Kwenye mkataba nimemwandika kama mrithi Ila yeye kamwandika baba yake

Kwenye mkataba nimemwandika kama mrithi Ila yeye kamwandika baba yake

Kiukweli nimegundua wanawake wengi hawaandiki waume zao sababu ya maisha ya sasa ww ukiandika andika acha kuwaza jambo ilo ingawa linaumiza
Wanaogopa wanaume kuoa tena mke mwangine pale wao watapo fariki, wanaona bora wamuandika mzazi kuliko mume.
 
KAA CHINI UMUULIZE SABABU YA YEYE KUFANYA HIVYO, UTAPATA MAWILI MATATU
Sababu ni umasikini wa familia yao, naamini huyo mke we kwao wangekuwa wana mzuri wazazi wake wana jiweza'' naamin ange waandika watoto na mumewe, lakini haiwezekani mwanamke kwao choka mbaya wazazi hawana vipato na wapo vijijini na wanamtegea mtoto wao.
 
Salaam kwenu

Niko kwenye ndoa mwaka wa8 saivi na tumejaaliwa kuwa na watoto wawili. Mimi namwenzangu tumeajiriwa Kwenye taasisi moja ya umma japo kwenye vituo tofauti.

Mwezi huu kukatokea agizo lakuhuisha taarifa za wafanyakazi ili ziwe zakisasa na halisia kuliko mwanzo.
Zoezi hili lilihusisha urekebishaji wa baadhi ya taarifa zilizopo kwenye mikataba ya wafanyakazi ambayo waliijaza walipoajiriwa.

Kwa kuwa wakati tunaanza kazi hatukuwa na familia, sehemu ya warithi Kwenye mikataba tulikuwa tumeweka wazazi na ndugu zetu. Sasa kutokana nakuwa na familia tulichopanga mimi na mwenzangu nikwamba kwenye maboresho tujiandike sisi wenyewe Kama warithi wakwanza pamoja na watoto wetu.Mimi kwenye mkataba nikamweka mke na watoto wangu Kama tulivyokubaliana.

Nimekuja kushtuka baada ya kuona mkataba wa mke wangu ambapo yeye kamwandika baba yake mzazi pamoja na watoto. Mimi hakuniandika kabisa.

Mkataba wake nimefanikiwa kuuona baada ya kuongea namhusika aliyekuwa anaikusanya Kisha kuipeleka sehemu husika.Hadi saivi mke hajui kwamba nimegundua kitendo hicho.

Najiuliza,hili tukio mke kalifanya kwa makusudi au bahati mbaya.

Au kitaalam sio lazima mwanamke kumwandika mumewe Kama mrithi?

Jee, niendelee kujifanya sijui au nimuulize nijue nia yake yakufanya hivyo?

Wasalaam!
Hizo taarifa hazina impact ikitokea mmoja ametangulia ni formalities za kiutumishi, hata akifa leo urithi hauendi kwa aliowaandika hadi taratibu za MIRATHI zifuatwe ambazo kwa sehemu kubwa husimamiwa na Msimamizi wa mirathi.

NEXT OF KIN sio warithi bali ni ndugu wa karibu wa mtumishi ikiwa jambo lolote likitokea awe wa kwanza kutafutwa
 
Yuko sawa 100% japo mie sijafanya hivyo. Mwanamke akifa mara nyingi ndugu wa mume na wengine hawagawanyi mirathi baba anabaki anaisimamia na watoto wake na hata akioa ni sawa. Ila mume akifa mali zinasambaratishwa na kugawanywa na hata akiolewa watataka aache kila kitu. Bado sheria za mirathi zimempendelea mwanaume.
 
