Kwenye mkataba nimemwandika kama mrithi Ila yeye kamwandika baba yake

Kwenye mkataba nimemwandika kama mrithi Ila yeye kamwandika baba yake

Daahh pole sana

Hadi hapo nadhani umeshaijua rangi ya huyo mkeo , kama Mimi ndiye wewe nakwenda kubadilisha na ya kwangu haraka sana
Yeah, ujue hata Kama Kuna sheria zinafuatw wakat wa utoaji mirathi,ukweli nikwamba kitendo alichofanya kinapunguza uaminifu kwa kias kikubwa
 
Daahh pole sana

Hadi hapo nadhani umeshaijua rangi ya huyo mkeo , kama Mimi ndiye wewe nakwenda kubadilisha na ya kwangu haraka sana
Yeah, ujue hata Kama Kuna sheria zinafuatw wakat wa utoaji mirathi,ukweli nikwamba kitendo alichofanya kinapunguza uaminifu kwa kias kikubwa
 
Hata muwapo hai wote kati ya mke na mume nani ambae ni rahisi kutapanya pesa na rasilimali nyingine za familia Kwa michepuko?

Je huyo ni wa kumwamini?
 
Au kitaalam sio lazima mwanamke kumwandika mumewe Kama mrithi?

Sio lazima. Alafu mbona mambo madogo tuu acha kupanic vitu vidogo, hata mimi nimeandika wanangu na mama yangu angekuwepo hai ningemwandika yaani nijikute tuu naandika mrithi MUME ningeshaa.
 
Mke wako kashakusoma shemeji.Hapo ameshaona Allah akimtwaa kabla yako hutoweza tunza watoto badala yake utatumia iyo pesa yake kuleta mke mpya ambaye anaweza watesa watoto wake.Badilika
 
Hata muwapo hai wote kati ya mke na mume nani ambae ni rahisi kutapanya pesa na rasilimali nyingine za familia Kwa michepuko?

Je huyo ni wa kumwamini?
Hapo umekariri, wanawake hutapanya pesa sana ila mara nyingi zinakuwa kama hazina uzito mkubwa maana pesa itumikayo ndani ya familia ni ya mwanaume. Usifikiri mwanamke ni malaika, ni binadamu tu tena anamadhaifu ambayo mengine huwezi amini, ila hakuna bora kati ya mwanamke au mwanaume.
 
Salaam kwenu,

Niko kwenye ndoa mwaka wa 8 saivi na tumejaaliwa kuwa na watoto wawili. Mimi na mwenzangu tumeajiriwa Kwenye taasisi moja ya umma japo kwenye vituo tofauti.

Mwezi huu kukatokea agizo la kuhuisha taarifa za wafanyakazi ili ziwe za kisasa na halisia kuliko mwanzo.
Zoezi hili lilihusisha urekebishaji wa baadhi ya taarifa zilizopo kwenye mikataba ya wafanyakazi ambayo waliijaza walipoajiriwa.

Kwa kuwa wakati tunaanza kazi hatukuwa na familia, sehemu ya warithi kwenye mikataba tulikuwa tumeweka wazazi na ndugu zetu. Sasa kutokana na kuwa na familia tulichopanga mimi na mwenzangu ni kwamba kwenye maboresho tujiandike sisi wenyewe Kama warithi wa kwanza pamoja na watoto wetu. Mimi kwenye mkataba nikamweka mke na watoto wangu Kama tulivyokubaliana.

Nimekuja kushtuka baada ya kuona mkataba wa mke wangu ambapo yeye kamwandika baba yake mzazi pamoja na watoto. Mimi hakuniandika kabisa.

Mkataba wake nimefanikiwa kuuona baada ya kuongea na mhusika aliyekuwa anaikusanya Kisha kuipeleka sehemu husika. Hadi sahivi mke hajui kwamba nimegundua kitendo hicho.

Najiuliza, hili tukio mke kalifanya kwa makusudi au bahati mbaya.

Au kitaalam sio lazima mwanamke kumwandika mumewe Kama mrithi?

Je, niendelee kujifanya sijui au nimuulize nijue nia yake ya kufanya hivyo?

