Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,913
- 5,318
Muache tu aandike atakavyo, lakini sheria ya mirathi itaamua mgawanyo wa mali. Na iwapo mume amekufa, atapata 1/3 ya malz zake na iliyobaki inaenda kwa watoto , hii ni kama mtatumia sheria ya kiserikali. Yeye akifariki mume atarithi pamoja na watoto. Kama ni muislam safi inaweza kugawanywa kwa kutumia sheria za kiislam, au kama mnafuata mila sana zitagawanywa kutokana na mila husika. Hayo makaratasi ya kazini wala usihangaike nayo sana.Simple. Mwambie kwa lugha nzuri tu na wewe waenda kuhuisha tena taarifa hixo na kumuondoa yeye kama mrithi na kumweka baba yako na watoto.