Kwenye mkataba nimemwandika kama mrithi Ila yeye kamwandika baba yake

Kwenye mkataba nimemwandika kama mrithi Ila yeye kamwandika baba yake

Nenda uombe mkataba wako ufanye amendment kidogo na wewe badilisha weka hata mdogo wako tena wifi yake.

Ngoma iwe draw, wanaita Ngoma ngondoigwa
Hapo unampoteza mwenzio. Ukubwani ndugu huwa hawaaminiki kabisa, kila mtu ana changamoto zake ukimweka kwenye urithi wako utashangaa, anaweza kupita na wewe halafu hata watoto wako wasiambulie chochote. Nimeona cases nyingi za ndugu waliodhulumu haki za watoto wa ndugu zao wa damu kabisa.
 
Hata nikijenga simuweki mke kama mmiliki labda tuwe tumesaka wote la sivyo huo upopoma wa kuwaza kwa hisia siuwezi.
 
Kwanza mpaka mnajadili Ina maana Kuna shida mahali...hamuaminiani.
Sijui kamuandika nani na sikuwa na haja ya kujua ila Mimi nimemuandika yeye ili watoto wapate haki yao kama sipo duniani.
Usitake sana Mali na hela za mwanamke mkuu...muache awe huru na Mali zake.
 
Hapo unampoteza mwenzio. Ukubwani ndugu huwa hawaaminiki kabisa, kila mtu ana changamoto zake ukimweka kwenye urithi wako utashangaa, anaweza kupita na wewe halafu hata watoto wako wasiambulie chochote. Nimeona cases nyingi za ndugu waliodhulumu haki za watoto wa ndugu zao wa damu kabisa.
Kwahiyo amuamini mke ambaye anaenda nje ya makubaliano yao??

Watoto wataishi vizuri tu ukiwawekea misingi mizuri. Huo uoga ndo unafanya wanandoa waishi kwa uoga wa "sasa watoto wataishije" mwisho wa siku wao wanakuwepo na hao watoto wa kuishije bado hawaishije.
 
Salaam kwenu,

Niko kwenye ndoa mwaka wa8 saivi na tumejaaliwa kuwa na watoto wawili. Mimi namwenzangu tumeajiriwa Kwenye taasisi moja ya umma japo kwenye vituo tofauti.

Mwezi huu kukatokea agizo lakuhuisha taarifa za wafanyakazi ili ziwe za kisasa na halisia kuliko mwanzo.
Zoezi hili lilihusisha urekebishaji wa baadhi ya taarifa zilizopo kwenye mikataba ya wafanyakazi ambayo waliijaza walipoajiriwa.

Kwa kuwa wakati tunaanza kazi hatukuwa na familia, sehemu ya warithi Kwenye mikataba tulikuwa tumeweka wazazi na ndugu zetu. Sasa kutokana nakuwa na familia tulichopanga mimi na mwenzangu nikwamba kwenye maboresho tujiandike sisi wenyewe Kama warithi wakwanza pamoja na watoto wetu.Mimi kwenye mkataba nikamweka mke na watoto wangu Kama tulivyokubaliana.

Nimekuja kushtuka baada ya kuona mkataba wa mke wangu ambapo yeye kamwandika baba yake mzazi pamoja na watoto. Mimi hakuniandika kabisa.

Mkataba wake nimefanikiwa kuuona baada ya kuongea namhusika aliyekuwa anaikusanya Kisha kuipeleka sehemu husika.Hadi saivi mke hajui kwamba nimegundua kitendo hicho.

Najiuliza,hili tukio mke kalifanya kwa makusudi au bahati mbaya.

Au kitaalam sio lazima mwanamke kumwandika mumewe Kama mrithi?

Je, niendelee kujifanya sijui au nimuulize nijue nia yake yakufanya hivyo?

Wasalaam!
Mmefunga ndoa ya kanisani?
 
Hakuna Utumwa mbaya kama ule wa kujiona upo Free.... NDOA..

