaongelea propaganda za akili zinazoelekea na ukweli kuiunganisha act na ccm. Na pia udini uko wazi act lkn cdm lazma waingie gharama ya kutoa mafas nying kwa waislam ili kudemonstrate nankujustify propaganda yao.
 
Umenena kweli mkuu. CHADEMA wasifanye kosa. Lissu ndio habari ya mjini kwa sasa.
 
Membe hakubalil
Membe hakubaliki POPOTE, siyo huko ulikotaja hata kwa wananchi wa kawaida; hii ni kwa sababu HAWAMJUI utendaji wake na uzalendo wake. Wanao mkubali Membe ni mabeberu wa nje aliwatumikia na kuutana nao huko angani alikokuwa akiruka na kuwafanyia kazi zao kwa miaka yote. Hata hao wa kwao wanamjua kupitia nyumba za kuabudia alizowajengea kwa pesa za kifisadi za CHENJI YA RADAR NA ZA GADDAFI. Vinginevyo hana chochote cha kuifanyia nchi hii Zaidi ya kuiuza kwa mabeberu kwa faida na maslahi yake ndio maana anaomba na kulilia grand coalition ya wapinzani which is NEVER COMING. Apambane na tamaa zake mwenyewe na apambane na HALI YAKE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…