Kwenye mkataba nimemwandika kama mrithi Ila yeye kamwandika baba yake

Kwenye mkataba nimemwandika kama mrithi Ila yeye kamwandika baba yake

Summary assessment ya kusomesha mtoto private school, Primary school miaka 7 ni million 14, secondary school miaka 4 ni million 20, high school million 10, jumla ni million 44 hayo ni makadirio ya chini nje ya malezi mengine.

Watoto wa kike wanaijuwa thamani ya Baba Ila mitoto ya kiume kazi kujipendekeza ukweni tu.

Next time jifunze kuheshimu mtu anayeitwa baba, hata wewe ukikuwa utajuwa mababa wame sacrifice vingapi mpaka unakuja wewe bitoz nyangema ndio unaiona pisi Kali.
Kuwaheshimu tunawaheshimu sana lakini utambue kwambaa, kulea mtoto ni jukumu la wazazi waliomleta duniani, ndio maana ukiacha kutunza mtoto unaweza kushtakiwa. Hayo mambo sijui nimetumia gharama nyingi blabla ni uzazwa , ndio jukumu lako hilo kwamba ukizaa mtoto ni jukumu lako hilo
 
Duh haya Maisha tunatofautiana sana, hakika nimekuja kugundua wanawake wa kuoa Ni wanyakyusa , Ni watiifu sana kwa waume zao na wanapenda sana kutengeneza familia , no matter Ana pesa kiasi gani, Nina mifano miwili niliyoshuhudia , wa kwanza Ni kwa mke wangu, yeye hata kadi ya benki hajui iko wapi, na sifahamu Mara ya mwisho kuishika ilikuwa Ni lini, maana Mimi ndo naimiliki, Wala sio kwa ubabe wangu, la hasha ni mahaba na utashi wake.

Mfano wa pili ni mwanamke ambaye Ni office mate wangunaye Ni mnyakyusa, anampenda sana jamaa yake(mme,)licha ya kwamba mme wake ni mtu wa vidosho, lakini huwezi mwambia amuache, kaenda benki kachukua mkopo na kumnunulia pikipiki ili Bwana mkubwa alilaksi,na hapa Naona kachukua Tena mkopo wanajenga

Sasa Mimi huwa nashanga watu wanaosema kuooa wanawake wafanyakazi Ni changamoto, Mimi has sio kweli, Bali inategemeana na Sina ya mwanammke uliyenaye


Pongezi ziende kwa mabinti wa kinyakyusa!!!!
Nzuri sana hiyo.

LAKINI

SAFARI BADO....
 
Hapa tupo watu wazima, hatupendi fix za kifala.

Wewe umsomeshe mtoto mpaka PhD ndio nakusikia wewe, wonders shall never end.
Tatizo unafananisha wote humu ni wakulima wa Sinza! Behave mtoto wangu wa pili ana PhD kijana. Usishangae dad wake kaipata akiwa na miaka 8! Wengine humu tupo wazee! We dogo
 
Hapa tupo watu wazima, hatupendi fix za kifala.

Wewe umsomeshe mtoto mpaka PhD ndio nakusikia wewe, wonders shall never end.
Unakuta mtu hana kipato kizuri anahangaika kumsomesha hadi chuo kikuu hadi anakopa ili hali mikopo ipo. Acha akope bodi ya mikopo ili naye awe na uchungu wa maisha.
 
Salaam kwenu,

Niko kwenye ndoa mwaka wa8 saivi na tumejaaliwa kuwa na watoto wawili. Mimi namwenzangu tumeajiriwa Kwenye taasisi moja ya umma japo kwenye vituo tofauti.

Mwezi huu kukatokea agizo lakuhuisha taarifa za wafanyakazi ili ziwe za kisasa na halisia kuliko mwanzo.
Zoezi hili lilihusisha urekebishaji wa baadhi ya taarifa zilizopo kwenye mikataba ya wafanyakazi ambayo waliijaza walipoajiriwa.

Kwa kuwa wakati tunaanza kazi hatukuwa na familia, sehemu ya warithi Kwenye mikataba tulikuwa tumeweka wazazi na ndugu zetu. Sasa kutokana nakuwa na familia tulichopanga mimi na mwenzangu nikwamba kwenye maboresho tujiandike sisi wenyewe Kama warithi wakwanza pamoja na watoto wetu.Mimi kwenye mkataba nikamweka mke na watoto wangu Kama tulivyokubaliana.