Mkuu achana na kufuatilia urithi wa Mkeo,,,,wewe zingatia urithi wako unahitaji kina nani wafaidike nao..

Ila huyo MKE jambo nnaloweza kukuhakikishia ni kuwa yupo na wewe kwa ajili ya maslahi yake....siku ukiyumba kiuchumi hakika utajua hujui,,,,ISHI NAE KWA AKILI NYINGI SANA.... uchunguzi ufanye kwa kuangalia ushiriki wake katika mambo ya msingi ya kifamilia....

Be a Man, Stay Taliban.
Be a man, Stay Taliban[emoji16]
 
Acha amjengee kwani Ni mume ndio kamsomesha acheni ujinga Sasa mume anajenga kwako kwa wazaz wake Kama fadhila ila mke akijenga inakuwa nongwa

Mm nadhni mke Yuko sahih kwa kumjali Bab ake Kwanza zilioni shida kbsa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Wewe mpuuzi tu. Kama Baba yake alikuwa wa muhimu angalimuoa yeye
 
Salaam kwenu,

Niko kwenye ndoa mwaka wa8 saivi na tumejaaliwa kuwa na watoto wawili. Mimi namwenzangu tumeajiriwa Kwenye taasisi moja ya umma japo kwenye vituo tofauti.

Mwezi huu kukatokea agizo lakuhuisha taarifa za wafanyakazi ili ziwe za kisasa na halisia kuliko mwanzo.
Zoezi hili lilihusisha urekebishaji wa baadhi ya taarifa zilizopo kwenye mikataba ya wafanyakazi ambayo waliijaza walipoajiriwa.

Kwa kuwa wakati tunaanza kazi hatukuwa na familia, sehemu ya warithi Kwenye mikataba tulikuwa tumeweka wazazi na ndugu zetu. Sasa kutokana nakuwa na familia tulichopanga mimi na mwenzangu nikwamba kwenye maboresho tujiandike sisi wenyewe Kama warithi wakwanza pamoja na watoto wetu.Mimi kwenye mkataba nikamweka mke na watoto wangu Kama tulivyokubaliana.

Nimekuja kushtuka baada ya kuona mkataba wa mke wangu ambapo yeye kamwandika baba yake mzazi pamoja na watoto. Mimi hakuniandika kabisa.

Mkataba wake nimefanikiwa kuuona baada ya kuongea namhusika aliyekuwa anaikusanya Kisha kuipeleka sehemu husika.Hadi saivi mke hajui kwamba nimegundua kitendo hicho.

Najiuliza,hili tukio mke kalifanya kwa makusudi au bahati mbaya.

Au kitaalam sio lazima mwanamke kumwandika mumewe Kama mrithi?

Je, niendelee kujifanya sijui au nimuulize nijue nia yake yakufanya hivyo?

Wasalaam!
Kifupi, mrithi wako na mkweo..!! Iwe kafanya makusudi au la..!!
 
Nenda uombe mkataba wako ufanye amendment kidogo na wewe badilisha weka hata mdogo wako tena wifi yake.

Ngoma iwe draw, wanaita Ngoma ngondoigwa
Kama hiyo aandike watoto tu
Maana akiandika wadogo zake
Watoto watakosa uridhi
 
Salaam kwenu,

Niko kwenye ndoa mwaka wa8 saivi na tumejaaliwa kuwa na watoto wawili. Mimi namwenzangu tumeajiriwa Kwenye taasisi moja ya umma japo kwenye vituo tofauti.

Mwezi huu kukatokea agizo lakuhuisha taarifa za wafanyakazi ili ziwe za kisasa na halisia kuliko mwanzo.
Zoezi hili lilihusisha urekebishaji wa baadhi ya taarifa zilizopo kwenye mikataba ya wafanyakazi ambayo waliijaza walipoajiriwa.