Sababu ni umasikini wa familia yao, naamini huyo mke we kwao wangekuwa wana mzuri wazazi wake wana jiweza'' naamin ange waandika watoto na mumewe, lakini haiwezekani mwanamke kwao choka mbaya wazazi hawana vipato na wapo vijijini na wanamtegea mtoto wao.
aisee kumbe, haya mambo yana namna yake
 
Unaandika mme ana nyumba ndongo ishirini kidogo. Mimi nimeandika wanangu na baba na mama yangu.
Sasa bahati mbaya umefariki una uwakiwa watoto wako watanufaika na mali zako? Kuna jambo nimejifunza kuna rafiki yangu kaka yake alfarikia kaacha mke na watoto wa3 na Nyumba na viwanja kwenye urithi aliandika baba yake, sasa cha kushangaza huyo baba yake ana chukua pesa za kodi ya nyumba ana wagaiya watoto wake t, huyo rafiki yangu akipewa mgao hana kataa, na huyo Baba hawapi mgao mke wa marehemu na wajukuu zake, viwanja vyote mzee ana uza pesa ana wagaiya watoto wake wa kuwa zaa tu.
 
Yani urithi wa mali zake kamuandika baba yake na wanae??? huyo mwanamke wako ana mali zake na wewe una zako wakati nyie mmeoana ??? duuh bhasi nyie mnaishi pamoja anyway na wewe kabadilishe muandike mama yako ila mwisho wa siku jua wanao ndio watakaoteseka
 
Sababu ni umasikini wa familia yao, naamini huyo mke we kwao wangekuwa wana mzuri wazazi wake wana jiweza'' naamin ange waandika watoto na mumewe, lakini haiwezekani mwanamke kwao choka mbaya wazazi hawana vipato na wapo vijijini na wanamtegea mtoto wao.
Mmmh unauwakika
 
Yuko sawa 100% japo mie sijafanya hivyo. Mwanamke akifa mara nyingi ndugu wa mume na wengine hawagawanyi mirathi baba anabaki anaisimamia na watoto wake na hata akioa ni sawa. Ila mume akifa mali zinasambaratishwa na kugawanywa na hata akiolewa watataka aache kila kitu. Bado sheria za mirathi zimempendelea mwanaume.
Unaweza kutoa japo mfano wa sheria mojawapo ya mirathi iliyompendelea mwanaume?
 
Salaam kwenu

Niko kwenye ndoa mwaka wa8 saivi na tumejaaliwa kuwa na watoto wawili. Mimi namwenzangu tumeajiriwa Kwenye taasisi moja ya umma japo kwenye vituo tofauti.

Mwezi huu kukatokea agizo lakuhuisha taarifa za wafanyakazi ili ziwe zakisasa na halisia kuliko mwanzo.
Zoezi hili lilihusisha urekebishaji wa baadhi ya taarifa zilizopo kwenye mikataba ya wafanyakazi ambayo waliijaza walipoajiriwa.

Kwa kuwa wakati tunaanza kazi hatukuwa na familia, sehemu ya warithi Kwenye mikataba tulikuwa tumeweka wazazi na ndugu zetu. Sasa kutokana nakuwa na familia tulichopanga mimi na mwenzangu nikwamba kwenye maboresho tujiandike sisi wenyewe Kama warithi wakwanza pamoja na watoto wetu.Mimi kwenye mkataba nikamweka mke na watoto wangu Kama tulivyokubaliana.

Nimekuja kushtuka baada ya kuona mkataba wa mke wangu ambapo yeye kamwandika baba yake mzazi pamoja na watoto. Mimi hakuniandika kabisa.

Mkataba wake nimefanikiwa kuuona baada ya kuongea namhusika aliyekuwa anaikusanya Kisha kuipeleka sehemu husika.Hadi saivi mke hajui kwamba nimegundua kitendo hicho.

Najiuliza,hili tukio mke kalifanya kwa makusudi au bahati mbaya.

Au kitaalam sio lazima mwanamke kumwandika mumewe Kama mrithi?

Jee, niendelee kujifanya sijui au nimuulize nijue nia yake yakufanya hivyo?

Wasalaam!
Amekufanyia makusudi mkeo sio ndugu yako na wewe ungejiweka mwenyewe au mngejaza wote
 
She doesn't trust you and even you don't trust her. Kwa nini ulitafuta kujua kama yeye amejaza nini,???
Hv nyie wanawake[emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
 
Back
Top Bottom