Yeah, ujue hata Kama Kuna sheria zinafuatw wakat wa utoaji mirathi,ukweli nikwamba kitendo alichofanya kinapunguza uaminifu kwa kias kikubwaDaahh pole sana
Hadi hapo nadhani umeshaijua rangi ya huyo mkeo , kama Mimi ndiye wewe nakwenda kubadilisha na ya kwangu haraka sana
Yeah, ujue hata Kama Kuna sheria zinafuatw wakat wa utoaji mirathi,ukweli nikwamba kitendo alichofanya kinapunguza uaminifu kwa kias kikubwaDaahh pole sana
Hadi hapo nadhani umeshaijua rangi ya huyo mkeo , kama Mimi ndiye wewe nakwenda kubadilisha na ya kwangu haraka sana
Au kitaalam sio lazima mwanamke kumwandika mumewe Kama mrithi?
Sio lazima. Alafu mbona mambo madogo tuu acha kupanic vitu vidogo, hata mimi nimeandika wanangu na mama yangu angekuwepo hai ningemwandika yaani nijikute tuu naandika mrithi MUME ningeshaa.
Hapo umekariri, wanawake hutapanya pesa sana ila mara nyingi zinakuwa kama hazina uzito mkubwa maana pesa itumikayo ndani ya familia ni ya mwanaume. Usifikiri mwanamke ni malaika, ni binadamu tu tena anamadhaifu ambayo mengine huwezi amini, ila hakuna bora kati ya mwanamke au mwanaume.Hata muwapo hai wote kati ya mke na mume nani ambae ni rahisi kutapanya pesa na rasilimali nyingine za familia Kwa michepuko?
Je huyo ni wa kumwamini?
Hakuna mkuu[emoji23][emoji23] kwa hyo hakun Mungu wa wagane mkuu?
Ebu taja kipengele kilichokuuliza kutaja warithi ni kipi. Hakuna kipengele kinachotaka kutaja warithi sema wewe na mwenzako mmeelewa vibaya maneno, najua ni pale kwenye next of kin, hiyo next of kin haimaanishi mrithi bali inamaanisha mtu wako wa karibu sana kwa mfano itokee tatizo kama kupotea, ugonjwa serious au kifo ndo wa kwanza kutafutwa ili washirikiane na mwajiri katika mambo yote. Masuala ya mirathi yako wazi kisheria,hakuna wa kurithi zaidi ya mwenza wa ndoa na watoto, so usiumize kichwa sana labda kama hamjafunga ndoa.Salaam kwenu,
Niko kwenye ndoa mwaka wa 8 saivi na tumejaaliwa kuwa na watoto wawili. Mimi na mwenzangu tumeajiriwa Kwenye taasisi moja ya umma japo kwenye vituo tofauti.
Mwezi huu kukatokea agizo la kuhuisha taarifa za wafanyakazi ili ziwe za kisasa na halisia kuliko mwanzo.
Zoezi hili lilihusisha urekebishaji wa baadhi ya taarifa zilizopo kwenye mikataba ya wafanyakazi ambayo waliijaza walipoajiriwa.
Kwa kuwa wakati tunaanza kazi hatukuwa na familia, sehemu ya warithi kwenye mikataba tulikuwa tumeweka wazazi na ndugu zetu. Sasa kutokana na kuwa na familia tulichopanga mimi na mwenzangu ni kwamba kwenye maboresho tujiandike sisi wenyewe Kama warithi wa kwanza pamoja na watoto wetu. Mimi kwenye mkataba nikamweka mke na watoto wangu Kama tulivyokubaliana.
Nimekuja kushtuka baada ya kuona mkataba wa mke wangu ambapo yeye kamwandika baba yake mzazi pamoja na watoto. Mimi hakuniandika kabisa.
Mkataba wake nimefanikiwa kuuona baada ya kuongea na mhusika aliyekuwa anaikusanya Kisha kuipeleka sehemu husika. Hadi sahivi mke hajui kwamba nimegundua kitendo hicho.
Najiuliza, hili tukio mke kalifanya kwa makusudi au bahati mbaya.
Au kitaalam sio lazima mwanamke kumwandika mumewe Kama mrithi?
Je, niendelee kujifanya sijui au nimuulize nijue nia yake ya kufanya hivyo?
Wasalaam!
Si ndio nashangaa hata mimiEbu taja kipengele kilichokuuliza kutaja warithi ni kipi. Hakuna kipengele kinachotaka kutaja warithi sema wewe na mwenzako mmeelewa vibaya maneno, najua ni pale kwenye next of kin, hiyo next of kin haimaanishi mrithi bali inamaanisha mtu wako wa karibu sana kwa mfano itokee tatizo kama kupotea, ugonjwa serious au kifo ndo wa kwanza kutafutwa ili washirikiane na mwajiri katika mambo yote. Masuala ya mirathi yako wazi kisheria,hakuna wa kurithi zaidi ya mwenza wa ndoa na watoto, so usiumize kichwa sana labda kama hamjafunga ndoa.
Yaani mke unaishi nae pika pakua lala amka halafu mtu wake wa karibu awe mamakr au baba yake hivi typo serious kweli?Kwani next of kin inahusiana nini na urithi. Mimi ninachojua ni kwa ajili ya dharura, ikitokea ajali etc watu wa karibu kuwapata. Mambo ya mirathi mmoja wa mwenza akifa yanatuliwa na sheria ya mirathi.
Ebu taja kipengele kilichokuuliza kutaja warithi ni kipi. Hakuna kipengele kinachotaka kutaja warithi sema wewe na mwenzako mmeelewa vibaya maneno, najua ni pale kwenye next of kin, hiyo next of kin haimaanishi mrithi bali inamaanisha mtu wako wa karibu sana kwa mfano itokee tatizo kama kupotea, ugonjwa serious au kifo ndo wa kwanza kutafutwa ili washirikiane na mwajiri katika mambo yote. Masuala ya mirathi yako wazi kisheria,hakuna wa kurithi zaidi ya mwenza wa ndoa na watoto, so usiumize kichwa sana labda kama hamjafunga ndoa.
kila mmoja kaandika mpendwa wake
Mke wa mtu next of kin ni mume wako kwanza, then hao wengineYaani mke unaishi nae pika pakua lala amka halafu mtu wake wa karibu awe mamakr au baba yake hivi typo serious kweli?
Hizi akili tope, now think huyo baba na mama wakifa hiyo nyumba wataridhi watoto zako?Acha amjengee kwani Ni mume ndio kamsomesha acheni ujinga. Sasa mume anajenga kwako kwa wazazi wake Kama fadhila ila mke akijenga inakuwa nongwa.
Mimi nadhani mke yuko sahihi kwa kumjali Baba yake Kwanza zilioni shida kabisa.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app