Kwa kuwa wakati tunaanza kazi hatukuwa na familia, sehemu ya warithi Kwenye mikataba tulikuwa tumeweka wazazi na ndugu zetu. Sasa kutokana nakuwa na familia tulichopanga mimi na mwenzangu nikwamba kwenye maboresho tujiandike sisi wenyewe Kama warithi wakwanza pamoja na watoto wetu.Mimi kwenye mkataba nikamweka mke na watoto wangu Kama tulivyokubaliana.

Nimekuja kushtuka baada ya kuona mkataba wa mke wangu ambapo yeye kamwandika baba yake mzazi pamoja na watoto. Mimi hakuniandika kabisa.

Mkataba wake nimefanikiwa kuuona baada ya kuongea namhusika aliyekuwa anaikusanya Kisha kuipeleka sehemu husika.Hadi saivi mke hajui kwamba nimegundua kitendo hicho.

Najiuliza,hili tukio mke kalifanya kwa makusudi au bahati mbaya.

Au kitaalam sio lazima mwanamke kumwandika mumewe Kama mrithi?

Je, niendelee kujifanya sijui au nimuulize nijue nia yake yakufanya hivyo?

Wasalaam!
Mke wako siyo ndugu yako, ndugu zake ni wale watoto mliozaa tu.

Acha kuwaza vitu havina kichwa wala miguu.

Cc: Liverpool VPN deker one deker one, one man down copy that?
 
Sasa cha ajabu nini?? Ni wapi uliona mwanamke anamweka mume kama mrithi my friend. Mimi ni mtumishi sijawahi kuona.. Hata uwaaulize au kuwashauri huwezi kubadirisha hiyo mitazamo yao..

So why ukae uumize kichwa kwa vitu none sense. Unajua wazi kwa nini huwa wanafanya hivyo. Kwa hiyo usiumize kichwa. Au una uhakika atatangulia kufa yeye? If not why bother?

Wote ndio Hali hiyo hiyo na maisha ya naendelea tena kwa furaha na Amani.
Kwani akitangulia wewe utashindwa kutunza watoto mpaka uwe concern na nini aliandika?

Baada ya kifo wanaotesekaga ni wajane (Wanawake) na sio wagane.

Mwanamke anaamini yeye akifa utaoa mke mwingine ambaye ndiye atakayekuja kula vyote alivyochuma au mlivyochuma pamoja na atawanyanyasa watoto wake aliowaacha.... Na wanaona mifano hai kila siku na ni kweli.

Sasa utatumia mbinu ipi kumwaminisha kuwa kwako haitakuwa hivyo?

Kumbuka mwanaume ndio mwenye maamuzi ya kuoa au kuto oa.. Tofauti na mwanamke akifiwa kuolewa ni ngumu sana Maana Hana maamuzi juu ya mwanaume. Labda achukue viserengeti. Ingawa wapo wachache wanao olewa tena.

So relax chapa kazi, lea familia achana na hivyo vitu vidogo kama you're machured enough kwenye ndoa.

Jenga future bora ya familia yako hata usipo kuwepo una uhakika hakuna kikaragosi kutoka kwenye ndugu zako atakae ingilia future na rasilimali ulizoacha vinginevyo usipoteze muda na akili.

Wanaume ndio tunaopaswa kujenga Mifumo ya kuaminika na wenzi wetu vinginevyo mtaishia kuharibu ndoa.

Njia ya kwanza ni kudhihirisha kwa vitendo kuwa huna na huhitaji chochote chake(isipokuwa responsibilities za kawaida kwenye family, mahitaji, maendeleo, Ada etc.) lakini Mali no no.. Jinsi ambayo utakuwa huonyeshi interest kwenye maeneo hayo ndivyo atakavyo kuamini na kukabidhi mwenyewe Mali na mirathi.

Kadiri unavyoonesha interest kwenye vitu hivyo ikiwemo mirathi uliyo Sema ndivyo atazidi kuikimbiza mbali nawe Maana ni Ishara ya kutoaminika.