Wasalaam!
Ebu taja kipengele kilichokuuliza kutaja warithi ni kipi. Hakuna kipengele kinachotaka kutaja warithi sema wewe na mwenzako mmeelewa vibaya maneno, najua ni pale kwenye next of kin, hiyo next of kin haimaanishi mrithi bali inamaanisha mtu wako wa karibu sana kwa mfano itokee tatizo kama kupotea, ugonjwa serious au kifo ndo wa kwanza kutafutwa ili washirikiane na mwajiri katika mambo yote. Masuala ya mirathi yako wazi kisheria,hakuna wa kurithi zaidi ya mwenza wa ndoa na watoto, so usiumize kichwa sana labda kama hamjafunga ndoa.
 
Ebu taja kipengele kilichokuuliza kutaja warithi ni kipi. Hakuna kipengele kinachotaka kutaja warithi sema wewe na mwenzako mmeelewa vibaya maneno, najua ni pale kwenye next of kin, hiyo next of kin haimaanishi mrithi bali inamaanisha mtu wako wa karibu sana kwa mfano itokee tatizo kama kupotea, ugonjwa serious au kifo ndo wa kwanza kutafutwa ili washirikiane na mwajiri katika mambo yote. Masuala ya mirathi yako wazi kisheria,hakuna wa kurithi zaidi ya mwenza wa ndoa na watoto, so usiumize kichwa sana labda kama hamjafunga ndoa.
Si ndio nashangaa hata mimi
 
Kwani next of kin inahusiana nini na urithi. Mimi ninachojua ni kwa ajili ya dharura, ikitokea ajali etc watu wa karibu kuwapata. Mambo ya mirathi mmoja wa mwenza akifa yanatuliwa na sheria ya mirathi.
Yaani mke unaishi nae pika pakua lala amka halafu mtu wake wa karibu awe mamakr au baba yake hivi typo serious kweli?
 
Kwa hiyo mke uwe unaishi nae kula kupika pakua wote lala amka miaka nenda Rudi halafu mtu wake wa karibu awe mamakr au babake au dadake ?kuna uhusiano mkubwa next of kin kuwa mrithi wako!

Ebu taja kipengele kilichokuuliza kutaja warithi ni kipi. Hakuna kipengele kinachotaka kutaja warithi sema wewe na mwenzako mmeelewa vibaya maneno, najua ni pale kwenye next of kin, hiyo next of kin haimaanishi mrithi bali inamaanisha mtu wako wa karibu sana kwa mfano itokee tatizo kama kupotea, ugonjwa serious au kifo ndo wa kwanza kutafutwa ili washirikiane na mwajiri katika mambo yote. Masuala ya mirathi yako wazi kisheria,hakuna wa kurithi zaidi ya mwenza wa ndoa na watoto, so usiumize kichwa sana labda kama hamjafunga ndoa.
 
Acha amjengee kwani Ni mume ndio kamsomesha acheni ujinga. Sasa mume anajenga kwako kwa wazazi wake Kama fadhila ila mke akijenga inakuwa nongwa.

Mimi nadhani mke yuko sahihi kwa kumjali Baba yake Kwanza zilioni shida kabisa.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hizi akili tope, now think huyo baba na mama wakifa hiyo nyumba wataridhi watoto zako?

Kuna dada aliwajengea wazazi wake kwenye shamba la familia nyumba ya 45,000,000 kabla hajajenga nyumba take na mumewe. Huyu dada mumewe ni town mission hela ya kula hampigi chenga ila sio ya kujenga.
Magufuli kamtumbua yule dada kwa sasa yeye na mumewe wamepanga vinfunguti chumba na sebule na watoto wao wawili.

Huyu dada aliniponipa wazo la kuwajengea wazazi nikamjibu no at all, jenga kwanza ya kwako na mumeo hakuwa ananielewa. Leo amepanga, nyumba wanaishi mawifi zake ambao ni wake za wadogo zake.
 
Mbona rahisi tu hiyo na Wewe Andika mama Yako na watoto wako yanini uanze kuumia maisha ni haya haya ishi Kwa furaha
 
Atakuwa amewaza utaoa akifa. Lakini nimewaza huo urithi mkeo akifa ni upi? Mali sio za kwako kwamba asipokuwepo ndugu watachukua? Sababu kikawaida mwenye hofu ya urithi huwa ni mke kwamba mali za mume wake zisiende kwa ndugu.
 
Mke wako kashakusoma shemeji.Hapo ameshaona Allah akimtwaa kabla yako hutoweza tunza watoto badala yake utatumia iyo pesa yake kuleta mke mpya ambaye anaweza watesa watoto wake.Badilika
Sawa shemeji.
 
Back
Top Bottom