Nimekuja kushtuka baada ya kuona mkataba wa mke wangu ambapo yeye kamwandika baba yake mzazi pamoja na watoto. Mimi hakuniandika kabisa.

Mkataba wake nimefanikiwa kuuona baada ya kuongea namhusika aliyekuwa anaikusanya Kisha kuipeleka sehemu husika.Hadi saivi mke hajui kwamba nimegundua kitendo hicho.

Najiuliza,hili tukio mke kalifanya kwa makusudi au bahati mbaya.

Au kitaalam sio lazima mwanamke kumwandika mumewe Kama mrithi?

Je, niendelee kujifanya sijui au nimuulize nijue nia yake yakufanya hivyo?

Wasalaam!
Simple. Mwambie kwa lugha nzuri tu na wewe waenda kuhuisha tena taarifa hixo na kumuondoa yeye kama mrithi na kumweka baba yako na watoto.
 
Unakuta mtu hana kipato kizuri anahangaika kumsomesha hadi chuo kikuu hadi anakopa ili hali mikopo ipo. Acha akope bodi ya mikopo ili naye awe na uchungu wa maisha.
Mimi nimeshaweka utaratibu kutoboka mwisho form four, high school utakwenda shule ya serikali na chuo utasoma kwa mkopo uje ulipe mwenyewe madeni yako.

Watoto wenyewe wa sasa ni kingereza tu kichwani Hamna kitu.
 
Matola , kila siku nadefend JPM hapa JF maana nilimfahamu tangu anasoma Lake secondary school baada ya kufukuzwa katoke seminary. Tulimzidi umri. Hata Pascal Mayalla kabla ya kuumia mkono na lile lipikipiki likubwa! Oh nisije gundulika nikafuta hii ID. Please behave, nasisitiza mtoto wako akiolewa acha aende akajenge kwa mumewe. Wewe tafuta vyako si kutegemea Watoto. Acha Watoto wajenge maisha yao. Wewe jilie vyako tu.

Ni uchuro kutegemea Watoto wakutunze. Kwa heri na sitaandika tena kuhusu hili
 
Sababu ni umasikini wa familia yao, naamini huyo mke we kwao wangekuwa wana mzuri wazazi wake wana jiweza'' naamin ange waandika watoto na mumewe, lakini haiwezekani mwanamke kwao choka mbaya wazazi hawana vipato na wapo vijijini na wanamtegea mtoto wao.
Hili ni jibu sahihi, Binafsi ntaandika ambae ananitegemea zaidi kuendesha maisha yake.

Kama mke uchumi wake uko vzr ntaandika wazazi.

Kama wazazi uchumi wao uko vizuri ntaandika mke.

Bila kusahau watoto[emoji846].
 
Acha amjengee kwani Ni mume ndio kamsomesha acheni ujinga Sasa mume anajenga kwako kwa wazaz wake Kama fadhila ila mke akijenga inakuwa nongwa

Mm nadhni mke Yuko sahih kwa kumjali Bab ake Kwanza zilioni shida kbsa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kama walikubaliana kuandika majina yao kama wanafamilia na watoto wao, mime amefanya sawasawa na walivyokubaliana lakini mke amefanya kwa siri na kuandika baba yake mzazi kuna tatizo hapo!

Wakati wa kuoana si wanasema tutaacha baba zetu na mama zetu na kuambatana na wenzi wetu?
Nini kinafanya watu waanze kuzungukana?
 
Salaam kwenu,

Niko kwenye ndoa mwaka wa8 saivi na tumejaaliwa kuwa na watoto wawili. Mimi namwenzangu tumeajiriwa Kwenye taasisi moja ya umma japo kwenye vituo tofauti.

Mwezi huu kukatokea agizo lakuhuisha taarifa za wafanyakazi ili ziwe za kisasa na halisia kuliko mwanzo.
Zoezi hili lilihusisha urekebishaji wa baadhi ya taarifa zilizopo kwenye mikataba ya wafanyakazi ambayo waliijaza walipoajiriwa.