Be Gentle man my friend utaishi kwa raha, Amani na furaha na mkeo.
Umeandika maelezo mengi sana lakini ume-mis main point. Kwa nini wenza wasiaminiane kwenye ndoa? Unajua maana ya ndoa wewe na malengo yako wewe? All in all, thread za aina hii hapa JF zimekuwa nyingi sana. Sijui ni kwa sababu zinapata wachangiaji wengi hivyo watu wanajitahidi kubuni visa vya uongo! Hata kama ni hivyo, bado inaonyesha kuwa kuna tatizo kubwa kwenye ndoa za sasa. Inabidi serikali ilifanyie kazi hili suala kwa kubadilisha sheria na taratibu za ndoa. Kwa mfano katika kila ndoa kuwe na makubaliano maalumu kuhusu mambo mbali mbali na kuwepo na uwezekano wa kuyabadili kwa ruhusa ya wenza wote. Zile zama za kutunga sheria zinazofanana kwenye kila ndoa umepitwa na wakati. Kwa mfano kuwepo na kipengele cha kusema kwenye ndoa kila mwenza atamiliki mali yake na hata ndoa ikivunjika basi hakuna mgao.
 
Mke wako siyo ndugu yako, ndugu zake ni wale watoto mliozaa tu.

Acha kuwaza vitu havina kichwa wala miguu.

Cc: Liverpool VPN deker one deker one, one man down copy that?
Zamani wanawake walikuwa wanapoolewa kunakuwa hakuna hizi rabsha za siku hizi. Ni wakati muafaka wa kubadili sheria za ndoa.
 
Salaam kwenu,

Niko kwenye ndoa mwaka wa8 saivi na tumejaaliwa kuwa na watoto wawili. Mimi namwenzangu tumeajiriwa Kwenye taasisi moja ya umma japo kwenye vituo tofauti.

Mwezi huu kukatokea agizo lakuhuisha taarifa za wafanyakazi ili ziwe za kisasa na halisia kuliko mwanzo.
Zoezi hili lilihusisha urekebishaji wa baadhi ya taarifa zilizopo kwenye mikataba ya wafanyakazi ambayo waliijaza walipoajiriwa.

Kwa kuwa wakati tunaanza kazi hatukuwa na familia, sehemu ya warithi Kwenye mikataba tulikuwa tumeweka wazazi na ndugu zetu. Sasa kutokana nakuwa na familia tulichopanga mimi na mwenzangu nikwamba kwenye maboresho tujiandike sisi wenyewe Kama warithi wakwanza pamoja na watoto wetu.Mimi kwenye mkataba nikamweka mke na watoto wangu Kama tulivyokubaliana.

Nimekuja kushtuka baada ya kuona mkataba wa mke wangu ambapo yeye kamwandika baba yake mzazi pamoja na watoto. Mimi hakuniandika kabisa.

Mkataba wake nimefanikiwa kuuona baada ya kuongea namhusika aliyekuwa anaikusanya Kisha kuipeleka sehemu husika.Hadi saivi mke hajui kwamba nimegundua kitendo hicho.

Najiuliza,hili tukio mke kalifanya kwa makusudi au bahati mbaya.

Au kitaalam sio lazima mwanamke kumwandika mumewe Kama mrithi?

Je, niendelee kujifanya sijui au nimuulize nijue nia yake yakufanya hivyo?

Wasalaam!
Kama unaweza badili taarifa mchomoe muweke mama yako.
 
Kwani kuolewa kunavunja ukoo kwa mwanamke mpaka ashindwe kuandika wazazi wake waliomusomesha kama warithi wa mali zake?,mbona akifa wanaomrithi ni ndugu zake na si mume wake wala watoto wake wala ndugu wa mume wake? Kwa nini iwe nongwa kwenye ajira yake ambayo imetokana na wazazi wake mwenyewe?.
 
Salaam kwenu,

Niko kwenye ndoa mwaka wa8 saivi na tumejaaliwa kuwa na watoto wawili. Mimi namwenzangu tumeajiriwa Kwenye taasisi moja ya umma japo kwenye vituo tofauti.

Mwezi huu kukatokea agizo lakuhuisha taarifa za wafanyakazi ili ziwe za kisasa na halisia kuliko mwanzo.
Zoezi hili lilihusisha urekebishaji wa baadhi ya taarifa zilizopo kwenye mikataba ya wafanyakazi ambayo waliijaza walipoajiriwa.

Kwa kuwa wakati tunaanza kazi hatukuwa na familia, sehemu ya warithi Kwenye mikataba tulikuwa tumeweka wazazi na ndugu zetu. Sasa kutokana nakuwa na familia tulichopanga mimi na mwenzangu nikwamba kwenye maboresho tujiandike sisi wenyewe Kama warithi wakwanza pamoja na watoto wetu.Mimi kwenye mkataba nikamweka mke na watoto wangu Kama tulivyokubaliana.

Nimekuja kushtuka baada ya kuona mkataba wa mke wangu ambapo yeye kamwandika baba yake mzazi pamoja na watoto. Mimi hakuniandika kabisa.

Mkataba wake nimefanikiwa kuuona baada ya kuongea namhusika aliyekuwa anaikusanya Kisha kuipeleka sehemu husika.Hadi saivi mke hajui kwamba nimegundua kitendo hicho.

Najiuliza,hili tukio mke kalifanya kwa makusudi au bahati mbaya.

Au kitaalam sio lazima mwanamke kumwandika mumewe Kama mrithi?

Je, niendelee kujifanya sijui au nimuulize nijue nia yake yakufanya hivyo?

Wasalaam!
Nimefurahishwa Na Andiko Lako Nimelipenda Sana

Ila Nilichokielewa Kuwa Wewe Mbali Na Makubaliano Yenu Kuwa Tujiandike Sisi Na Watoto Pia Unampenda Sana Mkeo Na Unaamini Kuwa Hata Ukitangulia Basi Yeye Awe ni Mmiliki Wa Mali Zako

Lakini Yeye Pamoja Na Kukupenda Sana Wewe Anaamini Ni Rahisi Zaid Yeye Kutangulia Ila Baba Yake Atapata Tabu Na Anajua Watoto Wake Hawatapata Tabu Kwa Sababu Baba Yao Upo.

Kanuni Sahihi Kabisa ya Mkeo.

Watoto ni Wako Ni Ukoo Wako Ukifa Wewe Yeye Akiwepo Atatunza Watoto Hata Ndugu Zako Wasipokuwepo Mama ni Mama

Akifa Yeye Baba Yake ni Ukoo Wake Wewe Hutoweza Kumhudumia Kwa Kiwango Bora Sababu si Ukoo Wako.

Ila Kuhusu Baba Yako Usiniulize

Lakini Ukimuandika Baba Yako Kuwa Sehem ya Warithi Utawatafutia Watoto Wako Matatizo na Shangazi Zao Sisi Ni Waswahili.

Shida ni Kwamba Wote Mnafanya KAZI Lakini Wewe Ndiye Unayestahili Kuhudumia Familia Na Kurithiwa.

Mwanamke Hata Matumizi Ya Familia Anajipendekeza tu Na Njaa Zetu Ila si Jukumu Lake.

Mwisho Tu Nikwambie Wewe Upo Sahihi, Na Mama Yupo Sahihi.

Baba Acha Kulalamika.
 
Wewe mpuuzi tu. Kama Baba yake alikuwa wa muhimu angalimuoa yeye
Summary assessment ya kusomesha mtoto private school, Primary school miaka 7 ni million 14, secondary school miaka 4 ni million 20, high school million 10, jumla ni million 44 hayo ni makadirio ya chini nje ya malezi mengine.

Watoto wa kike wanaijuwa thamani ya Baba Ila mitoto ya kiume kazi kujipendekeza ukweni tu.

Next time jifunze kuheshimu mtu anayeitwa baba, hata wewe ukikuwa utajuwa mababa wame sacrifice vingapi mpaka unakuja wewe bitoz nyangema ndio unaiona pisi Kali.
 
Back
Top Bottom