Kwa kuwa wakati tunaanza kazi hatukuwa na familia, sehemu ya warithi Kwenye mikataba tulikuwa tumeweka wazazi na ndugu zetu. Sasa kutokana nakuwa na familia tulichopanga mimi na mwenzangu nikwamba kwenye maboresho tujiandike sisi wenyewe Kama warithi wakwanza pamoja na watoto wetu.Mimi kwenye mkataba nikamweka mke na watoto wangu Kama tulivyokubaliana.

Nimekuja kushtuka baada ya kuona mkataba wa mke wangu ambapo yeye kamwandika baba yake mzazi pamoja na watoto. Mimi hakuniandika kabisa.

Mkataba wake nimefanikiwa kuuona baada ya kuongea namhusika aliyekuwa anaikusanya Kisha kuipeleka sehemu husika.Hadi saivi mke hajui kwamba nimegundua kitendo hicho.

Najiuliza,hili tukio mke kalifanya kwa makusudi au bahati mbaya.

Au kitaalam sio lazima mwanamke kumwandika mumewe Kama mrithi?

Je, niendelee kujifanya sijui au nimuulize nijue nia yake yakufanya hivyo?

Wasalaam!
Wewe wanaandikwaga watoto tu ,wewe unaandika mwanamke?akiolewa?😂😂
 
Matola , kila siku nadefend JPM hapa JF maana nilimfahamu tangu anasoma Lake secondary school baada ya kufukuzwa katoke seminary. Tulimzidi umri. Hata Pascal Mayalla kabla ya kuumia mkono na lile lipikipiki likubwa! Oh nisije gundulika nikafuta hii ID. Please behave, nasisitiza mtoto wako akiolewa acha aende akajenge kwa mumewe. Wewe tafuta vyako si kutegemea Watoto. Acha Watoto wajenge maisha yao. Wewe jilie vyako tu.

Ni uchuro kutegemea Watoto wakutunze. Kwa heri na sitaandika tena kuhusu hili
Angalia kilevi unachotumia kinakudhuru, hapa post yangu nilikuwa nasisitiza watoto we like wana mapenzi ya dhati na baba zao hii nimeiona Mara nyingi na mifano IPO.

Watoto we kiume wanajipendekeza ukweni na kwa upande wao wanaelemea mapenzi kwa mama.

Haya mambo ya Magufuli hapa siyo mahali pake, mtu yeyote anayemtetea Magufuli basi ujuwe ni mchawi.
 
Salaam kwenu,

Niko kwenye ndoa mwaka wa8 saivi na tumejaaliwa kuwa na watoto wawili. Mimi namwenzangu tumeajiriwa Kwenye taasisi moja ya umma japo kwenye vituo tofauti.

Mwezi huu kukatokea agizo lakuhuisha taarifa za wafanyakazi ili ziwe za kisasa na halisia kuliko mwanzo.
Zoezi hili lilihusisha urekebishaji wa baadhi ya taarifa zilizopo kwenye mikataba ya wafanyakazi ambayo waliijaza walipoajiriwa.

Kwa kuwa wakati tunaanza kazi hatukuwa na familia, sehemu ya warithi Kwenye mikataba tulikuwa tumeweka wazazi na ndugu zetu. Sasa kutokana nakuwa na familia tulichopanga mimi na mwenzangu nikwamba kwenye maboresho tujiandike sisi wenyewe Kama warithi wakwanza pamoja na watoto wetu.Mimi kwenye mkataba nikamweka mke na watoto wangu Kama tulivyokubaliana.

Nimekuja kushtuka baada ya kuona mkataba wa mke wangu ambapo yeye kamwandika baba yake mzazi pamoja na watoto. Mimi hakuniandika kabisa.

Mkataba wake nimefanikiwa kuuona baada ya kuongea namhusika aliyekuwa anaikusanya Kisha kuipeleka sehemu husika.Hadi saivi mke hajui kwamba nimegundua kitendo hicho.

Najiuliza,hili tukio mke kalifanya kwa makusudi au bahati mbaya.

Au kitaalam sio lazima mwanamke kumwandika mumewe Kama mrithi?

Je, niendelee kujifanya sijui au nimuulize nijue nia yake yakufanya hivyo?

Wasalaam!
Duh hii noma sana
 
Back
Top Bottom